Kimetokana na kodi zetu, tuoneshwe, waseme na gharama iliyotumika kujenga.Tunataka picha ya nyumba hao hata picha zao si za mhimu tunawajua Kwa Sura na majina mkuu weka picha ya kibanda tukione
Hakika na wemesema ni Kwa mjibu wa Sheria waweke na gharama yake tulinganishe na kile cha mlinzi veta tabora walichosema 11m tusije kupigwa tenaKimetokana na kodi zetu, tuoneshwe, waseme na gharama iliyotumika kujenga.
Mtu wa maana sana.Mama Mvumilivu
Mama mstajabivu
Mama mwenye hekima
Mama Janneth Maghufuli
Namkubali sana huyu mama.
Acha hizo mkuuHuyu mama tangu mwendazake aende zake anazidi tu kunawiri🤣🤣
Zipi?Acha hizo mkuu