100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 4,766
- 16,191
ila waafrika tuna roho ngumu sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ila waafrika tuna roho ngumu sana.
Nadhani ni roho mbaya zaidi.ila waafrika tuna roho ngumu sana.
Alimwamini sana Msoga boyUteuzi wa Dotto Biteko kuwa Naibu Waziri Mkuu, Uteuzi wa Paul Makonda kuwa Mwenezi wa CCM na Kauli aliyotoa Rais Samia wakati wa kumkabidhi Mama JANETH Magufuli Nyumba!
" Kaka yangu na Boss wangu" vina ujumbe fulani kwa mtu makini!
Rais Samia is now facing the bitter truth about Powers and Strength the Late Magufuli had in the System and Hearts of Tanzanians!
Zile Kauli za kumbeza Hayati Magufuli zimeyeyuka kama siagi kikaangoni!
Ex wako alikua CCM? Pole sana Rafiki yangu, Mbeya kwema??Niliambiwaga ivo na ex hubby....nikajua utani ....siku ya siku upanga huo😭...
Tuweni makini,hakuna kauli inatoka tupu inaenda tupu
Kichwa cha uzi kinajitoshereza! Kakabidhiwa mke wake Janeth Magufuli kwa niaba ya mme wake!
View: https://www.instagram.com/reel/CzRkpgMLt3A/?igshid=MW9vbDB0bnljMTI1bQ==
😂mbeya kwema kabisa mkuuEx wako alikua CCM? Pole sana Rafiki yangu, Mbeya kwema??
1. Jumba la kifahariRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na mjane wa Hayati Dkt. John Pombe Magufuli aliyekuwa Rais wa awamu ya tano, Mama Janeth Magufuli wakati wa hafla fupi ya kukabidhi nyumba ya kuishi iliyopo wilaya ya Kinondoni ambayo imejengwa na Serikali kwa mujibu wa sheria, Jijini Dar es Salaam tarehe 5 Novemba, 2023.
View attachment 2805976
View attachment 2805975View attachment 2805974