Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daaah nimeumia sn
NAKAZIAPicha za nyumba zipo wapi?
Umezijuaje hizi sifa ulizompa?Mama Mvumilivu
Mama mstajabivu
Mama mwenye hekima
Mama Janneth Maghufuli
Namkubali sana huyu mama.
ni mtazamo wangu kwa ninavyomuonaUmezijuaje hizi sifa ulizompa?
Kwa sababu zipi?Huyu mama apewe ubunge kisha apewe unaibu waziri.
Wiki iliyopita Rais wa Nigeria Mzee Tinubu kamtoa nduki kikaoni mtoto wake wa kiume,jamaa aliingia kwenye mkutano wa Mzee Tinubu na Wafanyabiashara bila mwaliko.Rizini ni mwanafunzi kwa huyu Abdul maana huyu ni hatari sn
Kwani Mwinyi,Mkapa na JK siyo mabilionea,mbona nao walishapewa!Kwa kweli hiyo familia ni mabilionaire lakn bado wanajengewa nyumba ya kifahari hii inchi bhana hatari sana bado muswada wa kiinua mgongo cha wake wa marais
Design ya prince wa awamu ileeeeFirst gentleman atakuwa hapendi dhuluma wala wizi.
Mzee wa watu yupo kimya ameridhika na life lake.
Abdul fisi kweli labda ni right hand ya mamake
Tunataka kauzu mwingine TzMzee Tinubu kauzu sana!
Elite capture... Tumeingizwa kwenye mfumoKila siku nasema hawa jamaa hawajui kula na vipofu...; Hakuna sababu ya ku-publicize neema wanayopata kwa watu ambao kesho yao hawana hata pensheni let alone wale wazee ambao mafao yao hata panadol hayanunui...
Alafu wanakuja watu kwa kuuza sura na kupeana cake ambayo wanasema haitoshi ila kwa wao wanajipa na makombo....
In short they are out of touch..., ndio maana wanadai mafao kwa kila mke wa kigogo
By the way simuongelei huyu mama per-se, bali muendelezo wa hii animal farm...
Elite capture... Tumeingizwa kwenye mfumoTZ bana, majumba yote aliyokuwa nayo Magufuli, mengine alikwapua za Serikali, mengine akagawa hadi kwa hawara zake wameona hazitoshi? Huku wananchi kibao wakilala kwenye mapagale na mitaro?
Facts!Kila siku nasema hawa jamaa hawajui kula na vipofu...
Ameshapewa sasa, nenda kajinyongeTZ bana, majumba yote aliyokuwa nayo Magufuli, mengine alikwapua za Serikali, mengine akagawa hadi kwa hawara zake wameona hazitoshi? Huku wananchi kibao wakilala kwenye mapagale na mitaro?
Kwanini hawa viongozi wanaendelea kujaziwa utajiri ilhali wameshalimbikiza vya kutosha? Kwanini wanajengewa Dar tu na sio mikoani?Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na mjane wa Hayati Dkt. John Pombe Magufuli aliyekuwa Rais wa awamu ya tano, Mama Janeth Magufuli wakati wa hafla fupi ya kukabidhi nyumba ya kuishi iliyopo wilaya ya Kinondoni ambayo imejengwa na Serikali kwa mujibu wa sheria, Jijini Dar es Salaam tarehe 5 Novemba, 2023.
😕😕😕 yule mzee mnafiki mnoWiki iliyopita Rais wa Nigeria Mzee Tinubu kamtoa nduki kikaoni mtoto wake wa kiume,jamaa aliingia kwenye mkutano wa Mzee Tinubu na Wafanyabiashara bila mwaliko.
Mzee kamchana live mwanae kuwa Mimi kuwa Rais haimpi nafasi Mwanangu kuudhuria ata vikao ambavyo havimuhusu.
Mzee Tinubu kauzu sana!
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app