kimbendengu
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 6,716
- 12,116
Huu ni ubaguzi Kwa watumishi wengine ,wapo Kwa kikokotoooooo,Leo mtumishi anasota na mafao hadi anakufa ,wenza hawa wanakazi gani Kwa Taifa nchi hii lazima tutoane damu,labda hawa wakoloni weusi wataelewa