Rais Samia akataa mwananchi kueleza shida kwenye mkutano, amtaka amfikishie kupitia mbunge

Rais Samia akataa mwananchi kueleza shida kwenye mkutano, amtaka amfikishie kupitia mbunge

Huelewei wajibu na majukumu ya Rais.
Kwaiyo kwenye majukumu yake hamna sehemu ya kusikiliza Wananchi![emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mbona Husein Mwinyi ana platform yake ya kusikiliza Wananchi na ata akiwakuta Barabarani anawasikiliza pia.
Acheni Uchawa!
 
Ni kweli Rais hawezi kusikiliza kero za mwananchi mmoja mmoja, itakuwa jau sana .... mwingine kapigwa na mumewe anataka kesi apeleke kwa Rais, tutamaliza saa ngapi?
Mbona Magu zingine alizipatia majibu instantly hapo hapo? Kuna zingine ni nyepesi anaweza toa order kwa DC au RC na ikafanyiwa kazi mapema zaidi. Sasa anasimama ili acheke na wananchi?
 
Uliwahi kuona raia amepewa microphone katika mkutano na Rais akazungumzia mambo ya kitaifa au kimataifa ambayo ndio yanamuhusu Rais hasa??
Kama ameenda hasikilizwi,afanyeje?
Kwanza, kwanini mnaweka assumption kuwa anataka kuongea mambo personal.Wengine huwa Wanaongea mambo ya Hospitali, Barabara,umeme nk,vitu ambavyo viongozi wa sehemu husika hawavifanyii kazi.
Unakumbuka ile shule ya Ubungo ilivyokuwa ovyo,watu wakarusha clip,Rais Magufuli akaiona na kuagiza ijengwe mara moja na ilijengwa.Je,wangekaa kimya ingejengwa?
Viongozi wa Tanzania Wilayani na Mikoani ni wazembe sana,Kwaiyo kwa Rais unayeijua tabia ya viongozi wako ni lazima utumie njia mbadala pia kujua matatizo ya Wananchi.
 
Sasa hivi wakatoliki wamesomewa waraka wa bandari kila sehemu, kuruhusu maswali/hoja ovyo ni hatari.
Ila kweli anaweza kupigwa swali la Bandari ikawa aibu ya Mwaka![emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Huyo jamaa anaongea pumba! Rais ndiyo Mkuu wa nchi na serikali,sasa anataka Wananchi wakamwambie Mwijaku![emoji1787]
Unaendaje kulalamika kumwambia Rais takataka za sokoni au mtaani hazikusanywi au umedhulimiwa shamba wakati unao wenyeviti wa mitaa, diwani, mbunge, Halmashauri, wakuu wa wilaya na mkoa, mawaziri wa TAMISEMI, mazingira n.k??
 
Ni kweli Rais hawezi kusikiliza kero za mwananchi mmoja mmoja, itakuwa jau sana .... mwingine kapigwa na mumewe anataka kesi apeleke kwa Rais, tutamaliza saa ngapi?
Chawa wa Mama mitandaoni!
 
Ila jamani kazi ya mbunge itakuwa nn kama Kila madudu anaambiwa rais?Hongera mama Kwa uso wa mbuzi ndio inavyotakiwa
 
Ni kweli Rais hawezi kusikiliza kero za mwananchi mmoja mmoja, itakuwa jau sana .... mwingine kapigwa na mumewe anataka kesi apeleke kwa Rais, tutamaliza saa ngapi?
Kwa sababu hajachaguliwa naelewa! Lakini ukipigiwa kura huwezi acha kutatua changamoto za raia
 
Rais Samia leo September akiwa Nangurukuru mkoani Mtwara alisimamisha msafara wake kuongea na wananchi wa eneo hilo. Moja wananchi hao aliomba kuongea jambo ambapo Rais alimwambia mambo ni mengi na Tanzania ni kubwa.

Rais Samia alimtaka mwananchi huyo ampatie jambo lake mbunge kisha amfikishie Rais au wasaidizi wake.

Mwaka 2017 Rais Magufuli akiwa anaelekea Mtwara alisimamishwa Somanga na mwananchi aliyeelezea changamoto ya zahanati katika eneo hilo kutokamilika kwa miaka mingi. Rais Magufuli alichangia na kuamrisha ikamilike.

Alipopita tena barabara hiyo miaka 3 baadae mwananchi huyo alimzawadia jogoo kama shukrani ya kutimiza ahadi ya kufanyia kazi dukuduku lake na Magufuli alimsubiri mpaka alipomkamatia na kumpa. Alipofariki, mwananchi huyo alifunga safari kumzika Rais Magufuli mwaka 2021.

Watanzania tulipigwa na kitu kizito kichwani, tunahitaji sana rais
 
Ila jamani kazi ya mbunge itakuwa nn kama Kila madudu anaambiwa rais?Hongera mama Kwa uso wa mbuzi ndio inavyotakiwa
Jina lako haliendani na upuuzi unaotoa hapa, VITO CORLEONE alikuwa mtetezi wa watu wote hata walioonewa walileta shida zao kwake Godfather!
Unavyochagua jina lako liendane na kariba yake
 
Ule mtindo wa Magufuli ulikuwa ni upumbavu tu kwa wananchi wapumbavu. Hakukuwa na leadership pale. Hivi Rais mmoja utawezaje kumsikia kila mwananchi?

Endelea hivyo hivyo Samia na wala usiingie mtego wa kugawa hela barabarani
Mbona Majaliwa aliwasikiliza Wafanyabiashara Kariakoo mmoja baada ya mwingine,kwani alikufa?
 
Mandhali Lucas mwashambwa ameshamwambia anapendwa nchi nzima, na anachukiwa na uongozi wa taifa wa CHADEMA pekee basi hana hata haja ya kusikiliza kero maana zinampotezea muda njiani
 
Mbona Magu zingine alizipatia majibu instantly hapo hapo? Kuna zingine ni nyepesi anaweza toa order kwa DC au RC na ikafanyiwa kazi mapema zaidi. Sasa anasimama ili acheke na wananchi?
Hapo ndo ushangae magari yanasimama kwa ajili gani? Hawa viongozi wapuuzi sana!
 
Mbona Wafanyabiashara Huwa anawaita Ikulu kuzungumza nao kero zao,kwani Waziri wa Biashara hayupo?
Kama sio baraza la biashara la taifa, TCCIA, TPSF ni matumizi mabaya ya muda na rasilimali na ndio maana mambo huwa hayabadiliki sana hata baada ya hiyo mikutano.
 
Back
Top Bottom