Rais Samia akiingia katika kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu ndogo Tunguu Zanzibar

Mwaka kesho atakuwa na kampeni kuzunguka nchi nzima kuomba kura kwa watanzania wamchague kuwaongoza, tunamtakia afya njema na nguvu tele kuweza kufanya kampeni vema
Atakuwa raisi wa ngapi na awamu ya ngapi please
 
Funga mdomo watu wana njaa hawana ajira wewe unabwabwaja tu. Toka hapa
 
Ninachowaza litokee kuhusu hili kusanyiko, ngoja nikatubu tu
 
Tupate Rais Mchaga au Mhaya sasa ili vikao vya baraza la mawaziri viwe vinafanyika Machame ndani ndani huko, au Muleba pale..
 
Hivi lakini wewe Lucas, mkeo, watoto wako au mama yako anajua kwamba kuna mtu una-muabudu kama Mungu huku - kutwa kuchwa kusifia hata visivyosifika ? Wanajua kuwa ndugu yao akili zake zote kawekeza kwenye uchawa na kutukuza watu??
 
Hivi lakini wewe Lucas, mkeo, watoto wako au mama yako anajua kwamba kuna mtu una-muabudu kama Mungu huku - kutwa kuchwa kusifia hata visivyosifika ? Wanajua kuwa ndugu yao akili zake zote kawekeza kwenye uchawa na kutukuza watu??
Mimi siyo chawa
 
Dua zangu mama akuone upate teuzi Lucas maana unatumia calories nyingi sanaa.

Nimesoma maoni ya wadau na comment one after one.

πŸ™πŸ™
 
Nchi ya zbar ina ikulu za nchi 2 tofauti, zenye wimbo na bendera tofauti za taifa.

Yaani Zambia wameandaa kikao cha mawaziri Tunduma
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜­
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…