Mwalimu wa tuisheni
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 6,602
- 10,801
1. π€ π€ π€
2. πππ
3.πππ
2. πππ
3.πππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si kayataka mwenyeweHuo ushauri unaweza jikuta uko korokoroni.
yupo pale kwa ajili ya wananchi?Si ana washauri wake maalumu.....
Sasa unatupangia nini cha kwenda kumshauri tena? Peleka uchangu huko Paje.sio kweli, weka hoja usaidiwe
nini hiki, toa ushauri usaidiwe kama kijana.1. π€ π€ π€
2. πππ
3.πππ
Acha upuuzi mkuusuala la maji , ametenga fedha nyingi sana. specify upo jimbo gani?
fedha ikitoka inaenda wizara ya maji . ni bora ukawa muwazi chief , ili aweso awe responsible?Acha upuuzi mkuu
Ww kama unalamba asali
Lamba tuuh Ila jua kuna watu sio poa.FULL STOP β
sahihi, ada vyuo vikuu changamoto sana chief1. Ada ya elimu ya juu ipungue mpaka 500k na kusiwe na mikopo kwa wanafunzi
2. Auze v8 anunue Noah viongozi wabebwe kwa makundi kupunguza gharama
Ni hayo tuu??Ntampongeza sana na pia Mama anajitahidi anafanya vitu vinaonekana
safi chief, utamshauri aboreshe wapi?Ntampongeza sana na pia Mama anajitahidi anafanya vitu vinaonekana
wanao ,wataishi wapi chief?
kwahiyo anapaswa kusikiliza maoni ya kila mwananchiyupo pale kwa ajili ya wananchi?
Hakuna cha kujiunderestimate wala nini, viongozi wetu ni mabaradhuli, watu jeuri, unadhani hawajui wanafanya fyongo, afya, barabara, maji, umeme kote huko shida tupu.dont underestimate ureself chief
Afute mikopo mara moja, wale wanaofaulu na kuchaguliwa watapata huduma zote huko vyuoni, vyakula, stationery na N. K, sioni faida ya kugharamia mabilioni ambayo utakuja shindwa kuyakusanya ukizingatia wanafunzi wengi 90% utashindwa kuja kuwapa ajiri ili fedha zirudi serekalini.vizuri sana, akiacha kwingine. vp mikopo ya elimu ya juu kwa wanafunzi itakuwaje?
Auze Tanzania Kwa WachinaAwamu ya sita ya mama Samia tumeona mengi yakifanyika ikiwemo utekelezaji wa miradi ya umwangiliaji ya kilimo, BBT, Ruzuku ya mbolea, Afya, Ajira, Veta, kupandishwa madaraja kwa watumishi nk
Lakini pia zipo changamoto kadha wa kadha ambazo watanzania wanatamani wamfikishie Rais wao, nao wajione ni sehemu ya watanzania wanaofaidi matunda ya nchi hii!
Rais amekupa dakika tano tu umpongeze na umshauri kipi kiboreshwe ama kiongezeke kwenye utawala wake ili kila mtu ajivunie kuwa mtanzania, utazungumza nini?
ili mradi ni maoni yenye maslahi mapana na taifakwahiyo anapaswa kusikiliza maoni ya kila mwananchi
Hawezi uyo zaidi zaidi anatafuta mkate wake tuuh "nakusifia sifia "fedha ikitoka inaenda wizara ya maji . ni bora ukawa muwazi chief , ili aweso awe responsible?
burden to government chief, better do cost sharing in provision of social servicesAfute mikopo mara moja, wale wanaofaulu na kuchaguliwa watapata huduma zote huko vyuoni, vyakula, stationery na N. K, sioni faida ya kugharamia mabilioni ambayo utakuja shindwa kuyakusanya ukizingatia wanafunzi wengi 90% utashindwa kuja kuwapa ajiri ili fedha zirudi serekalini.