Rais Samia akikupa mualiko Ikulu wa dakika 5 utamshauri nini kama kijana wa kitanzania?

Rais Samia akikupa mualiko Ikulu wa dakika 5 utamshauri nini kama kijana wa kitanzania?

dont underestimate ureself chief
Hakuna cha kujiunderestimate wala nini, viongozi wetu ni mabaradhuli, watu jeuri, unadhani hawajui wanafanya fyongo, afya, barabara, maji, umeme kote huko shida tupu.
Uwajibikaji zero, watu wanakosa vitu vya msingi wao ni wizi tu na kuendesha magari ya kifahari.
Lenye faida na tanzania hawafanyi, wanafanya yenye faida na wao.

Na kimvua hiki niache kula mbuno mie nikae namshauri samia suluhu.. πŸ˜‚πŸ˜‚
 
vizuri sana, akiacha kwingine. vp mikopo ya elimu ya juu kwa wanafunzi itakuwaje?
Afute mikopo mara moja, wale wanaofaulu na kuchaguliwa watapata huduma zote huko vyuoni, vyakula, stationery na N. K, sioni faida ya kugharamia mabilioni ambayo utakuja shindwa kuyakusanya ukizingatia wanafunzi wengi 90% utashindwa kuja kuwapa ajiri ili fedha zirudi serekalini.
 
Awamu ya sita ya mama Samia tumeona mengi yakifanyika ikiwemo utekelezaji wa miradi ya umwangiliaji ya kilimo, BBT, Ruzuku ya mbolea, Afya, Ajira, Veta, kupandishwa madaraja kwa watumishi nk

Lakini pia zipo changamoto kadha wa kadha ambazo watanzania wanatamani wamfikishie Rais wao, nao wajione ni sehemu ya watanzania wanaofaidi matunda ya nchi hii!

Rais amekupa dakika tano tu umpongeze na umshauri kipi kiboreshwe ama kiongezeke kwenye utawala wake ili kila mtu ajivunie kuwa mtanzania, utazungumza nini?
Auze Tanzania Kwa Wachina
 
Afute mikopo mara moja, wale wanaofaulu na kuchaguliwa watapata huduma zote huko vyuoni, vyakula, stationery na N. K, sioni faida ya kugharamia mabilioni ambayo utakuja shindwa kuyakusanya ukizingatia wanafunzi wengi 90% utashindwa kuja kuwapa ajiri ili fedha zirudi serekalini.
burden to government chief, better do cost sharing in provision of social services
 
Back
Top Bottom