Rais Samia, akili za kuambiwa changanya na za kwako

Wako pia wachama pinzani hawampendi huyu mama, hawa viumbe ni wadini na wakabila haswaa.

Kuhusu katiba mpya, navyoona zaidi ni chama pinzani/kaskazini ndiyo wanaodai katiba , na wachache kutoka chama tawala.
 
Wako pia wachama pinzani hawampendi huyu mama, hawa viumbe ni wadini na wakabila haswaa.

Kuhusu katiba mpya, navyoona zaidi ni chama pinzani/kaskazini ndiyo wanaodai katiba , na wachache kutoka chama tawala.

Huku kuona kwako ni kwa vigezo vipi mkuu, mbona wengine nasi tunaona kuona kwako hakuko sahihi?

Your browser is not able to display this video.


Zingatia vigezo hivyo. Kote alipofanya vizuri kunatambuliwa na kupongezwa.

Vigezo vyako vya kuona kwako viko wapi?
 
Naomba niambie tatizo la katiba iliyopo?
Hata maiti haiwezi kuuliza swali hilo! Taifa limetumia mabilioni ya fedha kugharimia Tume ya Warioba kuandika katiba mpya halafu punguani fulani anajitokeza kutokuona tatizo!
 
Mimi nimemaliza mkuu.

Nahamia kwako,, je una uhakika gani ama kigezo gani umetumia kama wengi wao wanahitaji katiba?

Kwamba umemaliza? Bila shaka umeshindwa kuweka vigezo vyovyote.

Kwa hali hiyo ninakuribisha kwangu kwa mikono miwili, uhamie kabisa.

Matatizo ya katiba iliyopo ni kama yalivyo ainishwa kwenye post #11 na #27 kwenye uzi huu.

Nani asiyetaka katiba mpya kwenye hali ambapo:



Nani asiyetaka kutendewa haki?

Yumkini hata wewe unataka katiba mpya ila hujijui tu.
 

Nimekupata chief, haki kwangu ndio kipaumbele
 
we huon ina mapungufu?hyo ilitungwa enzi ya chama kimoja katiba sio msahafu useme isibadilishwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…