Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
-
- #21
Wewe ndio unasema hayo kwa wivu wako tu. Rais wetu anaishi Maisha ya kawaida sanaAcha kupotosha, Rais haishi maisha ya kawaida kama watanzania wengine, hiyo ni mbinu ya kucheza na akili za watu kuelekea Uchaguzi Mkuu
Sijawahi mzingatia maana ushauri wake hauseminanamshauri nani ππππππ. Mimi mbeba mizigo sokoni naanzaje kumsikiliza mtu anasema ninywe kikombe kimoja cha chai bila kitafunwa.π€£π€£π€£π€£π€£Sasa
Sasa mbona Hanabi anatuzia kula vitumbua?!
Katiba yetu ni nzuri na bora sana. Na ndio maana tumestawi na kusalia na usalama,amani na utulivu kama TaifaKatiba sio "kijitabu" ndio iliyokuweka hapo kwenye Vitumbua moto moto vya nazi.
Tunataka Katiba bora mpya.
hicho cha kupigia picha. Bilauri lenyewe lipo chini ya meza hapo.Mbona mnampa mama kikombe kidogo hivyo? Hivi mnajua kuzunguka na kuongea siku nzima si lele mama. Hakikisheni mama kapata mlo wa kutosha bana Janabi muwekeni pembeni kidogo hadi ziara iishe.
Hapo sawa. Bilauri halitoshi waweke kapu kabisa. Mama ale kafanye kazi ya watanzania.hicho cha kupigia picha. Bilauri lenyewe lipo chini ya meza hapo.
Unauza Nchi kwa muamala wa siku?!Katiba yetu ni nzuri na bora sana. Na ndio maana tumestawi na kusalia na usalama,amani na utulivu kama Taifa
Nchi Haiuzwi kama karanga.Unauza Nchi kwa muamala wa siku?!
Kwa hiyo unamchukia magufuri siyo?Nafurahi sana kupata Bahati kuwa na Rais aina ya Rais Samia. Mama mchapakazi na mwenye uchungu na Maisha ya watanzania. Ambaye amedhamiria kabisa kuhakikisha kuwa kila mtanzania anaishi maisha yenye Matumaini na mazuri.Ndio sababu ya kuona akipeleka mabilioni kwa mabilioni ya pesa kila kona ya Nchi hii
Huyu shetani ataleta kweli sababu kichwani amebeba kamasi tupuUsisahau kutuletea habari za kitandani akiwa na Mzee Hafidh..
Huyu siyo chawa ni chiziDAh, ila Machawa!π π
changamoto hana vyetiUnatafuta huruma, soon tutakupa u das
Huyu mwashambwa si graduate. ? Au alifoji vyeti ππchangamoto hana vyeti
Ningeomba ukae pembeni maana huu ni uzi kwa ajili ya wenye akili Timamu tuu.Unapokuwa na majitu majinga kama hili ni hasara kubwa sn kwa taifa na maendeleo ni ndoto, yaani kunywa chai nayo ni story ya kuleta JF badala ya kujadili chanamoto za wananchi? Ndiyo maana tunaonekana JF kama jukwaa la watu wasio na akili kumbe kuna majitu majinga humu hayastahili kuwepo kama huyu shetani. Siku nyingine wewe shetani utapandisha picha za Rais akiwa bafuni. Shetani kabisa.
Mimi nina uwezo wa kwenda kutoa mada Havard university na watu wote wakabakia wanabubujikwa na machozi ya furaha.Huyu mwashambwa si graduate. ? Au alifoji vyeti ππ
Labda wewe ndio huna vyetichangamoto hana vyeti
Graduate wa kitu gani au graduation? alifeli f4 akapelekwa chuo cha utumishi wa umma kusoma certificate ya secretarial services TaboraHuyu mwashambwa si graduate. ? Au alifoji vyeti ππ
Wewe ndio unasema hayo kwa wivu wako tu. Rais wetu anaishi Maisha ya kawaida sana
Fala wewe havard ya mrina au shivaz ππππ, kuwa na adabuMimi nina uwezo wa kwenda kutoa mada Havard university na watu wote wakabakia wanabubujikwa na machozi ya furaha.