Rais Samia Akipata Chai Ya Motomoto Na Vitumbua Kabla ya kuendelea Na Majukumu ya Ukaguzi wa Miradi ya Maendeleo Mkoani Tanga

Watu wa Ikulu wawe makini kwenye kuachia picha na matukio ya Bi Mkubwa.

Huyu mtoa mada hata akiona picha ya Bi Mkubwa anafunga kilemba atakuja kuileta humu kama habari πŸ™Œ
 
Mapishi ya watani zangu wagosi kitumbua kina hiriki,girigirani,karafuu,pilipili manga,mama ale anenepe zaidi,mitano tena kwako mama
 
Mapishi ya watani zangu wagosi kitumbua kina hiriki,girigirani,karafuu,pilipili manga,mama ale anenepe zaidi,mitano tena kwako mama
Acha Mama aendelee kupata chakula bora na mlo safi kwa ajili ya kupata nguvu za kuendelea kututumikia watanzania. Mama ndio Mboni yetu watanzania
 
hiyo nayo ni habari ya kutuletea huku cha ajabu nini sasa yaani sengerema wewe
 
Kumbe Rais anakula vitumbua sasa hiki kisirani changu bila mkate wa siagi hakinywi chai kimepata wapi huo ujasiri ,,
 
KABLA YA KUANZA KAZI YA KULEKEA .........AU KABLA YA KUANZA SAFARI YA KUELEKEA...Ukiwa muongo usiwe msahalifu na ukiwa mjinga pendelea kuficha ujinga .Amini na kwambia CCM haitashinda uchaguzi huu wa 2025 .
 
Kiafya ni nzuri sana hiyo. Hapo atakunywa na maji kiasi na kupumzika kwa muda mfupi kabla ya kuanza safari Rasmi. Ndio maana unaona hata akili ya Rais wetu ikiwa inafanya kazi vizuri sana. Mama yupo imara na mwenye nguvu Muda wote.
Wewe ni mshamba... Kwenye kula breakfast vya baridi vinaanza, then mwisho vya moto!
Usituaminishe ulaji wa kishamba!
 
Wewe ni mshamba... Kwenye kula breakfast vya baridi vinaanza, then mwisho vya moto!
Usituaminishe ulaji wa kishamba!
Basi endelea kula maviporo yako ya baridi mpaka uvimbe Tumbo Utafikiri umepuliziwa upepo.
 
Kwa hiyo kunywa chai siku hizi ni story?
Akili za namna hii ni hasara kwa Taifa!
 
Mungu amzidishie maisha pomoni na Mungu awapunguzie maisha wale wote wanaomchukia mama Samia kipenzi cha Mwenyezi Mungu na WA Tanzania wote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…