Rais Samia Akipata Chai Ya Motomoto Na Vitumbua Kabla ya kuendelea Na Majukumu ya Ukaguzi wa Miradi ya Maendeleo Mkoani Tanga

Kwa kweli kanibubujisha machozi ya furaha huyu kipenzi chako.
Ila ana ulaji mmbaya sana,chai na juice kwa pamoja?
Kwa combinesheni ya Ulaji wa namna hiyo kwa Kweli hawamtendei haki !
Hapo Dr janabi atakuwa anasikitika sana 😳 !
 
Kwa combinesheni ya Ulaji wa namna hiyo kwa Kweli hawamtendei haki !
Hapo Dr janabi atakuwa anasikitika sana 😳 !
Kama unakula na hufanya mazoezi au kujishughulisha na kazi ndio shida .lakini kama unafanya kazi haina shida. Rais wetu Mpendwa yupo kazini muda wote na ni mtu wa kazi muda wote.
 
Rais Wetu Mpendwa anakula na kuishi Maisha ya kawaida kabisa kama tunayoishi sisi watanzania.
Kweli! Tunakubali! Hapati meme, maji, huduma za afya, anakaa foleni barabarani, rais wetu kweli anaishi maisha ya shida kama sisi raia!
πŸ˜…πŸ˜†πŸ˜‚πŸ€£
 
Huyu Mama hana shida....mifumo ndio tatizo,,,,,Anyway mimi si mwana politiki.
 
Unafikirisha sana mzee chawa, unatumia nguvu kubwa sana kwenye haya masuala kuna mawili ,

Unafanya haya uingie kwenye mfumo kisha ufanye jukumu lako la "asili" na nna uhakika utafanikiwa mana kuna wenye " kazi zao wamelala,

Pili unachokifanya umekiwekea code ngumu sana " D mbili " yani unachokisema kiwe vice versa.
 
Kumbe na yeye samia huwa anakunywa chai na kitumbua kama Lolita wangu!!!

Lalita wako anakunywa chai na vitumbua maana ndo uwezo wake, Rais yeye amechagua, na ana option nyingi; hiyo ndo tofauti
 
Mimi nakoshwa sana na uchapakazi wa Mama yetu Mpendwa na ndio maana naungana na mamilioni ya watanzania kumuunga mkono
 
Kama haya unayoandika yanatoka kichwani mwako na unayaamini basi kajipime afya ya akili, ila kama ni sababu ya mkono kwenda kinywani basi I salute you.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…