Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Kwahiyo huamini kuwa tumelibeba! Tumpongeze mama kwa kuiwezesha Tanzania kulibeba kombe kwa mara ya kwanza.Sujui ni lini na sisi tutalibeba Kombe la Dunia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo huamini kuwa tumelibeba! Tumpongeze mama kwa kuiwezesha Tanzania kulibeba kombe kwa mara ya kwanza.Sujui ni lini na sisi tutalibeba Kombe la Dunia.
I mean the hard way.Kwahiyo huamini kuwa tumelibeba! Tumpongeze mama kwa kuiwezesha Tanzania kulibeba kombe kwa mara ya kwanza.
Hapo umenufaikaje?Mwanzo mzuri.Mama yetu,Mungu akupe afya na uzima,uzidi kutunufaisha wananchi yako.
Yaani kombe kama kikombe au fainali za kombe la dunia kufanyika Tanzania ?
Ina tofauti gani na Mwenge wa Olimpiki? Yaani kombe linapitishwa barabarani kuelekea Qatar nayo tunaona ni heshima kubwa kulishika?
Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
Mwanzo mzuri.Mama yetu,Mungu akupe afya na uzima,uzidi kutunufaisha wananchi yako.
Tuungane wote kumpongeza.I mean the hard way.
Kikombe tuYaani kombe kama kikombe au fainali za kombe la dunia kufanyika Tanzania ?
AmenMUNGU ahimidiwe sana kwa kumfyeka kichaa na mwehu wa Taifa ile March 17th 2021.
.Lilivifanyia vile vidudu vya 19 mzaha. Likidhani vidudu vile vinaogopa mibunduki....
Vikamtendea miujiza, nasi tukakoma kufokewa na washamba
Huyo ni mchele mkaushie tuSijamwelewa mtoa mada anaongea nini?
Timu ya kichwa cha mwendawazimu mpaka ikacheze worldcup tulishakufaYaani kombe kama kikombe au fainali za kombe la dunia kufanyika Tanzania ?
Unapoteza muda wako kumwelewesha chiziWewe ndio unauelewa mdogo mkuu
Ile ilikuwa kada ya siasa
Hii ni kada ya michezo
Soma kanuni za FIFA au sera zake halafu rudi tena
Siasa na Michezo haziingiliwi na serikali au kiashiria chochote kutoka serikalini
Ngoja niwatagi wakenya mwakani hawashiriki mashindano ya africa cup of nations kwa sababu za kuchanganya siasa na Michezo
Pia akaenda kuzindua reli iliyojengwa na wajerumani miaka ya 1880Lile jamaa lilikuwa na mbwembwe za kishamba sana. Eti likaenda bandarini kuokota vichwa vya treni visitors na mwenyewe....
Wakati ubavuni vina nembo ya TRL
Hazina faida yoyote hiyo fedha bora ingeelekezwa kwenye huduma za kijamiiIla leo kafariki!
Lakini mpaka Mjukuu wako ataendelea kutumia..
kama ilipangwa achomwe kwa moto wa kuni wabadili wamchome na moto wa gesiMUNGU ahimidiwe sana kwa kumfyeka kichaa na mwehu wa Taifa ile March 17th 2021.