Rais Samia akipokea Kombe la Dunia, Ikulu, Dar es Salaam Mei 31, 2022

Rais Samia akipokea Kombe la Dunia, Ikulu, Dar es Salaam Mei 31, 2022

Nijuavyo mm kombe la Dunia linashikwa na mkuu wa nchi tu, kwahiyo uwakilishi hapo hakuna mkuu,japo ni aibu Kwa Taifa hatujawahi kushiriki hata mara moja
 
..kombe la dunia halitutii hasara.

..ndege zimetutia hasara wakati wa kununua, na kila mwaka ktk uendeshaji wa shirika la ndege.
 
Lilivifanyia vile vidudu vya 19 mzaha. Likidhani vidudu vile vinaogopa mibunduki....

Vikamtendea miujiza, nasi tukakoma kufokewa na washamba
.
IMG-20211205-WA0000.jpg
 
Wewe ndio unauelewa mdogo mkuu

Ile ilikuwa kada ya siasa
Hii ni kada ya michezo

Soma kanuni za FIFA au sera zake halafu rudi tena

Siasa na Michezo haziingiliwi na serikali au kiashiria chochote kutoka serikalini

Ngoja niwatagi wakenya mwakani hawashiriki mashindano ya africa cup of nations kwa sababu za kuchanganya siasa na Michezo
Unapoteza muda wako kumwelewesha chizi
 
Lile jamaa lilikuwa na mbwembwe za kishamba sana. Eti likaenda bandarini kuokota vichwa vya treni visitors na mwenyewe....

Wakati ubavuni vina nembo ya TRL
Pia akaenda kuzindua reli iliyojengwa na wajerumani miaka ya 1880
 
Back
Top Bottom