Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Utaweza kukwepa makombora mfululizo asubuhi mpaka asubuhi nyingine?Bora kuishi Gaza kuliko Tanzania
Mbona nawaona waheshimiwa hapa kijijini kwetu wamefurahi muda huu baada ya kupiga mbitu na msapulo?Bongo bahati mbaya π
Duh!....π π Asubuhi yote hii mkuu!Bwege wewe
Uzuri wa Samia ni Msema Ukweli.
Akiwaapisha wateule Ikulu, Rais Samia Kwa kunywa chake amekataa article ya kitapeli inayosemwa Tanzania ni ya 3 Kwa wananchi wake kuwa na furaha.
Rais Samia amekataa utafiti huo uchwara na kusema Watanzania hawana furaha.
Kwahiyo Wananzengo mpaka Rais anajuwa Watanzania tunaishi kama tupo jela tu.
Habari ndio hiyo.
Watanganyika haoMbona nawaona waheshimiwa hapa kijijini kwetu wamefurahi muda huu baada ya kupiga mbitu na msapulo?
Kajificha uvunguniUzuri wa Samia ni Msema Ukweli.
Mwasamba amezipata hizi habari?
ndiyo, ni kweliAkiwaapisha wateule Ikulu, Rais Samia Kwa kunywa chake amekataa article ya kitapeli inayosemwa Tanzania ni ya 3 Kwa wananchi wake kuwa na furaha.
Rais Samia amekataa utafiti huo uchwara na kusema Watanzania hawana furaha.
Kwahiyo Wananzengo mpaka Rais anajuwa Watanzania tunaishi kama tupo jela tu.
Habari ndio hiyo.
HahaBongo bahati mbaya π
Lucas Choicevariable
Umegeuka ghafla.....Chawa prondiyo, ni kweli
hiyo ni kumaanisha furaha yake Rais, comrade DR SSH, na ya waTanzania wote ni kuona maji safi na salama yanapatikana kwa uhakika na yanawafikia waTanzania wote popote walipo π
Furaha yake na ya waTanzania wote nikuona hudumu za afya, nishati na elimu zinapatikana kwa uhakika na kuwatosheleza waTanzania wote popote walipo π
na katika hudumu nyingine zote unazozifahamu kiuchumi, kijamii na kisiasa , Rais angependelea hao alowaapisha na watendaji wengine kufanya bidii zaidi na kupeleka tabasamu ya huduma za uhakika kwa wanainchi na hatimae CHEKO KAMILI la haja Oct.2025π
Umeumbuka.... Sasa yule mnayemsingizia ooh mambo mazuri leo kasema mwenyeweBwege wewe
Ongeza bidii huenda ukaambulia visenti kwenye kampeni za serikali za mtaa.ndiyo, ni kweli
hiyo ni kumaanisha furaha yake Rais, comrade DR SSH, na ya waTanzania wote ni kuona maji safi na salama yanapatikana kwa uhakika na yanawafikia waTanzania wote popote walipo π
Furaha yake na ya waTanzania wote nikuona hudumu za afya, nishati na elimu zinapatikana kwa uhakika na kuwatosheleza waTanzania wote popote walipo π
na katika hudumu nyingine zote unazozifahamu kiuchumi, kijamii na kisiasa , Rais angependelea hao alowaapisha na watendaji wengine kufanya bidii zaidi na kupeleka tabasamu ya huduma za uhakika kwa wanainchi na hatimae CHEKO KAMILI la haja Oct.2025π
π€£π€£Utaweza kukwepa makombora mfululizo asubuhi mpaka asubuhi nyingine?
Tafiti uchwara kama hiyo hupendwa na team CHAWA akina Lucas, choicevariable, nk ambao huzishikia bango kweli kweli
Akiwaapisha wateule Ikulu, Rais Samia Kwa kinywa chake amekataa article ya kitapeli inayosemwa Tanzania ni ya 3 Kwa wananchi wake kuwa na furaha.
Rais Samia amekataa utafiti huo uchwara na kusema Watanzania hawana furaha.
Kwahiyo Wananzengo mpaka Rais anajuwa Watanzania tunaishi kama tupo jela tu.
Habari ndio hiyo.