johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Lucas anaigiza 😂😂Itakuwaje sasa wakati akina mwashambwa wanasema watanzania wabubujikwa na machozi ya furaha [emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lucas anaigiza 😂😂Itakuwaje sasa wakati akina mwashambwa wanasema watanzania wabubujikwa na machozi ya furaha [emoji23][emoji23]
Nchi zenye furaha duniani utaona hata wanawake wanafuraha na wazuri pia
Utafiti huo sio mimi
Waliofika Finland, Denmark, Norway au Iceland watanielewa
Hivi mna furaha gani kutwa mnalalamika humu?
Hata yeye anawachora humu wakataa ndoa 😄
Kataa Chawa wa mama Hizo ndio report zao
Akiwaapisha wateule Ikulu, Rais Samia Kwa kinywa chake amekataa article ya kitapeli inayosemwa Tanzania ni ya 3 Kwa wananchi wake kuwa na furaha.
Rais Samia amekataa utafiti huo uchwara na kusema Watanzania hawana furaha.
Kwahiyo Wananzengo mpaka Rais anajuwa Watanzania tunaishi kama tupo jela tu.
Habari ndio hiyo.
Watu wanachukulia poa uhuru uliopo, wanajiona wao wana shida kuliko nchi zingine, problem ya kuwa na wananchi ambao hawana exposure ya nchi za njeUtaweza kukwepa makombora mfululizo asubuhi mpaka asubuhi nyingine?
Ripoti muandaaji Steve Nyerere 😂Kataa Chwa wa mama Hizo ndio report zao
visapulanga!Mbona nawaona waheshimiwa hapa kijijini kwetu wamefurahi muda huu baada ya kupiga mbitu na msapulo?
mbona kububujikwaaa🤣🤣🤣🤣🙌Itakuwaje sasa wakati akina mwashambwa wanasema watanzania wabubujikwa na machozi ya furaha [emoji23][emoji23]
Nilitaka nishangae Watanzania wapate wapi furaha wakati huku kuna Tanesco, kushoto kuna CCM, kulia kuna uhaba wa maji, mbele kiddogo vifurushi vya Internet bei juu.
Akiwaapisha wateule Ikulu, Rais Samia Kwa kinywa chake amekataa article ya kitapeli inayosemwa Tanzania ni ya 3 Kwa wananchi wake kuwa na furaha.
Rais Samia amekataa utafiti huo uchwara na kusema Watanzania hawana furaha.
Kwahiyo Wananzengo mpaka Rais anajuwa Watanzania tunaishi kama tupo jela tu.
Habari ndio hiyo.
Kuna yule mpumbavu wa kuitwa ChoiceVariable jana nilimwambia aache kukubaliana na kila utafiti uchwara, nadhani akipita hapa hatakubali kuacha akili zake nyumbani.
Akiwaapisha wateule Ikulu, Rais Samia Kwa kinywa chake amekataa article ya kitapeli inayosemwa Tanzania ni ya 3 Kwa wananchi wake kuwa na furaha.
Rais Samia amekataa utafiti huo uchwara na kusema Watanzania hawana furaha.
Kwahiyo Wananzengo mpaka Rais anajuwa Watanzania tunaishi kama tupo jela tu.
Habari ndio hiyo.
Hahaha! Mpaka wanabubujikwa machozi kina Lucas mwashambwaChawa wanafuraha
Luca ana vituko.Hivi anadhani kububujikwa na machozi ni rahisi tu kama kula maparachichi?Itakuwaje sasa wakati akina mwashambwa wanasema watanzania wabubujikwa na machozi ya furaha [emoji23][emoji23]
Tambo za Lucas hizombona kububujikwaaa🤣🤣🤣🤣🙌