Rais Samia akiri Watanzania hawana furaha

Rais Samia akiri Watanzania hawana furaha

Chawa wa mama kazini. Akigeuka na nyie mnageuka.
mpaka kwenye uchaguzi wa serika za mitaa waTanzania wote lazima wawe na long smile 🤓
coz maji safi na salama yatakua bwerere, yakutosha na ya uhakika, umeme, afya elimu and everything navyo ni kama kawa more 🔥🐒

na Oct 2025 ni cheko la ushindi wa kishindo aise 🤣
 
Lucas anaigiza [emoji23][emoji23]
Mwashambwa, siamini kuwa hana akili kwa kiwango kile anachoonesha humu. Nadhani ama unafiki umevuka mipaka au maisha yake magumu yamemfanya awe tayari kufanya vituko vya kila aina akiamini labda hivyo vituko vitamsaidia angalao kushibisha tumbo lake ambalo lina tamaa kubwa ya kushiba kwa njia zozote zile.
 

Akiwaapisha wateule Ikulu, Rais Samia Kwa kinywa chake amekataa article ya kitapeli inayosemwa Tanzania ni ya 3 Kwa wananchi wake kuwa na furaha.

Rais Samia amekataa utafiti huo uchwara na kusema Watanzania hawana furaha.

Kwahiyo Wananzengo mpaka Rais anajuwa Watanzania tunaishi kama tupo jela tu.

Habari ndio hiyo.
Huyu mama ni mkweli Ila kuna wapuuzi wanampandikiza uongo.
 

Akiwaapisha wateule Ikulu, Rais Samia Kwa kinywa chake amekataa article ya kitapeli inayosemwa Tanzania ni ya 3 Kwa wananchi wake kuwa na furaha.

Rais Samia amekataa utafiti huo uchwara na kusema Watanzania hawana furaha.

Kwahiyo Wananzengo mpaka Rais anajuwa Watanzania tunaishi kama tupo jela tu.

Habari ndio hiyo.
 

Attachments

  • Screenshot_20240313_123545.jpg
    Screenshot_20240313_123545.jpg
    361.7 KB · Views: 3

Akiwaapisha wateule Ikulu, Rais Samia Kwa kinywa chake amekataa article ya kitapeli inayosemwa Tanzania ni ya 3 Kwa wananchi wake kuwa na furaha.

Rais Samia amekataa utafiti huo uchwara na kusema Watanzania hawana furaha.

Kwahiyo Wananzengo mpaka Rais anajuwa Watanzania tunaishi kama tupo jela tu.

Habari ndio hiyo.
FB_IMG_1575390800494.jpg
 
Tanzania hata kama una kipato cha milioni 10 kwa mwezi bado hutaweza kuishi kwa Furaha maana waliokuzunguka wana maisha magumu
Kabisa maana wakati wewe unaagiza vx huku ndugu zako Hali mbaya
 

Akiwaapisha wateule Ikulu, Rais Samia Kwa kinywa chake amekataa article ya kitapeli inayosemwa Tanzania ni ya 3 Kwa wananchi wake kuwa na furaha.

Rais Samia amekataa utafiti huo uchwara na kusema Watanzania hawana furaha.

Kwahiyo Wananzengo mpaka Rais anajuwa Watanzania tunaishi kama tupo jela tu.

Habari ndio hiyo.
Tukiambiwa Mazaa anapitaga humu jamani tujadiliane kwa staha mnabisha.
 

Akiwaapisha wateule Ikulu, Rais Samia Kwa kinywa chake amekataa article ya kitapeli inayosemwa Tanzania ni ya 3 Kwa wananchi wake kuwa na furaha.

Rais Samia amekataa utafiti huo uchwara na kusema Watanzania hawana furaha.

Kwahiyo Wananzengo mpaka Rais anajuwa Watanzania tunaishi kama tupo jela tu.

Habari ndio hiyo.
Wenzie walifanya utafiti wakaona Wabongo Wana furaha Sasa yeye anakana Kwa nini? 😁😁😁😁
 
Back
Top Bottom