Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Leo sijui atakuja na gia ipi ya kukanusha furaha ya watanzaniaLucas anaigiza 😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo sijui atakuja na gia ipi ya kukanusha furaha ya watanzaniaLucas anaigiza 😂😂
Hawezi. Tumsamehe bure.Utaweza kukwepa makombora mfululizo asubuhi mpaka asubuhi nyingine?
..."Ndugu zangu Watanzania,nilipoeleza kuhusu ububujikaji wa machozi ya furaha,hamkunielewa.Ni mfano tu wa machozi.Siyo machozi mnayoyafikiria mawazoni mwenu"...!Leo sijui atakuja na gia ipi ya kukanusha furaha ya watanzania
Tulia kijana labda amjamwelewa vyema Mkuu wa kayaUmeumbuka.... Sasa yule mnayemsingizia ooh mambo mazuri leo kasema mwenyewe
Alikuwa anaongea Kijapan?Tulia kijana labda amjamwelewa vyema Mkuu wa kaya
Mmekurupuka ndg
Lucas mwashambwa anasemaje
Akiwaapisha wateule Ikulu, Rais Samia Kwa kinywa chake amekataa article ya kitapeli inayosemwa Tanzania ni ya 3 Kwa wananchi wake kuwa na furaha.
Rais Samia amekataa utafiti huo uchwara na kusema Watanzania hawana furaha.
Kwahiyo Wananzengo mpaka Rais anajuwa Watanzania tunaishi kama tupo jela tu.
Habari ndio hiyo.
serikali za mitaa nipo,Ongeza bidii huenda ukaambulia visenti kwenye kampeni za serikali za mtaa.
Amekataa kwa kusema nini. We ni dk wa nini
Akiwaapisha wateule Ikulu, Rais Samia Kwa kinywa chake amekataa article ya kitapeli inayosemwa Tanzania ni ya 3 Kwa wananchi wake kuwa na furaha.
Rais Samia amekataa utafiti huo uchwara na kusema Watanzania hawana furaha.
Kwahiyo Wananzengo mpaka Rais anajuwa Watanzania tunaishi kama tupo jela tu.
Habari ndio hiyo.
hiyo ni kitu gani asee 🐒Umegeuka ghafla.....Chawa pro
Hii ilitakiwa iwe thread kabisa.Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar mh Othman Masoud alisema juzi kuwa Zanzibar hakuna Amani kuna Ukimya
Leo Rais kasema Watanzania hawana Furaha
Ndio nauliza Watanzania wanapendana?
Amani, Upendo, Furaha ni zao la Haki, je Haki ipo nchini?!
Ramadan Kareem [emoji1]
Mama amefunga Ramadhan hataki kuchuma dhambi za kujitakia.Lucas mwashambwa anasemaje
Chawa wa mama kazini. Akigeuka na nyie mnageuka.ndiyo, ni kweli
hiyo ni kumaanisha furaha yake Rais, comrade DR SSH, na ya waTanzania wote ni kuona maji safi na salama yanapatikana kwa uhakika na yanawafikia waTanzania wote popote walipo 🐒
Furaha yake na ya waTanzania wote nikuona hudumu za afya, nishati na elimu zinapatikana kwa uhakika na kuwatosheleza waTanzania wote popote walipo 🐒
na katika hudumu nyingine zote unazozifahamu kiuchumi, kijamii na kisiasa , Rais angependelea hao alowaapisha na watendaji wengine kufanya bidii zaidi na kupeleka tabasamu ya huduma za uhakika kwa wanainchi na hatimae CHEKO KAMILI la haja Oct.2025🐒
Yeye ndo alipaswa kutufanya tuwe na furaha alkini wwpi
Akiwaapisha wateule Ikulu, Rais Samia Kwa kinywa chake amekataa article ya kitapeli inayosemwa Tanzania ni ya 3 Kwa wananchi wake kuwa na furaha.
Rais Samia amekataa utafiti huo uchwara na kusema Watanzania hawana furaha.
Kwahiyo Wananzengo mpaka Rais anajuwa Watanzania tunaishi kama tupo jela tu.
Habari ndio hiyo.