mpaka kwenye uchaguzi wa serika za mitaa waTanzania wote lazima wawe na long smile π€Chawa wa mama kazini. Akigeuka na nyie mnageuka.
Mwashambwa, siamini kuwa hana akili kwa kiwango kile anachoonesha humu. Nadhani ama unafiki umevuka mipaka au maisha yake magumu yamemfanya awe tayari kufanya vituko vya kila aina akiamini labda hivyo vituko vitamsaidia angalao kushibisha tumbo lake ambalo lina tamaa kubwa ya kushiba kwa njia zozote zile.Lucas anaigiza [emoji23][emoji23]
Huyu mama ni mkweli Ila kuna wapuuzi wanampandikiza uongo.
Akiwaapisha wateule Ikulu, Rais Samia Kwa kinywa chake amekataa article ya kitapeli inayosemwa Tanzania ni ya 3 Kwa wananchi wake kuwa na furaha.
Rais Samia amekataa utafiti huo uchwara na kusema Watanzania hawana furaha.
Kwahiyo Wananzengo mpaka Rais anajuwa Watanzania tunaishi kama tupo jela tu.
Habari ndio hiyo.
Akiwaapisha wateule Ikulu, Rais Samia Kwa kinywa chake amekataa article ya kitapeli inayosemwa Tanzania ni ya 3 Kwa wananchi wake kuwa na furaha.
Rais Samia amekataa utafiti huo uchwara na kusema Watanzania hawana furaha.
Kwahiyo Wananzengo mpaka Rais anajuwa Watanzania tunaishi kama tupo jela tu.
Habari ndio hiyo.
Akiwaapisha wateule Ikulu, Rais Samia Kwa kinywa chake amekataa article ya kitapeli inayosemwa Tanzania ni ya 3 Kwa wananchi wake kuwa na furaha.
Rais Samia amekataa utafiti huo uchwara na kusema Watanzania hawana furaha.
Kwahiyo Wananzengo mpaka Rais anajuwa Watanzania tunaishi kama tupo jela tu.
Habari ndio hiyo.
Dah π π π πItakuwaje sasa wakati akina mwashambwa wanasema watanzania wabubujikwa na machozi ya furaha [emoji23][emoji23]
Acha nenda wewe Gaza acha mzaha wewe ndege John umesemaje hapoBora kuishi Gaza kuliko Tanzania
Kabisa maana wakati wewe unaagiza vx huku ndugu zako Hali mbayaTanzania hata kama una kipato cha milioni 10 kwa mwezi bado hutaweza kuishi kwa Furaha maana waliokuzunguka wana maisha magumu
Tukiambiwa Mazaa anapitaga humu jamani tujadiliane kwa staha mnabisha.
Akiwaapisha wateule Ikulu, Rais Samia Kwa kinywa chake amekataa article ya kitapeli inayosemwa Tanzania ni ya 3 Kwa wananchi wake kuwa na furaha.
Rais Samia amekataa utafiti huo uchwara na kusema Watanzania hawana furaha.
Kwahiyo Wananzengo mpaka Rais anajuwa Watanzania tunaishi kama tupo jela tu.
Habari ndio hiyo.
Wenzie walifanya utafiti wakaona Wabongo Wana furaha Sasa yeye anakana Kwa nini? ππππ
Akiwaapisha wateule Ikulu, Rais Samia Kwa kinywa chake amekataa article ya kitapeli inayosemwa Tanzania ni ya 3 Kwa wananchi wake kuwa na furaha.
Rais Samia amekataa utafiti huo uchwara na kusema Watanzania hawana furaha.
Kwahiyo Wananzengo mpaka Rais anajuwa Watanzania tunaishi kama tupo jela tu.
Habari ndio hiyo.
Na amekataa vikundi, yeye hana kundi lolote, sasa wale wanaojiita Chawa wa mama mwenyewe hataki tena omeongea hadharani na mwislamu yule anafunga wasimuharibie Ibada yake.Huyu mama ni mkweli Ila kuna wapuuzi wanampandikiza uongo.
π πNa amekataa vikundi, yeye hana kundi lolote, sasa wale wanaojiita Chawa wa mama mwenyewe hataki tena omeongea hadharani na mwislamu yule anafunga wasimuharibie Ibada yake.
Hao ni Enemy of state.π π
Kwahiyi mkuu, wale Sijui nyuki wa mama, Chawa wa mama,sungura wa mama tuwaweke kwenye kundi la nani
Akiwaapisha wateule Ikulu, Rais Samia Kwa kinywa chake amekataa article ya kitapeli inayosemwa Tanzania ni ya 3 Kwa wananchi wake kuwa na furaha.
Rais Samia amekataa utafiti huo uchwara na kusema Watanzania hawana furaha.
Kwahiyo Wananzengo mpaka Rais anajuwa Watanzania tunaishi kama tupo jela tu.
Habari ndio hiyo.