Samia kwenye masuala mengine anajitahidi, yupo fast to act, which is good.
Ila kwenye mambo ya siasa anakuwa mgumu sana kuelewa mpaka pawepo na vikao vya maridhiano, tena hata kwenye masuala yaliyo wazi kisheria, ajabu sana, sijui wakina nani wanamdanganya.
Umeelewa lakini kweli?Asilimia 23.3 ongezeko ni hatua nzuri. Inabidi Mama Samia apewe pongezi kwa kuwajali wafanyakazi!
Upo kima Cha chini?Daa,bonge la zari
Kwa nini unauliza?Umeelewa lakini kweli?
Mtego uko hapa na utawanasa wengi.Hii 23.3% kwa kima cha chini cha mshahara kwa Watumishi wa Umma? Ina maana gani hasa? Msishangilie kwa hili
Hiyo ni wa watu walio kima Cha chini, waliokua wakilipwa 270000, Sasa watalipwa 330000Watanzania walivyo WAPUMBAVU wapo ambao watapinga na kutoka kejeli hata kwa hili la kuongeza mishahara kwa 23.3% tena TZ ikiongoza kwa nyongeza kubwa zaidi ya Mishahara EAC.
Tatizo hakuna ufafanuzi hapo! Ongezeko la asiliamia 23.3%la kila cha chini cha msharana! Sio ongezeko la mshahara kwa asilimia 23.3%! Hapo tuelewane kwanza ndo tuweze kuongea zaidi hapo ni jambo zuri!Watanzania walivyo WAPUMBAVU wapo ambao watapinga na kutoka kejeli hata kwa hili la kuongeza mishahara kwa 23.3% tena TZ ikiongoza kwa nyongeza kubwa zaidi ya Mishahara EAC.
Hiko kichwa fanyia kazi nyingine.23.3% Kwa kima cha chini maana yake ni NYONGEZA KWA LEVEL ZOTE, KUANZIA CHINI.
Afu sijakuona ukichangia hizi siku mbili tatu,vp? Ulikula ban my friend?Upo kima Cha chini?
Kweli pasi na shakaMhhhh hiinitakua ni kweli au gheresha
Ni kwa walio kima Cha chini (270k)Kwa nini unauliza?
Hili taifa sio la wahuni, wavunja sheria hawaachwi hata dakika moja.Bosi Achana na wanawake wale, ukishindana na wanawake uwezi kufanikiwa, Acha chuki tafuta ela Jenga Maisha yako
Una elimu gani mkuu?? Kwahiyo aliyekuwa analipwa 330000 mwanzoni ataendelea kulipwa hivyo kwa akili yako?Hiyo ni wa watu walio kima Cha chini, waliokua wakilipwa 270000, Sasa watalipwa 330000
NipoAfu sijakuona ukichangia hizi siku mbili tatu,vp? Ulikula ban my friend?