Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Jiandae kurudi kwenu RwandaHuelewi kitu kaa kimya!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jiandae kurudi kwenu RwandaHuelewi kitu kaa kimya!
Hongera sana Rais SSH!Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan akubali ongezeko la 23.3% kwa kima cha chini cha mshahara kwa watumishi wa umma.
View attachment 2224213View attachment 2224214
Wewe ndo umeelewa kama mimi! Mfano mtu analipwa lakini tatu kima cha chini cha watumishi wa umma! Huyu ndo ameongezewa kwa asilimia 23% Ila pia wengine kuna ongezek ambalo halijawekwa wazi! Ili kufikia ongezeko la tril1.9 kwa mshahara lazima kila mtumishi ambaye sio wa kima cha chini atapata ongezeko laweza kuwa halifikii 23% kama ilivyo kwa wale wa kima cha chini!Hapa kwa kima cha chini ni 23. Ila kwa waliovuka kima cha chini wamepugiwa hesabu zingine.
Yaani 1.9 trillion iwe imeongezwa kwa waliokuwa wanalipwa laki 3 kamili tu inakuja?
😀 dah nimecheka sanaHiko kichwa fanyia kazi nyingine.
Hata mimi sijasema woteHiyo ni ya kima cha chini mkuu, sio wote.
Kima Cha chiniWote inaongezeka percent hiyo au ni wale wa kima cha chini tu?
Tunakamuana ili kulipana mishahara tu.
Miradi ya maendeleo imelala huko.
Watu tunawaza kula tu.
Mnaumia sana Sukuma gang.Anahusikaje hapa? Kwani yeye asingepandisha? Mbona alishusha PAYE mkuu!
Sijapanda Sabaya kuachiwaKwenye hilo kanifurahisha ila akimuachia sabaya ataifuta hiyo furaha yng
Mambo ya siasa Kama yapi?Rais Samia kwenye masuala mengine anajitahidi, yupo fast to act, which is good.
Ila kwenye mambo ya siasa anakuwa mgumu sana kuelewa mpaka pawepo na vikao vya maridhiano, tena hata kwenye masuala yaliyo wazi kisheria, ajabu sana; sijui wakina nani wanamdanganya, hajiamini.
Wanakurupuka tu hawasomi vizuri taarifa! Nilitaka kufafanua hili, umeeleweka mkuu!Watanzania tuna shida gani?
Hilo tangazo mmesoma vizuri kabla ya kuanza kubishana kuhusu kima cha chini?
Nanukuu " NYONGEZA YA MISHAHARA KWA WATUMISHI WA UMMA IKIWEMO KIMA CHA CHINI KWA 23%"
sasa kuna wengine mmeonna KWA KIMA CHA CHINI tu.
Kama hawataki wajinyonge Tena Kwa big GggUtatuna sana mwaka huu sukuma gang! Samia anazidi kuupiga nwingi
Bila Nguvu ya Wananchi usingeona Vitu kama Hivi! Huu wote ni msukumo kutoka Kwa Wananchi! Hata Mafuta watu wasingepiga kelele usingeona Serikali ikichukua Hatua yoyote! Jitambue kijanaWale waliokuwa nawakejeli sasa vipi hapo wekeni video za Kenya tena
Mateso yako palepaleSio haba kwa kima cha chini hapo kaongeza at least kodi ya nyumba kwa room kuanzia 50K.
Tupo. Mama ameupiga mwingi na tunampongeza.Sukuma Gang hutawaona hapa.. samia anafanya ambayo mungu wao alishindwa kwa miaka 6 halafu bado Yanamuabudu kama Wafuasi wa nabii Zumarid