Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mimi naunga mkono ila ongezeko pia liendane na kushusha inflation maana mwisho wa siku unaweza kuongezeka elfu 80,000/= kwenye mshahara wako ambayo haitaleta impact yeyote kama maisha yataendelea kupanda!Mnaumia sana Sukuma gang.
Bahati nzuri niliajiriwa 2015 July kwahiyo hunielezi chochote kipya kilicholeta unafuu wa mtumishi kutoka kwa Ibilisi wenu marehemu.
Mama kuingia tu miezi 3 madaraja hayo tukavuta pesa benki.
Na sasa tunasubiri kidogo tu tuvute tena pesa.
Asiye na nyumba atajenga, asiye na gari atanunua sasa.
Na ambao tumeshaoata hivyo vyote tutafungua business Kariakoo
Hii 23.3% kwa kima cha chini cha mshahara kwa Watumishi wa Umma? Ina maana gani hasa? Msishangilie kwa hili
Mimi sijui kuhusu watumishi, ndio maana nimekuambia hiyo niongeza ya 23 sio flat rate.Mm ni mtumishi mzee, kwa taarifa yako hata walipopunguza kodi kuwa 8% effect unaiona kwenye mshahara wako. Kama mtumishi hukuona kuna nyongeza ya elfu kadhaa ya pesa imeongezeka kwako??
Duh Mkuu ulikuwa unaeleza vizuri sana na wenye uelewa wameshakuelewa, hukupaswa kumjibu hivyo huyo, wengine ni kuwaignore na siku zinasongaSibishani na wapumbavu mimi. Kaa na mavi yako kichwani.
Kwa akili yako ukisikia kima cha chini kimesogezwa mpaka 330,000 wale ambao walikuwa hapo awali watabakia katika kiwango hikohiko?
Mishahara huongezwa kutoka chini na juu inaadjust yenyewe kutokana na Nyongeza hizo.
Umejaza mavi kichwani na ni kheri Babako angepiga NYETO.
Kumbe Kama mimi tuMimi mbeba boksi huku,hilo halinihusu.
Ukishapandisha Kima cha chini automatically wote wanapanda. Mshahara Ni haki ya kila mfanyakaziHiyo ni ya kima cha chini mkuu, sio wote.
Duh Mkuu ulikuwa unaeleza vizuri sana na wenye uelewa wameshakuelewa, hukupaswa kumjibu hivyo huyo, wengine ni kuwaignore na siku zinasongaSibishani na wapumbavu mimi. Kaa na mavi yako kichwani.
Kwa akili yako ukisikia kima cha chini kimesogezwa mpaka 330,000 wale ambao walikuwa hapo awali watabakia katika kiwango hikohiko?
Mishahara huongezwa kutoka chini na juu inaadjust yenyewe kutokana na Nyongeza hizo.
Umejaza mavi kichwani na ni kheri Babako angepiga NYETO.
Ni kweli, ufafanuzi unahitajika.Tatizo hakuna ufafanuzi hapo! Ongezeko la asiliamia 23.3%la kila cha chini cha msharana! Sio ongezeko la mshahara kwa asilimia 23.3%! Hapo tuelewane kwanza ndo tuweze kuongea zaidi hapo ni jambo zuri!
Kima Cha chini Cha Msharahara wa Mtumishi wa Umma, Yani yule Mtu anayelipwa mshaharabwa chini Kbsa Mfano Wafanyakazi wa ndani wa Viongozi walioajiriwa na Serikali nao Msharahara wao utaongezeka Kwa Asilimia 23Hata sijaelewa hiyo 23% ya kima cha chini maana yake nini!
Hìi itakuwa ni kima cha chini, yaani kwa walio ajiriwa hivi karibuni.Hii 23.3% kwa kima cha chini cha mshahara kwa Watumishi wa Umma? Ina maana gani hasa? Msishangilie kwa hili
Nashangaa mijitu inashangilia. Inamaana kuwa wale wenye mishahara ya laki mbili wataongezewa hiyo asilimia ila wenye mishahara mingine hakuna nyongezaHii 23.3% kwa kima cha chini cha mshahara kwa Watumishi wa Umma? Ina maana gani hasa? Msishangilie kwa hili
Tunakamuana ili kulipana mishahara tu.
Miradi ya maendeleo imelala huko.
Watu tunawaza kula tu.
KweliUkishapandisha Kima cha chini automatically wote wanapanda. Mshahara Ni haki ya kila mfanyakazi
Hiyo hesabu umeitolea wapi mkuu? 23%! Ulisoma historical eee? Mshahara unavyopanda hata makato mengine yanapanda so hapo ongezeko halosi mfuoni no kama 40,000/= ila sio haha pongezi kwa Serikali!Aliyekuwa anapokea 300,000 sasa itakuwa 369,000. Sio mbaya sana.
Kuna huyu FRANCIS DA DONUsimsahau mnyarwanda aliyekulia usukumani Suzy Elias na nduguze Nyani Ngabu Nyankurungu2020 na wengineo