msomi uchwara
JF-Expert Member
- Oct 17, 2017
- 4,280
- 7,903
Lakini mkuu mbona kuhusu ajira, awamu hii inajitahidi sana kuajiri watu.Ni sawa kwa upande wa watumishi na wamachinga na vijana wasiokua na ajira ametatua vp tatzo
Sent using Jamii Forums mobile app