Rais Samia akubali ongezeko la asilimia 23.3 kwa kima cha chini cha mshahara kwa watumishi wa umma

Rais Samia akubali ongezeko la asilimia 23.3 kwa kima cha chini cha mshahara kwa watumishi wa umma

Watanzania walivyo WAPUMBAVU wapo ambao watapinga na kutoka kejeli hata kwa hili la kuongeza mishahara kwa 23.3% tena TZ ikiongoza kwa nyongeza kubwa zaidi ya Mishahara EAC.
Mambo mazuri tusifie na kwenye kudhani kuna makosa tukosoe kwa kujenga ili kuboresha. Ukichukulia hali ya kiuchumi hili ni jambo zuri litasaidia kidogo na kuwashauri serikali tu wasiongeze budget kiujumla hii pesa itoke sehemu ipunguzwe kama matumizi ya kawaida ya serikali moja ya sehemu ya kungalia sana ruzuku ya vyama vya siasa ni wakati wa kukata hii vyama vijiendeshe kwa pesa zao za ndani maana vyama vimekuwa miradi sio siasa tena. lingine bunge kuna pesa nyingi zinalipwa hivyo huko wakate hii itasaidia kugombea ubunge isiwe sehemu ya kupata riziki bali sehemu ya kupigania maendeleo na siasa.
 
Kwa Replies hizi kwenye uzi huu nime prove kwamba Watanzania wengi ni weupe kichwani....

Yaan its a matter of understanding tuu, ila sasa kila mtu anaeleza kivyake wakati statement ni moja.

Watanzania tumezidi ujuaji asee, af sasa hatujui kitu...
 
Kwa miaka 8 bila nyongeza ilitakiwa iwe asilimia 80.
80%?? jaribu halafu utaona inflation yake hutaamini utasema maisha yalikuwa rahisi zamani kuliko sasa. Ukiongeza pesa nyingi kwenye mzunguko usio uwiana na uzalishaji basi inflation kubwa itatokea.
 
Wewe ni MPUMBAVU. Tumekaa miaka 6 bila nyongeza ya mishahara hapa.
Wewe mtukane tu huyo jamaa lakini kaongea ukweli,vitu vinapanda bei Kila siku hiyo 23.3% utabaki ukipiga marchtime hapohapo husogei popote,kungesaidia kama kusingekuwa na mfumuko wa bei,kaulize bei ya sementi,bati,nondo rola Moja,ndo utajua kwamba hiyo nyongeza itakusaidia kuishi kwenye chumba Cha kupanga tu,na bei yake isizidi elfu 50 Kwa mwezi
 
Afadhali wewe umeliona hilo. Unless otherwise mwandishi naye kiswahili kwake ni taabu, Lakini tafsiri ya aya ya kwanza ni hii.

1. Rais amekubali kuongeza mshahara kwa kiasi ambacho bado hakijawekwa wazi na ameongeza pia kima Cha chini kwa 23.3/%
2. Rasi amekubali kuongeza mshahara kwa 23.3% na kima Cha chini kwa 23.3%.
Hapo kimsingi asilimia zitatofautiana. Ila wale wa kima cha chini watapata iyo 23.3%.. Wengine itaendelea kushuka kutokana na ukubwa wa mshahara wako.
 
Rais Samia kwenye masuala mengine anajitahidi, yupo fast to act, which is good.

Ila kwenye mambo ya siasa anakuwa mgumu sana kuelewa mpaka pawepo na vikao vya maridhiano, tena hata kwenye masuala yaliyo wazi kisheria, ajabu sana; sijui wakina nani wanamdanganya, hajiamini.
Mambo ya siasa kama yapi ?....fafanua kidogo

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Hapo tunaenda kukopa ili kulipa mishahara .

I am telling you.
Hakuna serikali inakopa kwa kulipa mshahara ukifika hapo ujuwe nchi imefilisika sio kweli ni kama wewe ukikopa ili upate chakula ujuwe umefilisika. Hebu nikatizame kama kuna bank inakopesha kwa ajili ya ugali.
 
Wewe mtukane tu huyo jamaa lakini kaongea ukweli,vitu vinapanda bei Kila siku hiyo 23.3% utabaki ukipiga marchtime hapohapo husogei popote,kungesaidia kama kusingekuwa na mfumuko wa bei,kaulize bei ya sementi,bati,nondo rola Moja,ndo utajua kwamba hiyo nyongeza itakusaidia kuishi kwenye chumba Cha kupanga tu,na bei yake isizidi elfu 50 Kwa mwezi
Kipindi kikwete anatoka madarakani bei ya sukari ilikua 1800, alipoingia Chuma bei ya sukari ikawa mara mbili ya kikwete angali mshahara ni uleule.Sisi watumishi tunasema Mama kaupiga mwingi,msitugombanishe nae
 
Mnaacha kujiajiri mnahangaika kuwa watumwa serilalini. Halafu mnashangilia nyongeza ya kimshahara wakati maisha nayo yanapanda. Mindless
Wote hatuwezi kujiajiri..Lazima tugawane majukum katika mzunguko wa maisha.
 
Wewe mtukane tu huyo jamaa lakini kaongea ukweli,vitu vinapanda bei Kila siku hiyo 23.3% utabaki ukipiga marchtime hapohapo husogei popote,kungesaidia kama kusingekuwa na mfumuko wa bei,kaulize bei ya sementi,bati,nondo rola Moja,ndo utajua kwamba hiyo nyongeza itakusaidia kuishi kwenye chumba Cha kupanga tu,na bei yake isizidi elfu 50 Kwa mwezi
Wewe siyo mtumishi. Masuala ya Watumishi waachie wenyewe.

Stupid
 
Huyo hajaelewa! Hapo hawajaongeza mshahara kwa asilimia 23.3%! Serikali imekubali ongezeko la mshahara kwa 23.3% kwa kila cha chini! Maana yake kwamba kama kila cha chini kilikuwa lakini mbili(200,00) inamaa itaongeza 23.3% kwa kimya hicho cha chini na kuwa kama 238,000/,=kwa maana hiyo 38,000/= ndo ongezeko kwa nagzi hiyo ya chini si kwa ngazi nyingine! Sio kuwa mshahara umepanda kwa asilimia 23.3% kwa wafanya kazi wote hapana!
Tusome barua vizuri "Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amekubali ongezeko la mshahara kwa 23.3% IKIWEMO kima cha chini.
 
Wewe mtukane tu huyo jamaa lakini kaongea ukweli,vitu vinapanda bei Kila siku hiyo 23.3% utabaki ukipiga marchtime hapohapo husogei popote,kungesaidia kama kusingekuwa na mfumuko wa bei,kaulize bei ya sementi,bati,nondo rola Moja,ndo utajua kwamba hiyo nyongeza itakusaidia kuishi kwenye chumba Cha kupanga tu,na bei yake isizidi elfu 50 Kwa mwezi
Ku mark time haimaanishi mishahara isiongezwe...Maana ata isingeongezwa bado bei zingeendelea kupanda tu...Ni jambo zuri amelifanya MH RAIS SSH
 
Mnaumia sana Sukuma gang.
Bahati nzuri niliajiriwa 2015 July kwahiyo hunielezi chochote kipya kilicholeta unafuu wa mtumishi kutoka kwa Ibilisi wenu marehemu.
Mama kuingia tu miezi 3 madaraja hayo tukavuta pesa benki.
Na sasa tunasubiri kidogo tu tuvute tena pesa.
Asiye na nyumba atajenga, asiye na gari atanunua sasa.
Na ambao tumeshaoata hivyo vyote tutafungua business Kariakoo
Wewe ni likapuku la wapi,unategemea hicho kimshahara chako ujenge nyumba,ya tope au? Jiongeze na wewe,fanya na shuguli zingine ,hicho kimshahara chako Kila mwisho wa mwezi unamadeni eti 23.3% ndo ikukomboe,inawezekana hata card Yako ya benki Huwa unaicha Kwa wafanyabiashara mwisho wa mwezi unagawana Nao,ndo maana unasema sukuma gang,Acha ujinga jishugulishe,uza hata mchicha kama shugulizi zingine huwezi usibaki kusubiria mwisho wa mwezi huku ukilaumu sukuma gang mjinga wewe
 
Huyo unajua sukumagang anayoisema ndo inaumia kwa ongezeko! Hao sukuma gang hawafanyi kazi serkalini! Ndo nyie wafanyakazi kila siku madeni! Badala ya kuwaza nje ya box unashangila ongezeko ambalo hata halijaeleweka kwa madaraja yote! Siku ukikutana na elfu 20 ndo imeongezeka hata ukienda bar siku moja haitoshi ndo unajua hujui! Tujitume kwa kweli!
Wewe ni likapuku la wapi,unategemea hicho kimshahara chako ujenge nyumba,ya tope au? Jiongeze na wewe,fanya na shuguli zingine ,hicho kimshahara chako Kila mwisho wa mwezi unamadeni eti 23.3% ndo ikukomboe,inawezekana hata card Yako ya benki Huwa unaicha Kwa wafanyabiashara mwisho wa mwezi unagawana Nao,ndo maana unasema sukuma gang,Acha ujinga jishugulishe,uza hata mchicha kama shugulizi zingine huwezi usibaki kusubiria mwisho wa mwezi huku ukilaumu sukuma gang mjinga wewe
 
Back
Top Bottom