Rais Samia akutana na Baraza la Maaskofu (TEC), Kilaini aelezea Historia yake na utaifishaji wa mashule 1970

Acha unafiki wewe toka lini MWENDAZAKE MASALIA, akampenda Mama Samia?kuna mtu aliyewagawa WaTz, kama mwendazake(shame on u), kilio walichotoa leo hao TEC, ndio kilio cha madhehebu yote, tena inawezekana kwa wengine huko ndio msiba kabisa!!ila jamaa hakuwa na roho za ubinadamu kabisa, eti niombeeni , daaa!!hao unaowaomba wakuombee kumbe vituko unavyowafanyia, KIBWENGO asubiri!!!MUNGU FUNDI
 
Wewe umemkaribisha nyumbani kwako akaukataa mwaliko wako?

Mada zako nyingi ni za ajabu ajabu, kama hiyo nyingine hapo juu. Inawezekana akili yako ni sawa na ya huyo Mwenda zake, maana unaonyesha dalili za ajabu ajabu tokea uingie humu jukwaani.

Sasa usinilaumu, mimi nasema ninavyokusoma wewe na hizi mada zako nyingi zisizo na mwelekeo.
 
No wonder B.Mkapa alisema watanzania wengi ni wapumbavu na malofa, you made me believe this statement! Hii kahawa umeinywa wapi bwashee! Au unataka kutuaminisha kuwa unajua interijensia! Unapotoa allegation kubwa kama hili toa na chanzo cha habari yako. Yaani unaongea utadhani wewe ni Nyaisonga mwenyewe.
 
Kwa bahati mbaya sana Uongozi wa juu kabisa wa nchi hii umehodhiwa na dhehebu(catholic) na dini hiyo, (Muslim) for over sixty years now wao ndio wamekuwa wakishika all the prominent positions in this country. Unaweza usiamini ila ndio ukweli. Hivyo wakikutana wanaelewana maana hao ndio watawala halisi nchi hii.
 
MATAGA hoyeeeeeeeeee
 
Huyo mleta mada ni Musiba
 
ni kweli mkuu, maana hata bei zao haziakisi utofuati na wanaolipa kodi.

yaani shule za kanisa nazo bei sio mchezo
kuna Ile while inapotea St Joseph kule Goba imejengwa na wakristu KWA kuchangia lakini ulizia karo yake wee utakimbia.Shule imekuwa kea ajili ya watoto wa vigogo tu hadi aibu.Kanisa limegeuza huduma za elimu na afya biashara
 
Mhimili

Pia agenda inausu Nani na Nani ?
Elewa, sio kila uitwapo na wife unakusanya na watoto. Hehehehe
 
Aisee mwendazake kweli alizingua yani naona nyaisonga analalamika mbele ya mama rais Samia kwamba kanisa likipata hasara Sana kwenye taasisi zake za elimu nk. Aisee yani mwendazake Basi tu.
Vyuo vikuu vingi vya kikatoliki vilipigwa ban hali ilikuwa mbaya nadhan lengo ilikuwa tuwe na chuo kikuu kimoja
 
Makao makuu ya Kanisa Katoliki ni Vatican. Mji mkuu wa Italy ni Rome. Roma ni nini?
 
Reactions: Qwy
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…