Rais Samia akutana na Baraza la Maaskofu (TEC), Kilaini aelezea Historia yake na utaifishaji wa mashule 1970

Rais Samia akutana na Baraza la Maaskofu (TEC), Kilaini aelezea Historia yake na utaifishaji wa mashule 1970

Kwahio hao viongozi walikaa kimya mpaka leo kuja kulalamika na kushitaki kwa huyu aliyepo..., huenda na huyu wakamshitaki kwa atakayekuja !!!

Bongo Sanaa kila kona...., na waliokuwa wanasema chaguo la Mungu sio hawa ?
 
Mwendazake na team yake kina chakubanga na yule mbunge wa viti maalumu bashiru wote wale hili taifa wangetugawa ni bora mungu alipoamua kuingilia kati
 
Kanisa liache kutaka mteremko
Limeanzisha huduma za Elimu na Afya kibiashara
Basi lilipe kodi lisitake mteremko wa kusamehewa kodi wakati linatengeneza fedha
Naunga mkono hoja ,, lilipe kodi kwani huduma linazotoa halitoi bure, wananchi wanalipia tena hela nyingi tu. Labda waombe kupunguziwa lakini siyo kuondolewa.
 
Mama ni Ester wa Bahati Bukuku kama hamjui, yupo tayari hata aukose uongozi wa term ijayo ila awakomboe watu. Let's pray for her ooh!!
 
Yaani hao wakatoliki wamekalia biashara tu hadi wanalalamika kupata hasara. Hiyo TEC mbona ni mkusanyiko wa ma ceo waliyo kwenye kanzu za kiaskofu. Katoloki ni makampuni tu ya kibepari yenye makao makuu vatican. Jpm alijua kudhibiti ubwanyenye wa kila aina kwa manufaa ya maendeleo ya umma. Kwenye elimu kuna shirika au mashirika ya kikatoliki wametokea india wamekuja na uwekezaji wa ovyoovyo hauna viwango kwenye elimu ya vyuo vikuu. Awamu ya jpm iliwadhibiti kisawasawa mama asije fanya makosa.
Mama aache kutafuta huruma za kisiasa kwa hao wakatoliki,wanafanya biashara walipe kodi
 
ni kweli mkuu, maana hata bei zao haziakisi utofuati na wanaolipa kodi.

yaani shule za kanisa nazo bei sio mchezo
No research no right to speak!!shule za kanisa Katoliki kwa elimu zinatoa na kiwango cha pesa wanachotoza ni sawa na bure tu!! Mfano shule nyingi zinatoza kati ya laki tano mpaka millioni moja na nusu,kiwango cha kawaida tu.
Ninachoona watanzania wengi wamezoea vitu za bure hawajui kama kuna gharama za uendeshaji,kama uwezi kulipa pesa hio,mpeleke mwanao shule ya bure ya kata..tuache ujinga watanzania elimu ni ghali sana,ukiona uwezi acha usisome kabisa.
 
Unataka hospital iendeshwe Kama madrasa ?

Shule iendeshwe Kama mikutano ya hadhara?
Kuna costs za uendeshaji.
swali ni moja, kuondolewa kodi katika hizo huduma italeta unafuu wa bei wanazotoza? au italingana ama kuzidi bei za hospt / shule za private zinazotozwa kodi?
 
No research no right to speak!!shule za kanisa Katoliki kwa elimu zinatoa na kiwango cha pesa wanachotoza ni sawa na bure tu!! Mfano shule nyingi zinatoza kati ya laki tano mpaka millioni moja na nusu,kiwango cha kawaida tu.
Ninachoona watanzania wengi wamezoea vitu za bure hawajui kama kuna gharama za uendeshaji,kama uwezi kulipa pesa hio,mpeleke mwanao shule ya bure ya kata..tuache ujinga watanzania elimu ni ghali sana,ukiona uwezi acha usisome kabisa.
usitake nifunguke hicho unacho kiita research
 
swali ni moja, kuondolewa kodi katika hizo huduma italeta unafuu wa bei wanazotoza? au italingana ama kuzidi bei za hospt / shule za private zinazotozwa kodi?

Watoe kwanza hizo kodi ndio uje uhoji hilo swali lako!!

Ni sawa na uulize huyu mwanamke nikimuoa atazaa? Muoe kwanza ndio uone Kama atazaa ama lah.
 
Wamuache kiumbe wa mwenyezi Mungu apumzike kwa amani, alivyokuwa hai mbona wote waliufyata....kile chuma hapa ndio nakikubali, undava undava...sasa hivi wapumbavu wananyanyua midomo na wengine kufikia kiasi cha kutaka kuanza kumsumbua mama.... RIP Magu....(mwenyezi Mungu msamehe huyu mzee kila ovu lake na umpe pumziko la amani milele)...

Nilipingana na kile chuma kwenye mitazamo fulani fulani, ila kuna mafala aliwanyoosha....eti leo nao wanavimba vifua kwa mama...jamaa alikuwa akiongea watu wote kimya kasoro kigogo tu...yaani kama mwamba basi ni kigogo peke yake...wengine wote mafala tu..bora mkae kimya tu, maana kama kudai haki mngeidai kipindi kile tuone kweli mnadai haki...
ukute ye ndie alikua kigogo
 
Mh Rais SSH alipobuni salamu yake minong'ono ikawa ni kuepuka kumsifu Yesu Kristo ktk salamu husika! Leo mama huyu kwa sauti laini iliyolegea amemsifu Yesu Kristo mpaka nikahisi mama ameshaungama na kuachana na uisilamu😜!

Yaani anapendezea anapoisema salamu hiyo! Kuna kauvuvio flani hivi! Hongera mama, ni mwanzo mzuri, umevuka kiunzi kingine kuelekea kuwa mlay😜, tena wa nguvu💪!

Nakupenda rais wangu kaza buti, usicheke na wapigaji...hapo nitakupenda daima...umeelewa lakini mama, ninaupendo wenye mashariti! Yaani timiza majukumu yako kama rais, nami nitakupenda kama rais wangu!
One love😜❤️!
Huu mwandiko ni kama flani hivi.... Utasema ni moja ya ids zake!
 
Kitendo cha Rais Samia kukutana na viongozi wa kanisa Katoliki pekee ni cha kibaguzi sana. Rais anahubiri haki huku akijua kuwa tabia aliyoianzisha ya kuwagawa Watanzania kwa imani ya Dini zao si cha kiungwana.

Tanzania ina madhehebu mengi sana kwa nn ukutane na dhehebu moja tu uyaache mengine huo sio ubaguzi?

Najitahidi sana kulazimisha kukupigiadebe lkn dah yataka moyo kwa hiyo utakutana na wasabato, Walutheri, waanglikani, PAG, Washia wasuni hapana umekosea sana
 
Back
Top Bottom