Wewe ni mwendawazimu.Kitendo Cha Rais Samia kukutana na viongozi wa kanisa katoliki pekee ni cha kibaguzi sana Rais anahubiri haki huku akijua kuwa tabia aliyoianzisha ya kuwagawa Watanzania kwa imani ya Dini zao si cha kiungwana Tanzania ina madhehebu mengi sana kwa nn ukutane na dhehebu moja tu uyaache mengine huo sio ubaguzi? najitahidi sana kulazimisha kukupicgis debe lkn dah yataka moyo kwa hiyo utakutana na wasabato, Walutheri, waanglikani, PAG, Washia wasuni hapana umekosea sana
Jamani basi mpangieni Mh. rais watu wa kukutana nao maana nyie ndiyo mnaojuwa majukumu yakeKitendo Cha Rais Samia kukutana na viongozi wa kanisa katoliki pekee ni cha kibaguzi sana Rais anahubiri haki huku akijua kuwa tabia aliyoianzisha ya kuwagawa Watanzania kwa imani ya Dini zao si cha kiungwana Tanzania ina madhehebu mengi sana kwa nn ukutane na dhehebu moja tu uyaache mengine huo sio ubaguzi? najitahidi sana kulazimisha kukupicgis debe lkn dah yataka moyo kwa hiyo utakutana na wasabato, Walutheri, waanglikani, PAG, Washia wasuni hapana umekosea sana
Milele Amina [emoji3][emoji3][emoji3]Tumsifu Yesu Kristu....
Hahahaha eti PhD feki ya kukariri periodic table [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]...watu wengine sijui wanafikiria na masaburi au ,!!
She is very experienced na mambo haya ya problem solving tree..kama hujui kuliko huyo aliyekuwa na PhD feki ya kukrem periodic table tena very few elements....
Yeye tena Mama jana kasema anataka kukutana na madhehebu yote separately kwanza...sasa tatizo lipo wapi ?
Mlizoea story za Jiwe za warembo weupe, sijui zaeni tuu km popo au mabeberu hewa ?
Hii number nyingine kabisa...ipo brain hapo na ataupiga mwingi saaaana...
Kwahiyo wewe unajua kwa mujibu wa ratiba zake tayari amemaliza?Kitendo Cha Rais Samia kukutana na viongozi wa kanisa katoliki pekee ni cha kibaguzi sana Rais anahubiri haki huku akijua kuwa tabia aliyoianzisha ya kuwagawa Watanzania kwa imani ya Dini zao si cha kiungwana Tanzania ina madhehebu mengi sana kwa nn ukutane na dhehebu moja tu uyaache mengine huo sio ubaguzi? najitahidi sana kulazimisha kukupicgis debe lkn dah yataka moyo kwa hiyo utakutana na wasabato, Walutheri, waanglikani, PAG, Washia wasuni hapana umekosea sana
Hamkawii kusema tutii mamlaka zilzopo kwamba zimewekwa na Mungu.Kumbe miongo na miuaji tu.Unafiki wa viongozi wa dini hasa Ukristo ndo chanzo cha uwepo wa udikteta.Unapomtenga mtu muovu unamsaidia kuacha uovu
Zaidi sana wamemualika, hakuwaalika ndo maana hawakukutania ikulu bali eneo la kanisaPapaaa upo nchi gani,Raisi ameiahakutana na viongozi wote wa dini,Dodoma,sasa hv ni wakati wa makundi,
Kila kikundi kina changamoto zake tofauti,
Roman katoliki,na lutheran,wanamiriki mashule,hospitari,viwanda,Wana jambo lao Hawa pekee,huwezi kuwalinganisha na kina kakobe,Gwajima,Lusekelo,Hawa wanamiriki jengo la kanisa tu hapa Dar,na mali kadhaa za pastor,ukifika Kibamba,hakuna kanisa la kakobe,Wala gwajima
Kwa maelezo haya wewe ndiyo mdiniKitendo Cha Rais Samia kukutana na viongozi wa kanisa katoliki pekee ni cha kibaguzi sana Rais anahubiri haki huku akijua kuwa tabia aliyoianzisha ya kuwagawa Watanzania kwa imani ya Dini zao si cha kiungwana Tanzania ina madhehebu mengi sana kwa nn ukutane na dhehebu moja tu uyaache mengine huo sio ubaguzi? najitahidi sana kulazimisha kukupicgis debe lkn dah yataka moyo kwa hiyo utakutana na wasabato, Walutheri, waanglikani, PAG, Washia wasuni hapana umekosea sana
Hivi weye kwa nini siku hizi umekuwa lipuuzi?Such a fool!Kitendo Cha Rais Samia kukutana na viongozi wa kanisa katoliki pekee ni cha kibaguzi sana Rais anahubiri haki huku akijua kuwa tabia aliyoianzisha ya kuwagawa Watanzania kwa imani ya Dini zao si cha kiungwana Tanzania ina madhehebu mengi sana kwa nn ukutane na dhehebu moja tu uyaache mengine huo sio ubaguzi? najitahidi sana kulazimisha kukupicgis debe lkn dah yataka moyo kwa hiyo utakutana na wasabato, Walutheri, waanglikani, PAG, Washia wasuni hapana umekosea sana
Jk na wengine waliotangulia walipokuwa wakienda msikitini, viongozi wa dini zoote hukusanyika humo?Kitendo Cha Rais Samia kukutana na viongozi wa kanisa katoliki pekee ni cha kibaguzi sana Rais anahubiri haki huku akijua kuwa tabia aliyoianzisha ya kuwagawa Watanzania kwa imani ya Dini zao si cha kiungwana Tanzania ina madhehebu mengi sana kwa nn ukutane na dhehebu moja tu uyaache mengine huo sio ubaguzi? najitahidi sana kulazimisha kukupicgis debe lkn dah yataka moyo kwa hiyo utakutana na wasabato, Walutheri, waanglikani, PAG, Washia wasuni hapana umekosea sana
π€£π€£π€£π€£Umesahau alipokutana na Viongozi wa BAKWATA wakaomba tende ziondolewe kodi kipindi cha mfungo?
Weye hupendi tende zikiondolewa kodi yakhee!?ππππ€£π€£π€£π€£
Waislamu walishatoa ya kwao ya moyoni juzi juzi tu hapa, waliomba tende ishushwe Kodi, naamini mama atatekelezaWakatoliki Wana hospital 60 Tena kubwa na ziko vijiji. Vituo vya afya 128 na dispensary zaidi ya 1000 kwa kwa mchango huu nchini. Rais akiitwa hawezi kukataa
Manufaa ni kwa wote walifanya vizuri, napenda tende na Kuna wakati bei inanishinda. Mashehe washukuriwe sanaWeye hupendi tende zikiondolewa kodi yakhee!?πππ
Kitendo Cha Rais Samia kukutana na viongozi wa kanisa katoliki pekee ni cha kibaguzi sana Rais anahubiri haki huku akijua kuwa tabia aliyoianzisha ya kuwagawa Watanzania kwa imani ya Dini zao si cha kiungwana Tanzania ina madhehebu mengi sana kwa nn ukutane na dhehebu moja tu uyaache mengine huo sio ubaguzi? najitahidi sana kulazimisha kukupicgis debe lkn dah yataka moyo kwa hiyo utakutana na wasabato, Walutheri, waanglikani, PAG, Washia wasuni hapana umekosea sana
Weyeeee...usinambie?Wakati wengine wanajenga "masibitali" kuna watu wanaomba wapunguziwe kodi kwenye tende?Astaghifirullah!ππππWaislamu walishatoa ya kwao ya moyoni juzi juzi tu hapa, waliomba tende ishushwe Kodi, naamini mama atatekeleza
Link ya hilo tangazo, plsMfano kulingana Tangazo la TBC mwaka 2012 asilimia 70% ya watanzania ni wakristo na 30% ni waislamu
Yeah ni sawa mkuu, kila jamii ina vipaumbele vyake. Wasikilizwe...Weyeeee...usinambie?Wakati wengine wanajenga "masibitali" kuna watu wanaomba wapunguziwe kodi kwenye tende?Astaghifirullah!ππππ
Inaongeza nguvu za kiume?Ze ploblemu ov zi neshonππππYeah ni sawa mkuu, kila jamii ina vipaumbele vyake. Wasikilizwe...
Juice ya tende inapendwa na wengi na ni nzuri kwa afya