Rais Samia akutana na Baraza la Maaskofu (TEC), Kilaini aelezea Historia yake na utaifishaji wa mashule 1970

Wewe ni mwendawazimu.
Rais Samiha alialikwa na viongozi wa kikatoliki sasa ulitaka yeye awaite wengine kwenye hicho kikao?
 
Jamani basi mpangieni Mh. rais watu wa kukutana nao maana nyie ndiyo mnaojuwa majukumu yake
 
Hahahaha eti PhD feki ya kukariri periodic table [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kwahiyo wewe unajua kwa mujibu wa ratiba zake tayari amemaliza?
 
Unafiki wa viongozi wa dini hasa Ukristo ndo chanzo cha uwepo wa udikteta.Unapomtenga mtu muovu unamsaidia kuacha uovu
Hamkawii kusema tutii mamlaka zilzopo kwamba zimewekwa na Mungu.Kumbe miongo na miuaji tu.
 
Zaidi sana wamemualika, hakuwaalika ndo maana hawakukutania ikulu bali eneo la kanisa
 
Kwa maelezo haya wewe ndiyo mdini
 
Hivi weye kwa nini siku hizi umekuwa lipuuzi?Such a fool!
 
Jk na wengine waliotangulia walipokuwa wakienda msikitini, viongozi wa dini zoote hukusanyika humo?
 

Msimfokee Mama yetu. Tambueni huyo ni rais wetu kipenzi wa JMT!

Mama atakutana na makundi yote yakiwamo vyama vya siasa.

Mbona alipokutana na uvccm Mwanza hamkutia neno?

Habari ndiyo hiyo.
 
Waislamu walishatoa ya kwao ya moyoni juzi juzi tu hapa, waliomba tende ishushwe Kodi, naamini mama atatekeleza
Weyeeee...usinambie?Wakati wengine wanajenga "masibitali" kuna watu wanaomba wapunguziwe kodi kwenye tende?Astaghifirullah!😝😝😝😝
 
Weyeeee...usinambie?Wakati wengine wanajenga "masibitali" kuna watu wanaomba wapunguziwe kodi kwenye tende?Astaghifirullah!😝😝😝😝
Yeah ni sawa mkuu, kila jamii ina vipaumbele vyake. Wasikilizwe...
Juice ya tende inapendwa na wengi na ni nzuri kwa afya
 
Yeah ni sawa mkuu, kila jamii ina vipaumbele vyake. Wasikilizwe...
Juice ya tende inapendwa na wengi na ni nzuri kwa afya
Inaongeza nguvu za kiume?Ze ploblemu ov zi neshon😝😝😝😝
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…