Rais Samia akutana na Baraza la Maaskofu (TEC), Kilaini aelezea Historia yake na utaifishaji wa mashule 1970

Rais Samia akutana na Baraza la Maaskofu (TEC), Kilaini aelezea Historia yake na utaifishaji wa mashule 1970

Kitendo Cha Rais Samia kukutana na viongozi wa kanisa katoliki pekee ni cha kibaguzi sana Rais anahubiri haki huku akijua kuwa tabia aliyoianzisha ya kuwagawa Watanzania kwa imani ya Dini zao si cha kiungwana Tanzania ina madhehebu mengi sana kwa nn ukutane na dhehebu moja tu uyaache mengine huo sio ubaguzi? najitahidi sana kulazimisha kukupicgis debe lkn dah yataka moyo kwa hiyo utakutana na wasabato, Walutheri, waanglikani, PAG, Washia wasuni hapana umekosea sana
Nenda kakojoe , kisha ulale , usingizi umeshakulevya usije jikojolea bure kitandani
 
NAOMBA nikojoe kwanza MAANA dah HATARAE NUSU UKIMALIZA KUSOMA LAZIMA UPATE CHOO KIKUBWAA
 
Na wao ndio walikua wanampa wasaa wa kupanda kwenye mimbari kuzungumza.

Mpaka akasema siku ina saa 48 tena juu ya mimbari
 
Ameaongea kama Rai's wa nchi, sio Samia. Tatizo nyie watu mnadhani rais ni mtu, ile ni taasisi.
 
Kitendo Cha Rais Samia kukutana na viongozi wa kanisa katoliki pekee ni cha kibaguzi sana Rais anahubiri haki huku akijua kuwa tabia aliyoianzisha ya kuwagawa Watanzania kwa imani ya Dini zao si cha kiungwana Tanzania ina madhehebu mengi sana kwa nn ukutane na dhehebu moja tu uyaache mengine huo sio ubaguzi? najitahidi sana kulazimisha kukupicgis debe lkn dah yataka moyo kwa hiyo utakutana na wasabato, Walutheri, waanglikani, PAG, Washia wasuni hapana umekosea sana
Uko na Ratiba yake yote ?
Vitoto vya Mwendazake mmepgawa kabisa,.hamuamini mungu wenu wa Chuttle Kafa
Mnaweweseka
 
Mh Rais SSH alipobuni salamu yake minong'ono ikawa ni kuepuka kumsifu Yesu Kristo ktk salamu husika! Leo mama huyu kwa sauti laini iliyolegea amemsifu Yesu Kristo mpaka nikahisi mama ameshaungama na kuachana na uisilamu😜!

Yaani anapendezea anapoisema salamu hiyo! Kuna kauvuvio flani hivi! Hongera mama, ni mwanzo mzuri, umevuka kiunzi kingine kuelekea kuwa mlay😜, tena wa nguvu💪!

Nakupenda rais wangu kaza buti, usicheke na wapigaji...hapo nitakupenda daima...umeelewa lakini mama, ninaupendo wenye mashariti! Yaani timiza majukumu yako kama rais, nami nitakupenda kama rais wangu!
One love😜❤️!


Utoto bado unakusumbua sana praise team
 
Kitendo Cha Rais Samia kukutana na viongozi wa kanisa katoliki pekee ni cha kibaguzi sana Rais anahubiri haki huku akijua kuwa tabia aliyoianzisha ya kuwagawa Watanzania kwa imani ya Dini zao si cha kiungwana Tanzania ina madhehebu mengi sana kwa nn ukutane na dhehebu moja tu uyaache mengine huo sio ubaguzi? najitahidi sana kulazimisha kukupicgis debe lkn dah yataka moyo kwa hiyo utakutana na wasabato, Walutheri, waanglikani, PAG, Washia wasuni hapana umekosea sana
Usitake kuchezea watu akili, wakristo hawana tatizo kuhusu Madam President kakutana/kafanya mazungumzo na madhehebu gani ya Dini cha muhimu ni alitaka kutoa ujumbe gani kwa Watanzania - dhehebu ambalo baadhi ya waumini wao wamekubuhu katika fani ya ulalamishi mbona wanajulikana sana na wewe bila shaka ni mu umini wa dhehebu hili ndio maana hulitaji hapa - usifikiri Watanzania hatuna akili za kukosoma kisaikolijia - bottom line is: Punguzeni malalamishi yasiyo kuwa na kichwa wala miguu!!
 
Kitendo Cha Rais Samia kukutana na viongozi wa kanisa katoliki pekee ni cha kibaguzi sana Rais anahubiri haki huku akijua kuwa tabia aliyoianzisha ya kuwagawa Watanzania kwa imani ya Dini zao si cha kiungwana Tanzania ina madhehebu mengi sana kwa nn ukutane na dhehebu moja tu uyaache mengine huo sio ubaguzi? najitahidi sana kulazimisha kukupicgis debe lkn dah yataka moyo kwa hiyo utakutana na wasabato, Walutheri, waanglikani, PAG, Washia wasuni hapana umekosea sana
Mkuu, CATHOLIC is the BIG DICK dunia nzima. Unataka amani na maendeleo basi shirikiana nao kwa ukaribu..hii haina ubishi ila ukijisikia unaweza bisha.
Mama kasoma mafaili kaona hana namna bali kuongea nao peke yao maana ndio walioshika mpini.
 
Wasabatho,Anglican,Lutheran, na mengineyo yote source yao ni Roman Catholic.
 
Huyu mleta mada siku zote hoja zake ni kumpinga mama SSH, alikuwa akimfagilia sana mwendazake! kwendraaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Ni jambo la busara kuacha kutumia salamu zote za kidini katika mikutano yoyote turudi kama tulivyokuwa zamani ziko njia nyingi za kuanza kwa mikutano. Ndugu wageni waalikwa, .... na .... inafuatwa protocol basi huku tuache kwenda siko kabisa.
 
Kitendo Cha Rais Samia kukutana na viongozi wa kanisa katoliki pekee ni cha kibaguzi sana Rais anahubiri haki huku akijua kuwa tabia aliyoianzisha ya kuwagawa Watanzania kwa imani ya Dini zao si cha kiungwana Tanzania ina madhehebu mengi sana kwa nn ukutane na dhehebu moja tu uyaache mengine huo sio ubaguzi? najitahidi sana kulazimisha kukupicgis debe lkn dah yataka moyo kwa hiyo utakutana na wasabato, Walutheri, waanglikani, PAG, Washia wasuni hapana umekosea sana
Hawa waliomba kukutana nae walikuwa na burning issues kuhusu taasisi zao za Afya na elimu, walibambikizwa kodi tangu mwaka 2016 kitu ambacho hakijawahi kutokea toka nchi ipate Uhuru.

Sasa hapo kosa lake Mhe.Rais liko wapi? Naamini kama kuna wengine wana issues kama hizo wakimuomba kukutana nae hawezi kuwakatalia, Rais ni watanzania wote, ancheni hizo ramli chonganishi Mama anapambana kuitoa nchi gizani.
 
Mh Rais SSH alipobuni salamu yake minong'ono ikawa ni kuepuka kumsifu Yesu Kristo ktk salamu husika! Leo mama huyu kwa sauti laini iliyolegea amemsifu Yesu Kristo mpaka nikahisi mama ameshaungama na kuachana na uisilamu😜!

Yaani anapendezea anapoisema salamu hiyo! Kuna kauvuvio flani hivi! Hongera mama, ni mwanzo mzuri, umevuka kiunzi kingine kuelekea kuwa mlay😜, tena wa nguvu💪!

Nakupenda rais wangu kaza buti, usicheke na wapigaji...hapo nitakupenda daima...umeelewa lakini mama, ninaupendo wenye mashariti! Yaani timiza majukumu yako kama rais, nami nitakupenda kama rais wangu!
One love😜❤️!
When in tome do what romans do..
Ni mamawenye nyumba, ana watoto tofauti hivyo anatakiwa ajenge mshikano kwa kukubali kua watoto wake wana mitazamo tofauti.
 
Ameshasema atakutana na MADHEBU YOTE,mambo musiyoyaelewa ni vema mukae kimya
 
Back
Top Bottom