Rais Samia akutana na mjomba wake ambaye ni Mwarabu

Nasubiri comments za chuki kutoka kwa wafuasi wa Mwendazake na wafuasi wa Chadema, hawa ni mapacha wawili kama Cain na Abel
propaganda za kuwa tunaongozwa na Mwarabu
CHADEMA wanatoka hapo wapi wewe una shida kidogo.
 
Hivi uarabu ni Issue sana eenh? Njoo huku kwetu kijiji cha tura wilaya ya sikonge Tabora mkutane nao wanazungumza kinyamwezi kuliko hata wazawa.

Hivi mwarabu ambaye babu yake, baba yake na yeye mwenyewe walizaliwa unyamwezini bado hawakidhi sifa za kuwa wazawa?
 
Sasawa kabisa,hata wahindi wamo pia,ndio walitoa umaarufu kuzalisha lile shoga malaya liimbaji Fred Mercury(Queen)
 
CCM ndio imetuletea shida yote hii
Tusubirie kuuzwa kwa mbuga na wanyama kusafirisha mchana kweupe
 
Hivi mwarabu ambaye babu yake, baba yake na yeye mwenyewe walizaliwa unyamwezini bado hawakidhi sifa za kuwa wazawa?
Nimeteleza kiuandishi, hawa ni wazawa kabisa mkuu ndiyo maana huku tunaishi nao kama wenzetu kabisa wala huwa hatuhisi utofauti kati yetu.
 
Maachallah mtu na mjomba wake wamependeza sana,, nimefurahi sana sana,,,ila kuna watu hawajapendezewa, ni chuki bado zinawatesa. Tena wakisikia tu mwarabu presha inapanda na kushuka 😁😁😁, mtakufa na chuki zenu!!

Mama piga kazi, salimia ndugu jamaa na marafiki, hao wanaokuchukia, hawatakupunguzia chochote. Allaah akuongoze na akulinde dhidi ya wabaya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…