Ituzaingo Argentina
JF-Expert Member
- Jun 20, 2020
- 1,868
- 2,191
Makonda ana sifa moja kubwa nationally and Internationally,
Gross violations of human rights, which include the flagrant denial of the right to life, liberty, or the security of persons."
Kwa watu wenye akili watajiuliza swali kama hilo
Mama Samia lengo lako ni nini kumteua Makonda?
Any sensible man wil ponder about that nomination!
Wajinga wataleta majivu ya kijinga!
Makonda ni kiboko ya viongozi wenye viburi, awe waziri awe nani, nadhani mmeona alichokifanya kwa silaa