Hilo ndiyo kosa lenu kubwa kuona eti Make Tanzania Great Again mnaona eti ulikuwa mpango mbaya kiasi kwamba mnamwaminisha Mama eti hao ni wafuasi wa falsafa mbaya wakati wananchi waliipenda Tanzania mpya. Na mkamdanganya Mama achome masoko (kariakoo, mwenge, mbeya etc) eti akija kujenga watu wataona kawajali wakati inajulikana mpango wa Mliomuambia wa kuwavuruga wananchi then atafute suluhisho yeye mwenyewe, juzi kasikika eti anaongea na wafadhili waje wajenge miundombinu wa machinga, yaani akope ili kujenga masoko ya machinga??? Kila machinga anamuona Mama hayupo sahihi kwa sababu tulishaambiwa na Dkt Magufuli nchi hii tajiri na hakuna haja ya kuwatoza watu tozo, ila yeye kadanganywa