Rais Samia alikosea Mwanzo hawezi kurekebisha kwani tayari ameshaharibu

Rais Samia alikosea Mwanzo hawezi kurekebisha kwani tayari ameshaharibu

Mimi niliuona uongozi wa Rais Samia kinabii nikauona ni uongozi unaoelekea kuanguka ila watu wasiomtakia mema walimsifu na kusema anaupiga mwingi kumbe walikuwa wanampoteza

Rais Samia kabla ya kujijenga kisiasa alitakiwa kwanza awe mtulivu atengeneze urafiki na wapiga kura wake awafariji waliofiwa walau atulie kwa muda hata wa mwaka mmoja ndipo aanze mabadiliko ndani ya serikali yake lkn hawakumshauri vizuri badala yake akaanza visasi kwa kiwango cha hali ya juu

kwa sasa anaona Pamevuja anaona nguvu ya chuki dhidi yake inaongezeka lkn it's too late

Nasisitiza kuwa, kugombea Samia 2025 ni anguko kuu la CCM
Honestly, mimi sijakuelewa....

Hoja yako inabebwa na sentensi moja tu, "Alikosea toka mwanzo, hawezi kurekebisha tena"

Bahati mbaya hujaichambua ili ilete ushawishi na kutufanya tuelewe utakacho tuelewe kwa urahisi...

Sasa kwa mifano halisi isiyo na shaka na ya wazi, hebu eleza alikosea nini na kwa namna gani...?

Na je kwa uelewa wako, unadhani alipaswa afanye nini badala yake..?
 
Alishawaonyesha watu ni mtu mnafiki kwa jpm. Alipoingia tu akaanza kuwafurahisha adui wa jpm kwa kuwaachia fisadi magerezani na kupiga vijembe vingi dhidi ya jpm. Hali ya kudaiwa kodi wafanyabiashara kibabe haikutokea kwa kupenda ila ni kutokana na wafanyabiashara kuwa wagumu kulipa kodi na tabia ya ukwepaji kodi. Waomini wa jpm hatutasahau kitendo cha kuanza uongozi kwa kumtosa sabaya na kumtupa lupango. Hili lilikua shambulizi la moja kwa moja kwa wanamapinduzi. Hata angekua na makosa hakustahili kufanyiwa vile kama kiongozi kwenye serikali ya jpm. Ziko hatua za ndani za kinidhamu kwa kiongozi sio kumtosa kwa watu wenye kumwita jambazi kwa kua anawabana kufanya magendo na kulipa kodi. Baya zaidi alisikiliza fitna za maadui wa jpm na kuzifanyia kazi.
Kusema atamuweka yeyeto serikali eti kama ana mchango ni kuepa masuala ya itikadi na uzalendo. Ina maana anaweza hata kuweka majasusi. Amefanya hivyo ili kuwaweka wafanya biashara, na watu wenye muelekeo wa kibinafsi na ufisadi wakati hata katiba ya nchi imesema tunajenga nchi ya kijamaa.
Hata jpm aliwaachia kina babu seya ili kufurahisha wapinzani na aonekane jk aliwafunga kimakosa,, wakati babu seya alifungwa enzi za rais mkapa,,
Jpm alitaka kugain popularity miongoni mwa wapinzani kwa hilo,, pamoja na suala la kununua ndege(lilikuwa takwa la wapinzani enzi za jk),kuchagua wapinzani kwa kuwapa madaraka kama akina polepole, etc,
Lakini hakuna mtu alisema jpm alikuaga mnafiki enzi akiwa waziri chini ya serikali ya jk,,
 
Mimi niliuona uongozi wa Rais Samia kinabii nikauona ni uongozi unaoelekea kuanguka ila watu wasiomtakia mema walimsifu na kusema anaupiga mwingi kumbe walikuwa wanampoteza

Rais Samia kabla ya kujijenga kisiasa alitakiwa kwanza awe mtulivu atengeneze urafiki na wapiga kura wake awafariji waliofiwa walau atulie kwa muda hata wa mwaka mmoja ndipo aanze mabadiliko ndani ya serikali yake lkn hawakumshauri vizuri badala yake akaanza visasi kwa kiwango cha hali ya juu

kwa sasa anaona Pamevuja anaona nguvu ya chuki dhidi yake inaongezeka lkn it's too late

Nasisitiza kuwa, kugombea Samia 2025 ni anguko kuu la CCM
ilitakiwa aanze kwa ujasiri, alitakwa aanze na Serikari mpya itakayoapa mbele yake, aanze kwa kuwa na Spika mpya, Jaji Mkuu na Waziri Mkuu atakayeapa mbele yake, kosa alilolifanya ni kurithi viapo.

Anyway kwa Katiba yetu anaweza kufanya u-turn yeyote akatakayo kuweka mambo sawa, nguvu zole za kidola na kimamlaka zipo kiganjani mwake.
 
Mh.Rais SSH aliteuliwa na hayati JPM kuwa mgombea mwenza.....unapoanza kusema si mzalendo basi unaacha mashaka hata na uzalendo wa aliyemteua.......

FYI: Mh.Kikwete aliambiwa CCM itamfia.....vipi limetokea hilo?!!!

Siempre JMT
Tunawajua hawa, enzi mwinyi ndo anaongoza, hawa hawa walikuwa wanapiga kelele nchi inakwenda kutumbukia shimoni,,cha ajabu hadi leo nchi ipo, [emoji1745][emoji1745]
 
Daaah tatizo ni nini komredi wangu?!!

Tulikuwa pamoja kwa kushikana kipindi cha hayati JPM kuitetea CCM na serikali yake...hivi CCM haiko madarakani ?!!!

Hivi tumeyasahau MADARASA YETU YA ITIKADI kuhusu utii kwa viongozi wetu wakubwa na chama chake ?!!!!

Kipi kimebadilika makomredi ?!!!😳🤣🤣

CCM haijaondoka baada ya awamu ya 5 na itakuwepo hata baada ya awamu ya 10 aaamin aaaamin!

haimaanishi kwamba nipo nje ya ccm but naweza kua ndan ila nisiwe nakubaliana na mwenyekiti aliepo, uzuri wa ccm mwenyekiti anabadilika sioo kama wale jamaa wengine wa kule kwenye kibanda cha mpesa
 
SAMIA NI RAIS BORA HADI SASA LICHA YA AMAPUNGUFU YAKE..YEYE ALETE KATIBA MPYA LAKINI ILIYOBORESHWA
Utakuwa umelewa samia huku kwa wanainchi hata ukiweka GOGO AU CHUPI INAPITA MAANA KILA MWANAINCHI HAMUTAKI KABISA


HUSASI WANAWAKE WENZAKE SIJAONA SEHEMU SAMIA WANAINCHI WANAMUUNGA MKONO LABDA KIDOGO WAFANYAKAZI AMABAO NAO HUWA HAWAPIGI KURA


HAKIKA CCM INAENDA KUANGUKA KIRAHI LABDA SAMIA AACHIE

ASILIMIA 99 SAMIA HAKUBALIKI HATA KWA VIONGOZI ALIOWATEUA HAWAMKUBALI HATA KIDOGO
 
haimaanishi kwamba nipo nje ya ccm but naweza kua ndan ila nisiwe nakubaliana na mwenyekiti aliepo, uzuri wa ccm mwenyekiti anabadilika sioo kama wale jamaa wengine wa kule kwenye kibanda cha mpesa
Basi sawa komredi endelea kutokukubaliana na mwenyekiti wetu hadi 2030 atakapotoka madarakani aaamin!
 
Tunawajua hawa, enzi mwinyi ndo anaongoza, hawa hawa walikuwa wanapiga kelele nchi inakwenda kutumbukia shimoni,,cha ajabu hadi leo nchi ipo, [emoji1745][emoji1745]
👍👍
Ha ha ha wapiga makelele tu......

#Siempre JMT🙏
 
Mimi sinawasiwasi saana na samia,kwasababu haui watu hovyo na tunaweza kuongea sasa.


Ila naona nchi imeshikwa na MWIGURU ,maana kila anachoanzisha mama hapingi.
Iwe tozo,kupanda kwa bei ya mafuta na bidhaa zingine.

Maana nimeona wakati mwiguru anaanzisha tozo mama alisita.lakin mwigulu baada ya kuhutubia kibabe na kwa kujiamini mama kalegea.

Hii ndio shida ya kina mama.ni wepesi kushawika na watoto wanaowapenda.
 
Mimi niliuona uongozi wa Rais Samia kinabii nikauona ni uongozi unaoelekea kuanguka ila watu wasiomtakia mema walimsifu na kusema anaupiga mwingi kumbe walikuwa wanampoteza

Rais Samia kabla ya kujijenga kisiasa alitakiwa kwanza awe mtulivu atengeneze urafiki na wapiga kura wake awafariji waliofiwa walau atulie kwa muda hata wa mwaka mmoja ndipo aanze mabadiliko ndani ya serikali yake lkn hawakumshauri vizuri badala yake akaanza visasi kwa kiwango cha hali ya juu

kwa sasa anaona Pamevuja anaona nguvu ya chuki dhidi yake inaongezeka lkn it's too late

Nasisitiza kuwa, kugombea Samia 2025 ni anguko kuu la CCM
Ndiyo maana hataki tume huru ya uchaguzi
 
Mimi sinawasiwasi saana na samia,kwasababu haui watu hovyo na tunaweza kuongea sasa.


Ila naona nchi imeshikwa na MWIGURU ,maana kila anachoanzisha mama hapingi.
Iwe tozo,kupanda kwa bei ya mafuta na bidhaa zingine.

Maana nimeona wakati mwiguru anaanzisha tozo mama alisita.lakin mwigulu baada ya kuhutubia kibabe na kwa kujiamini mama kalegea.

Hii ndio shida ya kina mama.ni wepesi kushawika na watoto wanaowapenda.
Akina Ndugai wanamdanganya sn
 
Mimi niliuona uongozi wa Rais Samia kinabii nikauona ni uongozi unaoelekea kuanguka ila watu wasiomtakia mema walimsifu na kusema anaupiga mwingi kumbe walikuwa wanampoteza

Rais Samia kabla ya kujijenga kisiasa alitakiwa kwanza awe mtulivu atengeneze urafiki na wapiga kura wake awafariji waliofiwa walau atulie kwa muda hata wa mwaka mmoja ndipo aanze mabadiliko ndani ya serikali yake lkn hawakumshauri vizuri badala yake akaanza visasi kwa kiwango cha hali ya juu

kwa sasa anaona Pamevuja anaona nguvu ya chuki dhidi yake inaongezeka lkn it's too late

Nasisitiza kuwa, kugombea Samia 2025 ni anguko kuu la CCM
She doesn't deserve to be there and sensible citizen wishes to vote for her come 2025. She is full of vengeance "Sitakubali" is a dangerous statement to be publicly uttered by a head of state.
 
Huwezi kuanza kujudge utawala wa SSH uliodumu kwa miezi 8 tu,, subiri at least miaka 3,atafanya maajabu pengine kuzidi marais wote,, maana huyu mama kila hela ikipatikana anakimbiza kufanya maendeleo tena kwa uwazi,, sasa just imagine in 3 years time atakuwa kafanya mangapi,,
Kumbuka ana miezi 8 tu,, kabakiza miaka 4 full kabla ya uchaguzi,
Comment yangu siyo malicious...na Wala sija-judge uongozi wa Mhe. Samia...nilichofanya ni kuainisha facts zilizopo on the ground...niliyoyaainisha ndiyo hayo yaliyopo na ndiyo watu wanayazungumzia....yakiwemo masuala ya miamala...
Ila watu Kama nyie hamuusaidii uongozi wa sasa kwa kuanza kupinga Yale sisi wenzenu tunayoyaona...uongozi wa sasa unahitaji kusaidiwa kifikra kwa kweli...Kama uongozi wa sasa utafanya maajabu katika kipindi Cha miaka mitatu Hilo ni Jambo jema...watanzania wa kweli wangependa Kuona rais wetu anafanikiwa na siyo vinginevyo...
 
Mimi niliuona uongozi wa Rais Samia kinabii nikauona ni uongozi unaoelekea kuanguka ila watu wasiomtakia mema walimsifu na kusema anaupiga mwingi kumbe walikuwa wanampoteza

Rais Samia kabla ya kujijenga kisiasa alitakiwa kwanza awe mtulivu atengeneze urafiki na wapiga kura wake awafariji waliofiwa walau atulie kwa muda hata wa mwaka mmoja ndipo aanze mabadiliko ndani ya serikali yake lkn hawakumshauri vizuri badala yake akaanza visasi kwa kiwango cha hali ya juu

kwa sasa anaona Pamevuja anaona nguvu ya chuki dhidi yake inaongezeka lkn it's too late

Nasisitiza kuwa, kugombea Samia 2025 ni anguko kuu la CCM
Eti awafariji wafiwa Kwanza kwa muda wa mwaka mmoja"

Eti kugombea Samia 2025 Ni anguko la Ccm,


Samia 2025 atapata kura za kishindo 80%✓

Hilo tahira lenu limekufa kwa ujinga wake wakutochukua tahadhali ya Covid19,

Kenge nyinyi,na tutawashughulikia ipasavyo kuanzia January nyie wahuni wachache
 
Mimi niliuona uongozi wa Rais Samia kinabii nikauona ni uongozi unaoelekea kuanguka ila watu wasiomtakia mema walimsifu na kusema anaupiga mwingi kumbe walikuwa wanampoteza

Rais Samia kabla ya kujijenga kisiasa alitakiwa kwanza awe mtulivu atengeneze urafiki na wapiga kura wake awafariji waliofiwa walau atulie kwa muda hata wa mwaka mmoja ndipo aanze mabadiliko ndani ya serikali yake lkn hawakumshauri vizuri badala yake akaanza visasi kwa kiwango cha hali ya juu

kwa sasa anaona Pamevuja anaona nguvu ya chuki dhidi yake inaongezeka lkn it's too late

Nasisitiza kuwa, kugombea Samia 2025 ni anguko kuu la CCM
Ni kweli, alitakiwa kufanya mabadiliko makubwa kwenye chama chake na serikali ili kufanya CCM na serikali yake kuwa vyombo vya maendeleo. CCM extremist walimlagahia sana matokeo yake fedha za umma zinatumika kuwabambikia kesi akina MBOWE, chache zilizosalia zinatumika kununua ndege etc. Huku huduma za kijamii za serikali eg, Tiba, maji, umeme, transaction etc zikiwa hoi na pia bei zikiwa ghali mno. Alianza vizuri sana huku anakokwenda Mungu ndio anajua.
 
Kabisaaaa. Hata mimi nionavyo ni kwamba,akijaribu kugombea mwaka 2025, ni sawa kabisa na kuuza chama tena kwa bei ya kutupa.
Mwaka 2025 wangemtafuta mtu mmoja ngangali, Mzalendo wa kweli, mwenye uthubutu na maono, vinginevyo CCM inakwenda kufia mikononi mwake.
Upo uchaguzi mlisha wahi kusema CCM itashinda?

Huu mwangwi wenu ni wa kila chaguzi, hivyo umezoeleka sasa.
 
Back
Top Bottom