Mama SSH anaweza asikubalike vijijini kama ,arais wengine, lakinio bado CCM< inakubalika na itambeba. Sioni mtu wa upinzamni anayekubalika vijijini. Mbowe ndiyo kabisa kachoka. Huko kwake hata ubunge walimnyima itakuwa uraisi, tena kutoka maeneo ya upinzani ambayo amewavuruga viongozi wa huko. Tarime na Bunda kishatibua baada ya kuwafukuza uananachama waliyokuwa wabunge wa huko. Unapomfukuza mbunge wa kuchaguliwa kwenye chama ni sawa na kuwakataa waliyomchagua. Hii fukuzafukuza iliwalenga viongozi wa CHADEMA wenye mvuto, na sasa wamebaki na mazezeta wanayoimba Mbowe jamba tufurahi, Mbowe anawajambia na wanashindani kunusu ushuzi wake (hasa wale wa JF).