Ingekufa 2020.Kabisaaaa. Hata mimi nionavyo ni kwamba,akijaribu kugombea mwaka 2025, ni sawa kabisa na kuuza chama tena kwa bei ya kutupa.
Mwaka 2025 wangemtafuta mtu mmoja ngangali, Mzalendo wa kweli, mwenye uthubutu na maono, vinginevyo CCM inakwenda kufia mikononi mwake.
Hilo ndiyo kosa lenu kubwa kuona eti Make Tanzania Great Again mnaona eti ulikuwa mpango mbaya kiasi kwamba mnamwaminisha Mama eti hao ni wafuasi wa falsafa mbaya wakati wananchi waliipenda Tanzania mpya. Na mkamdanganya Mama achome masoko (kariakoo, mwenge, mbeya etc) eti akija kujenga watu wataona kawajali wakati inajulikana mpango wa Mliomuambia wa kuwavuruga wananchi then atafute suluhisho yeye mwenyewe, juzi kasikika eti anaongea na wafadhili waje wajenge miundombinu wa machinga, yaani akope ili kujenga masoko ya machinga??? Kila machinga anamuona Mama hayupo sahihi kwa sababu tulishaambiwa na Dkt Magufuli nchi hii tajiri na hakuna haja ya kuwatoza watu tozo, ila yeye kadanganywaMataga muda wenu umekwisha, move on badala ya kuendelea kulia lia tu.
Hilo ndiyo kosa lenu kubwa kuona eti Make Tanzania Great Again mnaona eti ulikuwa mpango mbaya kiasi kwamba mnamwaminisha Mama eti hao ni wafuasi wa falsafa mbaya wakati wananchi waliipenda Tanzania mpya. Na mkamdanganya Mama achome masoko (kariakoo, mwenge, mbeya etc) eti akija kujenga watu wataona kawajali wakati inajulikana mpango wa Mliomuambia wa kuwavuruga wananchi then atafute suluhisho yeye mwenyewe, juzi kasikika eti anaongea na wafadhili waje wajenge miundombinu wa machinga, yaani akope ili kujenga masoko ya machinga??? Kila machinga anamuona Mama hayupo sahihi kwa sababu tulishaambiwa na Dkt Magufuli nchi hii tajiri na hakuna haja ya kuwatoza watu tozo, ila yeye kadanganywa
Hili ndo litafunika Kila kitu.SAMIA NI RAIS BORA HADI SASA LICHA YA AMAPUNGUFU YAKE..YEYE ALETE KATIBA MPYA LAKINI ILIYOBORESHWA
Ni maoni yako ila yote ni nadharia ukiambiwa uthibitishe huwezi. Muache raisi afanye kazi hata kama ana mapungufu yake tumsahihishe sio kukosoa tu, tukubali Magufuli ame rehemika tuendelee na kazi. Hakuna kita kacho tokea we zoea tu. Ni heccups.Kwa sasa hakuna mtu wa aina hiyo...CCM pia haiwezi kufa...2025 Samia atagombea na atashinda Kati ya 50 na 57 percent ya wapiga kura...lakini wapiga kura hao watakuwa chini ya asilimia 40 ya waliojiandikisha ...kutakuwa na election apathy...wengi hawatakwenda kupiga kura....
Serikali ya sasa imefanya makosa kadhaa ambayo yataigharibu...Kwanza ni tamko la rais siku chache baada ya kifo Cha JPM kuwa sasa anafungua nchi...that was a mistake...hakukuwa na haja ya kutoa kauli ya aina ile...pili ni suala la Corona..a number of Tanzanians in milions bado wanamuona JPM alikuwa sahihi katika mikakati dhidi ya Corona...tatu ni teuzi za watu Kama akina Makamba ambao walikuwa against JPM...nne ni kampeni dhidi ya kundi linaloitwa Sukuma gang...Kwanza kundi Hilo halipo it is a myth lakini watu wanaaminishwa Kuna kundi Kama Hilo...wasukuma wenyewe wamekaa tuli hawasemi kitu lakini ikumbukwe wasukuma nchi nzima wako zaidi ya milioni 15...tano ni suala la Bandari ya Bagamoyo...sita suala la sukari na controversial statements zinazotolewa...Saba ni suala la machinga..nane ni mfumuko wa Bei ...Tisa ni matajiri ambao wameanza kujinafasi kwa kutamba huku na kule...kumi ni suala la Muungano ambapo wabara wengi wameanza kuhoji masuala Kama ya ardhi inakuwaje wazanzibari wamiliki ardhi bara lakini wabara wakataliwe kule Zanzibar..pia ajira ya wazanzibari huku bara...
Kimsingi zipo nyufa nyingi mno kitaifa
Hatimaye umerudi mwimba pambio wa enzi zile, mini kemekuibua, au hatua za kupambana na wanahujumu enzi mpya🤔.Mimi niliuona uongozi wa Rais Samia kinabii nikauona ni uongozi unaoelekea kuanguka ila watu wasiomtakia mema walimsifu na kusema anaupiga mwingi kumbe walikuwa wanampoteza
Rais Samia kabla ya kujijenga kisiasa alitakiwa kwanza awe mtulivu atengeneze urafiki na wapiga kura wake awafariji waliofiwa walau atulie kwa muda hata wa mwaka mmoja ndipo aanze mabadiliko ndani ya serikali yake lkn hawakumshauri vizuri badala yake akaanza visasi kwa kiwango cha hali ya juu
kwa sasa anaona Pamevuja anaona nguvu ya chuki dhidi yake inaongezeka lkn it's too late
Nasisitiza kuwa, kugombea Samia 2025 ni anguko kuu la CCM
Sawa....ila maoni yako inaelekea siyo nadharia isipokuwa yangu...interestingNi maoni yako ila yote ni nadharia ukiambiwa uthibitishe huwezi. Muache raisi afanye kazi hata kama ana mapungufu yake tumsahihishe sio kukosoa tu, tukubali Magufuli ame rehemika tuendelee na kazi. Hakuna kita kacho tokea we zoea tu. Ni heccups.
Kura zako watapiga wakina kingai lala usilale wanaowapa ccm kura ni wakina kingai siyo wewekwa mara ya kwanza siendi kupiga kura 2025, akismama tu huyo mama bora nilale
ona uongozi wa Rais Samia kinabii nikauona ni uongozi unaoelekea kuanguka ila watu wasiomtakia mema walimsifu na kusema anaupiga mwingi kumbe walikuwa wanampoteza
Rais Samia kabla ya kujijenga kisiasa alitakiwa kwanza awe mtulivu atengeneze urafiki na wapiga kura wake awafariji waliofiwa walau atulie kwa muda hata wa mwaka mmoja ndipo aanze mabadiliko ndani ya serikali yake lkn hawakumshauri vizuri badala yake akaanza visasi kwa kiwango cha hali ya juu
kwa sasa anaona Pamevuja anaona nguvu ya chuki dhidi yake inaongezeka lkn it's too late
Nasisitiza kuwa, kugombea Samia 2025 ni anguko kuu la CCM
kwa mara ya kwanza siendi kupiga kura 2025, akismama tu huyo mama bora nilale
Na kauli zake zingine zinaashiria kama kifo cha Dkt Magufuli ni kama raha kwakePapara zake baada ya kuchukua kiti ndiyo zitamgarimu, na kama kweli CCM huiba kura basi ili mama abaki 2025 wajipange kuiba kweli kweli, la sivyo hali si nzuri. Kibaya zaidi mama hakubaliki hadi vijijini.
Kama CCM ingekuwa inatagemea kura yako au kura halali, leo hii isingekuwa madarakani.
Kura zako watapiga wakina kingai lala usilale wanaowapa ccm kura ni wakina kingai siyo wewe
Kwani Kabudi anasemaje......
Nani ana shida na kura za machinga na nyie wapiga Domo wa mijini?Mimi niliuona uongozi wa Rais Samia kinabii nikauona ni uongozi unaoelekea kuanguka ila watu wasiomtakia mema walimsifu na kusema anaupiga mwingi kumbe walikuwa wanampoteza
Rais Samia kabla ya kujijenga kisiasa alitakiwa kwanza awe mtulivu atengeneze urafiki na wapiga kura wake awafariji waliofiwa walau atulie kwa muda hata wa mwaka mmoja ndipo aanze mabadiliko ndani ya serikali yake lkn hawakumshauri vizuri badala yake akaanza visasi kwa kiwango cha hali ya juu
kwa sasa anaona Pamevuja anaona nguvu ya chuki dhidi yake inaongezeka lkn it's too late
Nasisitiza kuwa, kugombea Samia 2025 ni anguko kuu la CCM
ccm chini ya JPM ilikua inaungwa mkono na wananchi wengi sana, hata mngepiga kura mwaka mzima kulikua hamna namna mnashinda ule uchaguzi, mengi yalitokea lakini bado kulikua hamna namna mnashinda, CCM ya mkapa pamoja na JPM ndo ccm nlizojivunia sana kua mwana CCM, Japokua kuitoa ccm hata mkiungana vyama vyote hamtaweza kuitoa sio kwa sababu wanaiba kura ila ccm wapo wengi sana nadhan ni chama cha 8 ama 7 duniani saaahv