robinson crusoe
JF-Expert Member
- Oct 22, 2020
- 762
- 1,236
- Thread starter
-
- #41
Ninachoona ni kwamba una mapungufu ya ufahamu. Najua hutakubali lakini kama una elimu ya kutosha, una deni la bure la bodi ya mikopo. Chuoni ulitoka kama ulivyoingia. Eti unakumbuka movie ya Darful! Hiyo ni movie? Unajua maana ya Movie? FOOOOL!Mtu binafsi kivipi wakati Inatangaza utalii wa Tanzania? Watu mnadeal na vitu vidogo na kusahau kupitia movie hiyo ndio tutazidi kupromote utalii kimataifa.
Nakumbuka Movie ya Darfur ilifanya Mataifa yapate picha hasa ya kinachoendelea na tokea hapo ndio misaada ya kibanadamu ikaanza pelekwa!!
Sasa mshachelewa...
Tulipaswa kupiga makelele mapema sana. Tulipowaambia ROYAL TOUR ni chambo mlitujibu kuwa anaupiga mwingi.
Ngojeni nchi ifunguke tujue mengi...!!
NB: Matajiri wanaitaka Ngorongoro. Ila madhara yake yatakuwa zaidi ya uwepo wa Masai.
Shauri yenu mliokimbilia kuiangalia, mmepata mlichokitaka, inatakiwa Rais Apumzike afikili Kama alichofanya ni sawa ,Kama sio sawa vulumisha watu wote Ikulu,mbwai mbwaiWa-TZ wenzangu!
Wakati wa Wikileak nilitambua walioendelea na hasa US wanatumia maafisa wa ubalozini ili kuzifahamu nchi walimo. Balozi zao zinatumika sana kuwaelewesha tabia za viongozi wetu; uwezo na udhaifu wao.
Ina maana Peter Greenberg alikuja akiwa director wa film lakini naaamini kupitia ubalozi wake alishafahamu tabia za rais wetu hadi mambo ya ndani, na ukiangalia film hii, rais alichotwa akili hadi akamuona ni rafiki kuliko hata sisi wa-TZ.
Ukiangalia Film ya Royal Tour kiutu uzima, (Siyo kama mtoto anayefurahia wanyama) inatia kichefu-chefu jinsi rais wa nchi alivyopunguziwa thamani hadi kufikia kuwa mcheza film akiwa ikulu. Walifikia hatua ya kuitana majina kama wana mahusiano ya ziada. Peter! Mama Samia!
Haya yangeondolewa wakati wa ku-edit! Nadhani yaliachwa makusudi na naamini kwa uhusiano huu Peter sasa atatumika kiurafiki kuwasiliana na rais moja kwa moja.
Kule twitter Maria Sarungi kaibua jingine nami nimethibitisha. Wamasai wanaitwa ni 'PRIMITIVE' na huyo director wa film na ikaachwa kama sehemu ya maelezo ya film ya Tanzania! Yaani tuna raia PRIMITIVE! Rais Samia anaambiwa Magufuli alipatwa na COVID anakubali, Yeah! wakati wa-TZ hatujawahi kuambiwa jambo kama hilo. Kwa nini haya yote yametokea?
Ikulu yetu haina usalama. Namaanisha watu wanaostahili kumulazimisha rais aendane na matakwa ya taifa na siyo uamuzi wake, hawapo na hawana nguvu hizo. Ina maana rais mzembe anaweza angamiza taifa. Tabia zake binafsi zinatambaa na anazungukwa na watu wa aina yake bila kizuizi.
Very, Very Sorry!
Personal preferences ni zipi?? Issue hapa ni motive sio plot ya documentary!!Unajipinga mwenyewe...Kama ni public basi huwezi kuiwrka public interest nje kwa personal preferences zako...
Ila hao jamaa wa Ikulu wote ukiwasikiliza ni hongera tu! Kumbuka wengine ndo maisha yao wameweza kufika US. Ukiwauliza mafanikio ya Royal Tour ni kufika US.Shauri yenu mliokimbilia kuiangalia, mmepata mlichokitaka, inatakiwa Rais Apumzike afikili Kama alichofanya ni sawa ,Kama sio sawa vulumisha watu wote Ikulu,mbwai mbwai
Una bidii ya kuandika, lakini unachoandika, dah! Ni chini ya kiwango cha umri wako JF.Personal preferences ni zipi?? Issue hapa ni motive sio plot ya documentary!!
Kama amelenga kupata viewers million 2 na wakapatikana then wakaja bongo kutembelea wewe huoni ni public interest? Au hao watalii wakija watamlipa tip Mama Samia na Peter??
Sikusoma kwa HESLB nimesoma nje ya nchi tokea O level so I'm not your level when it comes to knowledge and exposure.Ninachoona ni kwamba una mapungufu ya ufahamu. Najua hutakubali lakini kama una elimu ya kutosha, una deni la bure la bodi ya mikopo. Chuoni ulitoka kama ulivyoingia. Eti unakumbuka movie ya Darful! Hiyo ni movie? Unajua maana ya Movie? FOOOOL!
Argue kwa hoja kijana, tatizo lenu mnajua matusi tu ila content zero maana hata lugha changamoto. Public interest vs Personal interest ndio hoja hapa kama hauna la kuchangia Nenda MMU.Una bidii ya kuandika, lakini unachoandika, dah! Ni chini ya kiwango cha umri wako JF.
..🙄🙄...Rais ni mkuu wa nchi, hao usalama hawawezi kuwa zaidi yake ?Nani huyo, Boss? Au unazungumzia spelling? too flimsy!
Hata mimi nijuavyo, usalama wa taifa ni zaidi ya rais. Niliwahi kusoma kisa cha Marilyn Monroe na rais Kennedy.
Una bidii ya kuandika, lakini unachoandika, dah! Ni chini ya kiwango cha umri wako JF.
Royal tour imezua mamboWa-TZ wenzangu!
Wakati wa Wikileak nilitambua walioendelea na hasa US wanatumia maafisa wa ubalozini ili kuzifahamu nchi walimo. Balozi zao zinatumika sana kuwaelewesha tabia za viongozi wetu; uwezo na udhaifu wao.
Ina maana Peter Greenberg alikuja akiwa director wa film lakini naaamini kupitia ubalozi wake alishafahamu tabia za rais wetu hadi mambo ya ndani, na ukiangalia film hii, rais alichotwa akili hadi akamuona ni rafiki kuliko hata sisi wa-TZ.
Ukiangalia Film ya Royal Tour kiutu uzima, (Siyo kama mtoto anayefurahia wanyama) inatia kichefu-chefu jinsi rais wa nchi alivyopunguziwa thamani hadi kufikia kuwa mcheza film akiwa ikulu. Walifikia hatua ya kuitana majina kama wana mahusiano ya ziada. Peter! Mama Samia!
Haya yangeondolewa wakati wa ku-edit! Nadhani yaliachwa makusudi na naamini kwa uhusiano huu Peter sasa atatumika kiurafiki kuwasiliana na rais moja kwa moja.
Kule twitter Maria Sarungi kaibua jingine nami nimethibitisha. Wamasai wanaitwa ni 'PRIMITIVE' na huyo director wa film na ikaachwa kama sehemu ya maelezo ya film ya Tanzania! Yaani tuna raia PRIMITIVE! Rais Samia anaambiwa Magufuli alipatwa na COVID anakubali, Yeah! wakati wa-TZ hatujawahi kuambiwa jambo kama hilo. Kwa nini haya yote yametokea?
Ikulu yetu haina usalama. Namaanisha watu wanaostahili kumulazimisha rais aendane na matakwa ya taifa na siyo uamuzi wake, hawapo na hawana nguvu hizo. Ina maana rais mzembe anaweza angamiza taifa. Tabia zake binafsi zinatambaa na anazungukwa na watu wa aina yake bila kizuizi.
Very, Very Sorry!
Mbona ni mabeberu ndio walizuia tusiuze hizo pembe kwenda China, kama wangezitaka si wangezichukua kitambo.Mimi Swali Langu ni:
Ile Stoo/Ghala ya Pembe za Ndovu Nje Pameandikwa Ilani ya Marufuku Kupiga Picha... Ikawaje Sasa Hadi video ikaarekodiwa? Nguvu Ya Beberu. Ile Ghala ilindwe Kwa nguvu zaidi.
👆Tatizo unafanya personofication badala ya kuangalia mantiki ya hoja na nini implication yake kwa taifa letu.
Ukiangalia ile picha hata utamaduni wetu watanzania uliwekwa rehani. Imagine mtu baki anamshika Mama yetu pasi staha, kweli!
Yaani mimi nilijisikia vibaya sana kuona mtu kama mama yangu anashikwa na libaba nisilolifahamu...Kwakweli hili jambo limenisononesha mimi kama mtanzania moja, sijui wenzangu.
Lakini kuvunjika kwa koleo siyo mwisho wa uhunzi, dhamira ya Rais wetu pengine ilikuwa njema ila tu hakujua ita imply nini kwa raia...Na mimi nauliza kweli Rais wetu analindwa? Mpambe wake kwanini alikubali haya? Je inaruhusiwa mpambe kuondoka nyuma ya Mh. Rais iwe kwa namna yeyote ile?
Mkumbuke bado hatuja pona kwenye vidonda vya Rais wetu kuaga dunia akiwa katika kazi ya urais na kwa wiki nzima haikujulikana alikuwa wapi, kisha baadaye wanaibuka watu ambao wana chuki isiyokifani tena wanakiri hadharani kuwa walikuwa wanamchukia...Hivi tunapata somo gani hapa?
Tujitafakari kama taifa!
Wa-TZ wenzangu!
Wakati wa Wikileak nilitambua walioendelea na hasa US wanatumia maafisa wa ubalozini ili kuzifahamu nchi walimo. Balozi zao zinatumika sana kuwaelewesha tabia za viongozi wetu; uwezo na udhaifu wao.
Ina maana Peter Greenberg alikuja akiwa director wa film lakini naaamini kupitia ubalozi wake alishafahamu tabia za rais wetu hadi mambo ya ndani, na ukiangalia film hii, rais alichotwa akili hadi akamuona ni rafiki kuliko hata sisi wa-TZ.
Ukiangalia Film ya Royal Tour kiutu uzima, (Siyo kama mtoto anayefurahia wanyama) inatia kichefu-chefu jinsi rais wa nchi alivyopunguziwa thamani hadi kufikia kuwa mcheza film akiwa ikulu. Walifikia hatua ya kuitana majina kama wana mahusiano ya ziada. Peter! Mama Samia!
Haya yangeondolewa wakati wa ku-edit! Nadhani yaliachwa makusudi na naamini kwa uhusiano huu Peter sasa atatumika kiurafiki kuwasiliana na rais moja kwa moja.
Kule twitter Maria Sarungi kaibua jingine nami nimethibitisha. Wamasai wanaitwa ni 'PRIMITIVE' na huyo director wa film na ikaachwa kama sehemu ya maelezo ya film ya Tanzania! Yaani tuna raia PRIMITIVE! Rais Samia anaambiwa Magufuli alipatwa na COVID anakubali, Yeah! wakati wa-TZ hatujawahi kuambiwa jambo kama hilo. Kwa nini haya yote yametokea?
Ikulu yetu haina usalama. Namaanisha watu wanaostahili kumulazimisha rais aendane na matakwa ya taifa na siyo uamuzi wake, hawapo na hawana nguvu hizo. Ina maana rais mzembe anaweza angamiza taifa. Tabia zake binafsi zinatambaa na anazungukwa na watu wa aina yake bila kizuizi.
Very, Very Sorry!
Nitajibu mawili. (1) Ni kweli Wamasai wanasoubiri kuonwa na Watalii kama wanyama ni PRIMITIVE. Halina mjadalaKule twitter Maria Sarungi kaibua jingine nami nimethibitisha. Wamasai wanaitwa ni 'PRIMITIVE' na huyo director wa film na ikaachwa kama sehemu ya maelezo ya film ya Tanzania! Yaani tuna raia PRIMITIVE! Rais Samia anaambiwa Magufuli alipatwa na COVID anakubali, Yeah! wakati wa-TZ hatujawahi kuambiwa jambo kama hilo. Kwa nini haya yote yametokea?
Ikulu yetu haina usalama. Namaanisha watu wanaostahili kumulazimisha rais aendane na matakwa ya taifa na siyo uamuzi wake, hawapo na hawana nguvu hizo. Ina maana rais mzembe anaweza angamiza taifa. Tabia zake binafsi zinatambaa na anazungukwa na watu wa aina yake bila kizuizi.
Very, Very Sorry!
Huyo yatima anaweweseka tu hana jipya wala hoja yoyote ya msingi.
Huyo jamaa ni 'pro-Magufuli' mwenye msimamo mkali sana (extremist).Huyo yatima anaweweseka tu hana jipya wala hoja yoyote ya msingi.