Rais Samia alishiriki filamu ya Royal Tour bila kinga ya heshima ya nchi. Tunashuhudia makosa ya kudhalilisha nchi

Rais Samia alishiriki filamu ya Royal Tour bila kinga ya heshima ya nchi. Tunashuhudia makosa ya kudhalilisha nchi

Mtu binafsi kivipi wakati Inatangaza utalii wa Tanzania? Watu mnadeal na vitu vidogo na kusahau kupitia movie hiyo ndio tutazidi kupromote utalii kimataifa.

Nakumbuka Movie ya Darfur ilifanya Mataifa yapate picha hasa ya kinachoendelea na tokea hapo ndio misaada ya kibanadamu ikaanza pelekwa!!
Ninachoona ni kwamba una mapungufu ya ufahamu. Najua hutakubali lakini kama una elimu ya kutosha, una deni la bure la bodi ya mikopo. Chuoni ulitoka kama ulivyoingia. Eti unakumbuka movie ya Darful! Hiyo ni movie? Unajua maana ya Movie? FOOOOL!
 
Sasa mshachelewa...
Tulipaswa kupiga makelele mapema sana. Tulipowaambia ROYAL TOUR ni chambo mlitujibu kuwa anaupiga mwingi.
Ngojeni nchi ifunguke tujue mengi...!!

NB: Matajiri wanaitaka Ngorongoro. Ila madhara yake yatakuwa zaidi ya uwepo wa Masai.

Kwa vipi, embu tuambie kwa ufupi tu ili tufahamu
 
Wa-TZ wenzangu!

Wakati wa Wikileak nilitambua walioendelea na hasa US wanatumia maafisa wa ubalozini ili kuzifahamu nchi walimo. Balozi zao zinatumika sana kuwaelewesha tabia za viongozi wetu; uwezo na udhaifu wao.

Ina maana Peter Greenberg alikuja akiwa director wa film lakini naaamini kupitia ubalozi wake alishafahamu tabia za rais wetu hadi mambo ya ndani, na ukiangalia film hii, rais alichotwa akili hadi akamuona ni rafiki kuliko hata sisi wa-TZ.

Ukiangalia Film ya Royal Tour kiutu uzima, (Siyo kama mtoto anayefurahia wanyama) inatia kichefu-chefu jinsi rais wa nchi alivyopunguziwa thamani hadi kufikia kuwa mcheza film akiwa ikulu. Walifikia hatua ya kuitana majina kama wana mahusiano ya ziada. Peter! Mama Samia!

Haya yangeondolewa wakati wa ku-edit! Nadhani yaliachwa makusudi na naamini kwa uhusiano huu Peter sasa atatumika kiurafiki kuwasiliana na rais moja kwa moja.

Kule twitter Maria Sarungi kaibua jingine nami nimethibitisha. Wamasai wanaitwa ni 'PRIMITIVE' na huyo director wa film na ikaachwa kama sehemu ya maelezo ya film ya Tanzania! Yaani tuna raia PRIMITIVE! Rais Samia anaambiwa Magufuli alipatwa na COVID anakubali, Yeah! wakati wa-TZ hatujawahi kuambiwa jambo kama hilo. Kwa nini haya yote yametokea?

Ikulu yetu haina usalama. Namaanisha watu wanaostahili kumulazimisha rais aendane na matakwa ya taifa na siyo uamuzi wake, hawapo na hawana nguvu hizo. Ina maana rais mzembe anaweza angamiza taifa. Tabia zake binafsi zinatambaa na anazungukwa na watu wa aina yake bila kizuizi.

Very, Very Sorry!
Shauri yenu mliokimbilia kuiangalia, mmepata mlichokitaka, inatakiwa Rais Apumzike afikili Kama alichofanya ni sawa ,Kama sio sawa vulumisha watu wote Ikulu,mbwai mbwai
 
Unajipinga mwenyewe...Kama ni public basi huwezi kuiwrka public interest nje kwa personal preferences zako...
Personal preferences ni zipi?? Issue hapa ni motive sio plot ya documentary!!

Kama amelenga kupata viewers million 2 na wakapatikana then wakaja bongo kutembelea wewe huoni ni public interest? Au hao watalii wakija watamlipa tip Mama Samia na Peter??
 
Shauri yenu mliokimbilia kuiangalia, mmepata mlichokitaka, inatakiwa Rais Apumzike afikili Kama alichofanya ni sawa ,Kama sio sawa vulumisha watu wote Ikulu,mbwai mbwai
Ila hao jamaa wa Ikulu wote ukiwasikiliza ni hongera tu! Kumbuka wengine ndo maisha yao wameweza kufika US. Ukiwauliza mafanikio ya Royal Tour ni kufika US.
 
Personal preferences ni zipi?? Issue hapa ni motive sio plot ya documentary!!

Kama amelenga kupata viewers million 2 na wakapatikana then wakaja bongo kutembelea wewe huoni ni public interest? Au hao watalii wakija watamlipa tip Mama Samia na Peter??
Una bidii ya kuandika, lakini unachoandika, dah! Ni chini ya kiwango cha umri wako JF.
 
Ninachoona ni kwamba una mapungufu ya ufahamu. Najua hutakubali lakini kama una elimu ya kutosha, una deni la bure la bodi ya mikopo. Chuoni ulitoka kama ulivyoingia. Eti unakumbuka movie ya Darful! Hiyo ni movie? Unajua maana ya Movie? FOOOOL!
Sikusoma kwa HESLB nimesoma nje ya nchi tokea O level so I'm not your level when it comes to knowledge and exposure.

Kingine movie ya Darfur ni factual maana inasimuliwa na wafanyakazi wa NGO za kizungu so ni true story sio acting Kama unavyodhani. Ni Kama tu ambavyo Samia anasimulia matukio ya Tanzania kwa Peter.

Tatizo lako exposure hauna mnadhani Urais ni kuwa mungu mtu hivi usisogelewe na mtu!!! Tembeeni huko duniani, Rais anachukuliwa simple tu maana mamlaka ya kumtoa na kumweka yapo kwa raia wenyewe.
 
Tissue ya Tanzania ikofofo kwa mambo haya.
Ila chomekea gari kwny misafara yao...weeeeee. utaskia "paki pale,shuka haraka kwny gari"
 
Nani huyo, Boss? Au unazungumzia spelling? too flimsy!
Hata mimi nijuavyo, usalama wa taifa ni zaidi ya rais. Niliwahi kusoma kisa cha Marilyn Monroe na rais Kennedy.
..🙄🙄...Rais ni mkuu wa nchi, hao usalama hawawezi kuwa zaidi yake ?
 
Mimi Swali Langu ni:

Ile Stoo/Ghala ya Pembe za Ndovu Nje Pameandikwa Ilani ya Marufuku Kupiga Picha... Ikawaje Sasa Hadi video ikaarekodiwa? Nguvu Ya Beberu. Ile Ghala ilindwe Kwa nguvu zaidi.
 
Una bidii ya kuandika, lakini unachoandika, dah! Ni chini ya kiwango cha umri wako JF.
Screenshot_20220502_202646.jpg


Kama 21st century unaongelea siasa za kikabila una akili timamu kweli?
 
Wa-TZ wenzangu!

Wakati wa Wikileak nilitambua walioendelea na hasa US wanatumia maafisa wa ubalozini ili kuzifahamu nchi walimo. Balozi zao zinatumika sana kuwaelewesha tabia za viongozi wetu; uwezo na udhaifu wao.

Ina maana Peter Greenberg alikuja akiwa director wa film lakini naaamini kupitia ubalozi wake alishafahamu tabia za rais wetu hadi mambo ya ndani, na ukiangalia film hii, rais alichotwa akili hadi akamuona ni rafiki kuliko hata sisi wa-TZ.

Ukiangalia Film ya Royal Tour kiutu uzima, (Siyo kama mtoto anayefurahia wanyama) inatia kichefu-chefu jinsi rais wa nchi alivyopunguziwa thamani hadi kufikia kuwa mcheza film akiwa ikulu. Walifikia hatua ya kuitana majina kama wana mahusiano ya ziada. Peter! Mama Samia!

Haya yangeondolewa wakati wa ku-edit! Nadhani yaliachwa makusudi na naamini kwa uhusiano huu Peter sasa atatumika kiurafiki kuwasiliana na rais moja kwa moja.

Kule twitter Maria Sarungi kaibua jingine nami nimethibitisha. Wamasai wanaitwa ni 'PRIMITIVE' na huyo director wa film na ikaachwa kama sehemu ya maelezo ya film ya Tanzania! Yaani tuna raia PRIMITIVE! Rais Samia anaambiwa Magufuli alipatwa na COVID anakubali, Yeah! wakati wa-TZ hatujawahi kuambiwa jambo kama hilo. Kwa nini haya yote yametokea?

Ikulu yetu haina usalama. Namaanisha watu wanaostahili kumulazimisha rais aendane na matakwa ya taifa na siyo uamuzi wake, hawapo na hawana nguvu hizo. Ina maana rais mzembe anaweza angamiza taifa. Tabia zake binafsi zinatambaa na anazungukwa na watu wa aina yake bila kizuizi.

Very, Very Sorry!
Royal tour imezua mambo
 
Mimi Swali Langu ni:

Ile Stoo/Ghala ya Pembe za Ndovu Nje Pameandikwa Ilani ya Marufuku Kupiga Picha... Ikawaje Sasa Hadi video ikaarekodiwa? Nguvu Ya Beberu. Ile Ghala ilindwe Kwa nguvu zaidi.
Mbona ni mabeberu ndio walizuia tusiuze hizo pembe kwenda China, kama wangezitaka si wangezichukua kitambo.

Pale udhaifu labda ni location kufahamika kwamba ni eneo la bandari ila kusema usipIge picha ni kwa raia ila ukiwa na kibali hata ITV wamewahi fanya coverage kwenye ghala lile na picha zimewahi pigwa sana na Magazeti kipindi kile wanapinga ujangili 2013 hivi.
 
Tatizo unafanya personofication badala ya kuangalia mantiki ya hoja na nini implication yake kwa taifa letu.

Ukiangalia ile picha hata utamaduni wetu watanzania uliwekwa rehani. Imagine mtu baki anamshika Mama yetu pasi staha, kweli!

Yaani mimi nilijisikia vibaya sana kuona mtu kama mama yangu anashikwa na libaba nisilolifahamu...Kwakweli hili jambo limenisononesha mimi kama mtanzania moja, sijui wenzangu.

Lakini kuvunjika kwa koleo siyo mwisho wa uhunzi, dhamira ya Rais wetu pengine ilikuwa njema ila tu hakujua ita imply nini kwa raia...Na mimi nauliza kweli Rais wetu analindwa? Mpambe wake kwanini alikubali haya? Je inaruhusiwa mpambe kuondoka nyuma ya Mh. Rais iwe kwa namna yeyote ile?

Mkumbuke bado hatuja pona kwenye vidonda vya Rais wetu kuaga dunia akiwa katika kazi ya urais na kwa wiki nzima haikujulikana alikuwa wapi, kisha baadaye wanaibuka watu ambao wana chuki isiyokifani tena wanakiri hadharani kuwa walikuwa wanamchukia...Hivi tunapata somo gani hapa?

Tujitafakari kama taifa!
👆
Hii kali aisee...
Matola
Kiranga
Nyani Ngabu
JokaKuu
Yoda
Pascal Mayalla
Megalodon
dudus
Tindo
Phillipo Bukililo
 
Natamani Putin atutawale
Wa-TZ wenzangu!

Wakati wa Wikileak nilitambua walioendelea na hasa US wanatumia maafisa wa ubalozini ili kuzifahamu nchi walimo. Balozi zao zinatumika sana kuwaelewesha tabia za viongozi wetu; uwezo na udhaifu wao.

Ina maana Peter Greenberg alikuja akiwa director wa film lakini naaamini kupitia ubalozi wake alishafahamu tabia za rais wetu hadi mambo ya ndani, na ukiangalia film hii, rais alichotwa akili hadi akamuona ni rafiki kuliko hata sisi wa-TZ.

Ukiangalia Film ya Royal Tour kiutu uzima, (Siyo kama mtoto anayefurahia wanyama) inatia kichefu-chefu jinsi rais wa nchi alivyopunguziwa thamani hadi kufikia kuwa mcheza film akiwa ikulu. Walifikia hatua ya kuitana majina kama wana mahusiano ya ziada. Peter! Mama Samia!

Haya yangeondolewa wakati wa ku-edit! Nadhani yaliachwa makusudi na naamini kwa uhusiano huu Peter sasa atatumika kiurafiki kuwasiliana na rais moja kwa moja.

Kule twitter Maria Sarungi kaibua jingine nami nimethibitisha. Wamasai wanaitwa ni 'PRIMITIVE' na huyo director wa film na ikaachwa kama sehemu ya maelezo ya film ya Tanzania! Yaani tuna raia PRIMITIVE! Rais Samia anaambiwa Magufuli alipatwa na COVID anakubali, Yeah! wakati wa-TZ hatujawahi kuambiwa jambo kama hilo. Kwa nini haya yote yametokea?

Ikulu yetu haina usalama. Namaanisha watu wanaostahili kumulazimisha rais aendane na matakwa ya taifa na siyo uamuzi wake, hawapo na hawana nguvu hizo. Ina maana rais mzembe anaweza angamiza taifa. Tabia zake binafsi zinatambaa na anazungukwa na watu wa aina yake bila kizuizi.

Very, Very Sorry!
 
Kule twitter Maria Sarungi kaibua jingine nami nimethibitisha. Wamasai wanaitwa ni 'PRIMITIVE' na huyo director wa film na ikaachwa kama sehemu ya maelezo ya film ya Tanzania! Yaani tuna raia PRIMITIVE! Rais Samia anaambiwa Magufuli alipatwa na COVID anakubali, Yeah! wakati wa-TZ hatujawahi kuambiwa jambo kama hilo. Kwa nini haya yote yametokea?

Ikulu yetu haina usalama. Namaanisha watu wanaostahili kumulazimisha rais aendane na matakwa ya taifa na siyo uamuzi wake, hawapo na hawana nguvu hizo. Ina maana rais mzembe anaweza angamiza taifa. Tabia zake binafsi zinatambaa na anazungukwa na watu wa aina yake bila kizuizi.

Very, Very Sorry!
Nitajibu mawili. (1) Ni kweli Wamasai wanasoubiri kuonwa na Watalii kama wanyama ni PRIMITIVE. Halina mjadala

(2) Mwanadamu mwenyewe Magufuli aliekuwa na VVU +Pacemaker+ Diabetes+ Bipolar +COVID 19, LAZIMA angekufa tu.

Wajanja walijuwa kuwa Magufuli HATOBOI 2023, wakakaa kimya, ila WAPUMBAVU wakamuona kama mungu mtu,
 
Back
Top Bottom