Rais Samia alishiriki filamu ya Royal Tour bila kinga ya heshima ya nchi. Tunashuhudia makosa ya kudhalilisha nchi

Nongwa za kijinga hizi, kama ni mtu wa umri wa Mama yako hutakiwi hata kumjadili.
 
Umeshawahi kujiuliza Netanyahu akiwa kiongozi mkuu wa Israel alipata vipi muda wa kuwa actor akitengeneza filamu kama hii hii ya Royal Tour?. Hoja za kitoto kama hizi ni za facebook.
 
Mapicha picha tyuu ,sorry but in my Faith and Bealive Wemen wher not ment to be Leaders sio kanisan sio msikitini Hii kitu Impact yake in futer ni kubwa sana , mungu ibariki tanzania yangu nakupenda sana my Tz....
Wanaume ndio wanaandika kingereza broken kama hicho?. Hawafai kuongoza nchi basi.
 
Ila yule babu mtangazaji wa cbs news kapewa uhuru uliopitiliza..
Huyu mama anahitaji kuwekwa chini na kufundishwa taratibu..
Ana uzungu flani uliochanganyika na uswahili wa pwani..
Hili kosa lisirudiwe.
 
Ni kweli taasisi ya uraisi iheshimiwe
 
Umeshawahi kujiuliza Netanyahu akiwa kiongozi mkuu wa Israel alipata vipi muda wa kuwa actor akitengeneza filamu kama hii hii ya Royal Tour?. Hoja za kitoto kama hizi ni za facebook.
Alikuwa anashikana "arms akimbo" na director wa kike kama babu "pila" alivyoachiwa ?
 
Ku’act Movie [emoji327] au Filamu umeelewa maana ya hilo neno??? Litafakari kwanza mkuu
 
Vinchi vyetu hivi vidogo vidogo vinafahamika siku zote mpaka Ikulu na mataifa yenye nguvu. Kwa hiyo hakuna cha kuficha,wakati siku zote tupo uchi. Tuendelee tu kukaa uchi tena kwa Sasa tumekaa uchi ili tuingize pesa

[emoji3][emoji3][emoji3]na mm naongezea hatuna sababu za kupambana wala uwezo wa kushindana nao hatuna sasa ya niniii!!!

Magari tunayotumia,vifaa kwa ajili ya kujilinda vya technology ya leo pia kwao

Sometimes ukiwa mpinzan sana unapoteza maana na unapoteza wafuasi
 
Mapicha picha tyuu ,sorry but in my Faith and Bealive Wemen wher not ment to be Leaders sio kanisan sio msikitini Hii kitu Impact yake in futer ni kubwa sana , mungu ibariki tanzania yangu nakupenda sana my Tz....
Tuwe tunatumia Kiswahili badala ya kuharibu lugha za wengine bila sababu za msingi.
Bealive= believe
Wemen= women
wher= were
ment= meant
futer= future.
 
Kwa mlio bahatika kuona hiyo filamu na mmekerekwa kwa kiasi kikubwa namna hii basi tukubali kwamba Taifa limeachwa uchi kupitia filamu hiyo ya kipuuzi.
 
Nikama vile Jiwe alivyotaka kuliangamiza Taifa. Ila swala la Jiwe kupata Corona usingelisikia hata kidogo kwani kwenye usukani walikuwepo Sukuma gang. Jiwe kafa kwa corona sababu ya kuamini ushirikina kuliko science
 
Hivi kweli Idi Amini angeweza kucheza maisha yake yale yaliyoigizwa? Labda upande mwingine wa maisha yake.
Tahadhari tafuta mfano mwingine.
 
Wazee wa legacy mpo!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Usimsingizie Jpm, Magufuri hawezi kuchagua kilaza hawe makamu wake,huyu aliletwa na akina Kikwete, Magufuri mwenyewe anakili kuwa chaguo lake lilikuwa Hussein Mwinyi,ila alizidiwa nguvu na hakina Kikwete
Jiwe alikuwa bomu tena likateguka kabisa. Bora mama kuliko lile uaji mara 100
 
Huoni kuwa kutangaza utalii wa Tanzania kungeweza kufanywa na wizara husika na taasisi zenye uhusiano na utalii bila kumhusisha moja kwa moja mkuu wa nchi binafsi?
Wewe kinakuuma nini? Au ulitaka ukaigize wewe? Nyamafu, hizi ni akiri kama za Jiwe
 
Msukuma gang mnapata tabu sana, si kuna ile ya burigi? Polen sana lakini kikubwa kilichopelekea kushindwa kwenu ni ushamba wenu wa kuzaliwa
 
Ila hao jamaa wa Ikulu wote ukiwasikiliza ni hongera tu! Kumbuka wengine ndo maisha yao wameweza kufika US. Ukiwauliza mafanikio ya Royal Tour ni kufika US.
Mbona kama una wivu sana na watu waliofika Us kupitia Mama? Jiwe aliishia kuwapeleka chato
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Baraza la sanaa halikuipitia hii movie na kumpa adhabu huyo Beberu Peter?
Hoja nyingine sky eclat ni za kitoto sana zinaletwa hapa kwaiyo watanzania wanataka waonyeshwe jinsi gani usalama walivyokuwa Wana muongoza mama hivi uhalisia ungetokea wapi au wanataka waleteww behind the scenes jinsi peter alivyokuwa anakaguliwa anaongozwa ndio akili ziwatulie

Yule maria naye stress zinampeleka pabaya eti neno primitive limepigwa marufuku, hivi anajua maneno gani katika lugha yamebadilishwa matumizi ila bado yanatumika kama yalivyozoeleka yani wanaleta hoja za kitoto kwa watu wazima, yani wanajigeuza Wana linguistics kisa wanaongea kingereza

Hivi sehemu zile hatarishi kwenye movie mmeona mama anathubutu kushiriki mmeona mama kaingis shimoni merelani, mmemuona mama kapanda Lili limwamvuli Ile scene ya mwisho Serengeti au tunajitoa akili yani mama kushikwa mkono tu eti tunahatarisha hivi mnajua uyo peter alivyokuwa anaongozwa

Au mletewe behind the scenes ya kipindi mama anavua samaki muone usalama ulikuwa unazingua kile chombo tuache ushamba inatakiwa tujue Ile ni movie editing imefanyika na matendo mengine yamefanyika kuleta uhalisia

Mbona hawasemi tundu lisu au mbowe kipindi anaongea na mama hawakuhatarisha maisha maana video tunawaona wawili tu wanacheka wanaongea ila ya peter imekuwa nongwa😂😂😂😂
 
Miaka 60 ya uhuru tuliyoshindwa kuleta maendeleo yanayolingana na rasilimali zetu, ndiyo yanadhalilisha nchi siyo hiyo filamu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…