Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
- Thread starter
-
- #141
Kabla sijakujibu, unahisi mimi nilifundishwa na wa kundi gani hapo?Nikuulize, wewe ulisomeshwa na walimu wa kundi lipi kati ya hao uliowacategorise? Kama ni WA kundi la pili basi nawe utakuwa uliambukizwa na kujazwq ujinga wao. Learn to appreciate their efforts acha makasiriko!
Kama kweli una watoto wanaosoma basi wewe ni zao la walimu wa kundi la pili uliowapangia kundi!Kabla sijakujibu, unahisi mimi nilifundishwa na wa kundi gani hapo?
Hapana umesahau wanadiplomaciasijaona uhusiano wa walimu na kichwa cha uzi, aliyendika uzi ana makasiriko ndani yake, hayupo sawa, halafu katika utumishi wa umma , walimu sio wafanyakazi wa kima cha chini, mwalimu analipwa salary sawa na watumishi wengine wowote walio chini ya serikali za mitaa,wanaomzidi mwalimu mshahara tena kwa daraja moja ni wahasibu (cpa) wanasheria ( advocates) enginers ( waliothibitishwa ) doctors,na wagavi (waliothibitishwa) ,ukija fani na kazi nyingine mwalimu analipwa sawa na afisa utumishi nk,
Jaman jaman WALIMU wa Tanzania!Walimu mna shida gani? Unajua nashindwa kuelewa hadi Sasa, ukiwa Mwalimu lazima uwe juha?
Kwanza ilikuaje ukawa Mwalimu?
Jumamosi tutajua tuBaada ya kuzunguka huko na huku hatimaye wamejua ongezeko la mshahara, lawama zimeanza na wengine kuanza kumshambulia Rais. Hii haikubaliki hata kidogo.
Raisi aliweka wazi ongezeko la mshahara kwa 23.3% ni wale wa kima cha chini, Ila kutokujua kusoma na kuelewa kwa watumishi kukafanya ionekane ni kwa watu wote.
Ni kama kuna watu walijiandaa kutoa lawama kwa Rais wetu ikiwa taarifa ilisema wazi kabisa kuwa ni kima cha chini. Hata hivyo tukirudi kwenye uhalisia kwa uchumi ulivyoyumba duniani na Tanzania tukiwemo, unawezaje kuhitaji ongezeko la 23.3%? Kwa kazi gani hasa unazofanya?
Watumishi wengi ni walimu, zaidi ya nusu(300000+) na hawa ndio waliokuwa mstari wa mbele kupotosha ongezeko ili mwisho wa siku ionekane serikali iliongopa. Shida ni nini kwenye hii kada ya ualimu? Ufahamu mdogo?
Narudia tena acheni lawama kwa Rais mara moja, na pia mshukuru hata kwa hiko kidogo mlichopata.
Isiwe tabu nduguUzuri nimesema hapo juu, akili hamna. Hata sijui mliajiriwa vipi
daaa huyu mwamba ajapata wakongwe wakumlipua ana bahati nimeachaa na usela na maviIsiwe tabu ndugu
Mwaka wa Fedha uliomalizika tumefikisha utekelezaji wa 95%Mwalimu akisikia bajeti ya nchi ni Trillion 40, basi anajua yote trillion 40 inapatikana. Hajui kuwa hata kufika tu 60% ni kazi sana
Umeshindwa kujibu swaliKama kweli una watoto wanaosoma basi wewe ni zao la walimu wa kundi la pili uliowapangia kundi!
Ila walimu sijui mna matatizo gani, soma ulichoandikasijaona uhusiano wa walimu na kichwa cha uzi, aliyendika uzi ana makasiriko ndani yake, hayupo sawa, halafu katika utumishi wa umma , walimu sio wafanyakazi wa kima cha chini, mwalimu analipwa salary sawa na watumishi wengine wowote walio chini ya serikali za mitaa,wanaomzidi mwalimu mshahara tena kwa daraja moja ni wahasibu (cpa) wanasheria ( advocates) enginers ( waliothibitishwa ) doctors,na wagavi (waliothibitishwa) ,ukija fani na kazi nyingine mwalimu analipwa sawa na afisa utumishi nk,
Ndio maana nasema mna matatizo ya akili.Acha kupotosha watumishi wa umma. Hilo lilitamkwa wazi mchana kweupe pee.
Kama ameshindwa kuongeza kwa asilimia hizo, anatakiwa atoke hadharani na kuwaomba radhi watumishi wa umma, na wala si vinginevyo.
Wacha mvunjike tu moyo, hebu angalia comments zao kwenye huu Uzi ndio uone kama Wana akili au hawanaJaman jaman WALIMU wa Tanzania!
Kila mfano mbaya kifedha unatolewa kwa mwalimu. Hii inavunja moyo kabisa
Ila walimu mna matatizo gani?Jumamosi tutajua tu
Walimu hamna akili?daaa huyu mwamba ajapata wakongwe wakumlipua ana bahati nimeachaa na usela na mavi
Walimu wana vichwa vigumu sana, sijui ni wapi serikali ilisema kila mtumishi ataongezewa 23.3Hakuna waliposema salary zimeongezwa kwa 23.3% bali kima cha chini na ambacho ndio basic ya calculation ya salary..
Na tayari wachambuzi wameshasema ongezeko halizidi 50,000.
Baada ya kuzunguka huko na huku hatimaye wamejua ongezeko la mshahara, lawama zimeanza na wengine kuanza kumshambulia Rais. Hii haikubaliki hata kidogo.
Raisi aliweka wazi ongezeko la mshahara kwa 23.3% ni wale wa kima cha chini, Ila kutokujua kusoma na kuelewa kwa watumishi kukafanya ionekane ni kwa watu wote.
Ni kama kuna watu walijiandaa kutoa lawama kwa Rais wetu ikiwa taarifa ilisema wazi kabisa kuwa ni kima cha chini. Hata hivyo tukirudi kwenye uhalisia kwa uchumi ulivyoyumba duniani na Tanzania tukiwemo, unawezaje kuhitaji ongezeko la 23.3%? Kwa kazi gani hasa unazofanya?
Watumishi wengi ni walimu, zaidi ya nusu(300000+) na hawa ndio waliokuwa mstari wa mbele kupotosha ongezeko ili mwisho wa siku ionekane serikali iliongopa. Shida ni nini kwenye hii kada ya ualimu? Ufahamu mdogo?
Narudia tena acheni lawama kwa Rais mara moja, na pia mshukuru hata kwa hiko kidogo mlichopata.