Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi ni Msumari wa Moto, kadri utakavyoukalia ndio utakavyopata maumivu yakeIla mkuu jaribu kuwa mstaarabu kidogo kwenye thread zako unakuwa mkali sana yaani mtu anaweza kuuliza vzr jibu atakalo pata hawezi ludia Tena
Walimu mpo wengi humu, alafu kwa upeo wa akili zenu huwa hamjifichiHumu JF uki mu ignore member bado utamuona si apotee kabisa?
Mnawadharau huku mkiwasukumia watoto wenu wakashinde nao Kwa masaa 12 Kila siku! Ona aibu basi eeh!Hadi hapa umedhihirisha kwanini watu wanawadharau walimu
Kuna madaraja mawili ya walimuMnawadharau huku mkiwasukumia watoto wenu wakashinde nao Kwa masaa 12 Kila siku! Ona aibu basi eeh!
Kuna vituko kwenye huu uzi acha tu [emoji23]Payroll/salary slips? Wachambuzi wengine hawa[emoji16]
Nchi gani hizo?Hakuna shida, tutaendelea kuiba na kula rushwa. Rushwa na uwizi nchi nyingine walipunguza kwa kuangalia haki na stahiki za mtumishi pamoja na kudhibiti mfumuko wa Bei ili kufanya balancing ya anachopokea mwananchi na anachotumia.
Wewe endelea kufurahia unaowaita walimu/wafanyakazi kutokulipwa 23% Kama nyongeza, wakati huohuo watu wanapitisha mizigo kwenye miboti bure bila kulipa kodi kwenye bandari zetu.
Hao wa kundi lako la kwanza wanaitwa walimu au manesi? Nakuita mpumbavu Kwa kushindwa kwako kumjua mwalimu ni nani!Kuna madaraja mawili ya walimu
- Grade 1, hawa ni wale waliopo shule za English medium(feza, IST, Shabani Robert n.k) na za seminary
- Popote kambi, Hawa Sasa ni wale wenzangu na Mimi waliopo shule za serikali ambao ndio wengi wamewehuka humu JF
Watoto wangu wanafundishwa na waliopo kwenye hilo kundi la kwanza
Mbona unaumia sana au wewe ndo mwalimu?Attachments zipi? Barua ilishatoka na ikasema 23.3 ni kwa kima Cha chini, unataka uwekewe nini tena? Pili mishahara ishapistiwa kwenye system, unataka kujua nini tena? Walimu mna shida gani?
NMB ni Benki inayo waumiza watumishi kwenye mikopo, malalamiko mengi ya watumishi wano kopa huko NMB wameishia kujuta.kuna nini huko kwa makabwela??
maana crdb wamekuja na mkakati wa ajabu,mshahara upitie kwao.
Walimu mpo wengi humu, alafu kwa upeo wa akili zenu huwa hamjifichi
View attachment 2298833
Tunawaita "Academicians" kwenye shule ambayo Watoto wangu wanasoma. Sijui wewe utaamua kuwaitaje.Hao wa kundi lako la kwanza wanaitwa walimu au manesi? Nakuita mpumbavu Kwa kushindwa kwako kumjua mwalimu ni nani!
Mimi huyu?
Bila shaka wewe ni Mwalimu, huo mshahara unaopewa unakutosha. Mwalimu hana kazi ya kufanya ya kulipwa mshahara mkubwa. Ukiona mshahara kidogo, acha kazi, hujalazimishwa
Eeeh kula tena? Kwani mnaliwa?Kwani wajifiche wamemla mama yako? Hii nchi tuko huru,na kazi ya ualimu ni halali wala si wizi kama yako!
ha ha ha ha ila wewe jamaa bhanaUnachotwa akili na mwalimu? Mwalimu hajui hata maana ya bajeti, Pili payroll ipo tayari
Hizi hasira sio bure kuna kitu hakipo sawa kwenye medulaUnafikiri kila mmoja humu ni Mwalimu, Mimi Nina biashara zangu, hata kama ningekuwa Mwalimu ni kazi kama kazi zingine, ila kumbuka walimu walikufuta mavi na kamasi, Leo unapata ujasiri wakuwabeza! Mjinga mkubwa wewe!
NMB ni Benki inayo waumiza watumishi kwenye mikopo, malalamiko mengi ya watumishi wano kopa huko NMB wameishia kujuta.
nendeni CRDB ndio Benki pekee iliyo dhamiria kuwakomboa watumishi kiuchumi.
Mwalimu akisikia bajeti ya nchi ni Trillion 40, basi anajua yote trillion 40 inapatikana. Hajui kuwa hata kufika tu 60% ni kazi sanaha ha ha ha ila ww jamaa bhana