Doctor Mama Amon
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 2,089
- 2,725
- Thread starter
- #41
Mosi, contextual meaning is always ambiguous.Hapana, that's a wrong approach. Approach hiyo ndiyo inatufanya tuwe tujisifu hata tusivyostahili.
Bigger picture - linganisha mwaka # 1 tulikuwa wapi na mwaka # 60 tuko wapi. Period.
Hizo "performance metrics" hapo kati pretty much zinaji even out zenyewe (in my opinion there are more negatives than positives).
By the way, ninatumia jina la "Chadema" nilidhani ungeelewa - kama hujaelewa nimeitumia katika context gani then hata hii discussion ni kupotezeana muda tu.
Hivyo, lazima wewe kama mwandishi uweke bayana unalokusudia pale una=oandika neno "Chadema."
Pili, unasema: "Hizo performance metrics hapo kati pretty much zinaji even out zenyewe, in my opinion there are more negatives than positives."
Katika debate, kauli hii haiwezi kukupa score.
Unapaswa kuweka ushahidi mezani ili kuilinda.