Rais Samia amefanya vizuri ndani ya miezi saba madarakani

Rais Samia amefanya vizuri ndani ya miezi saba madarakani

5. Kuimarisha Demokrasia, hii bila kusahau hotuba yake Umoja wa Mataifa.

6. Uhuru wa kuzungumza na vyombo vya habari.

HAPA BADO
Sijaesema kwamba amemaliza, ndio maana kazi inaendelea. Na ni muhimu mtu kuonesha kutambua kitu kilichofanyika, na kwamba jitihada zaidi zinaendelea.
 
Oktoba 19 imetimia miezi saba tangu Rais Samia Suluhu Hassan aingie madarakani kuliongoza Taifa hili. Kuna mengi ameyafanya vizuri sana, na mengine hakufanya kwa usahihi, lakini kutokana na kwamba siku ya sherehe hatafuti sababu ya kuhuzunika, basi leo nitandike jamvi nimsifu kwa machache.

Mimi kama mwananchi wa kawaida yaliyonikosha zaidi ni:

1. Kuleta chanjo ya UVIKO-19 ambayo pamoja na mengi imefungua sekta ya utalii kwa watalii kuona nasi ni salama kutembelewa.

2. Ujenzi wa madarasa 15,000

3. Ujenzi wa vituo vya afya na uimarishaji wa sekta za afya

4. Kufungua fursa za kibiashara kutokana na ziara kwenye nchi mbalimbali duiani

5. Kuimarisha Demokrasia, hii bila kusahau hotuba yake Umoja wa Mataifa.

6. Uhuru wa kuzungumza na vyombo vya habari.

7. Uteuzi wa wanawake kwenye nyadhifa mbalimbali..

MAMA AMEUPIGA MWINGI SANA.. MUNGU AMSAIDIE
Umesahau ajira rasmi zaidi ya 29,000 ,,huko ajira portal saizi Kazi zimemwaga..

Usisahau vituo vya afya zaidi ya 200,,

Mapato kuongezeka

Kila hospital ya mkoa kuwa na CT scan,XY kwa kila hospital ya Wilaya na vituo vya afya ..

Yaani ni hivi kila sekta inakimbia kwa speed
 
Oktoba 19 imetimia miezi saba tangu Rais Samia Suluhu Hassan aingie madarakani kuliongoza Taifa hili. Kuna mengi ameyafanya vizuri sana, na mengine hakufanya kwa usahihi, lakini kutokana na kwamba siku ya sherehe hatafuti sababu ya kuhuzunika, basi leo nitandike jamvi nimsifu kwa machache.

Mimi kama mwananchi wa kawaida yaliyonikosha zaidi ni:

1. Kuleta chanjo ya UVIKO-19 ambayo pamoja na mengi imefungua sekta ya utalii kwa watalii kuona nasi ni salama kutembelewa.

2. Ujenzi wa madarasa 15,000

3. Ujenzi wa vituo vya afya na uimarishaji wa sekta za afya

4. Kufungua fursa za kibiashara kutokana na ziara kwenye nchi mbalimbali duiani

5. Kuimarisha Demokrasia, hii bila kusahau hotuba yake Umoja wa Mataifa.

6. Uhuru wa kuzungumza na vyombo vya habari.

7. Uteuzi wa wanawake kwenye nyadhifa mbalimbali..

MAMA AMEUPIGA MWINGI SANA.. MUNGU AMSAIDIE
Aaaamin aaaamin aaaamin 🙏

Siempre Chifu Mkuu Hangaya aaaamin aaaaamin🙏
 
Umesahau ajira rasmi zaidi ya 29,000 ,,huko ajira portal saizi Kazi zimemwaga..

Usisahau vituo vya afya zaidi ya 200,,

Mapato kuongezeka

Kila hospital ya mkoa kuwa na CT scan,XY kwa kila hospital ya Wilaya na vituo vya afya ..

Yaani ni hivi kila sekta inakimbia kwa speed
😍
 
2935090_IMG-20210717-WA0000.jpg
 
Tangu ashike madaraka sasa ni miezi Saba lakini tumeona mafanikio makubwa kwa aliyo fanya, rais alianza na kurejesha mahusiano na majirani uhusiano ambao ulikuwa umedora kwa kiwango kikubwa mno, sasa hivi wafanya biashara Wana peleka biashara zao kwenye nchi tunazo pakana nazo bila ya vipingamizi vyovyote.

Makusanyo ya Kodi yameongezeka tena Kodi isiyo ya dhuluma na kazi zake tayari zimeanza kuirudia jamii kwenye nyanja za elimu, madarasa yana jengwa nchi nzima, zahanati zinajengwa na kuboreshwa nchi nzima, ajira zime endelea kutolewa, wafanyakazi wamepandishwa madaraja, Barabara Zina endelea kujengwa nchi nzima, miradi yote iliyo anzishwa na awamu ya tano yote inaendelea.
Uhusiano kimataifa umerejea, tulitengwa mpaka tuka Baki kujipendekeza kwa wachina na kuwasifia Sana.

Kwa kweli mama Samia kwa muda mfupi amefanya mengi na bado tutarajie mengi.
Hongera Ila Kuna ka kikundi kadogo kenye mfumo dume ambako bado aka amini juu ya kuongozwa na mwanamke Hako ndo kanaona Kila analofanya rais sio zuri kwao sambamba na hao pia Kuna wenye ukabila ambao walidhani kuwa huwenda kabila lao lingetawala milele.

HONGERA KWA RAIS WETU.
😍😍
 
Oktoba 19 imetimia miezi saba tangu Rais Samia Suluhu Hassan aingie madarakani kuliongoza Taifa hili. Kuna mengi ameyafanya vizuri sana, na mengine hakufanya kwa usahihi, lakini kutokana na kwamba siku ya sherehe hatafuti sababu ya kuhuzunika, basi leo nitandike jamvi nimsifu kwa machache.

Mimi kama mwananchi wa kawaida yaliyonikosha zaidi ni:

1. Kuleta chanjo ya UVIKO-19 ambayo pamoja na mengi imefungua sekta ya utalii kwa watalii kuona nasi ni salama kutembelewa.

2. Ujenzi wa madarasa 15,000

3. Ujenzi wa vituo vya afya na uimarishaji wa sekta za afya

4. Kufungua fursa za kibiashara kutokana na ziara kwenye nchi mbalimbali duiani

5. Kuimarisha Demokrasia, hii bila kusahau hotuba yake Umoja wa Mataifa.

6. Uhuru wa kuzungumza na vyombo vya habari.

7. Uteuzi wa wanawake kwenye nyadhifa mbalimbali..

MAMA AMEUPIGA MWINGI SANA.. MUNGU AMSAIDIE
8. Kufuta kesi za kubambikiza 142 zilizzokuwa TAKUKURU

9. Kuzielekeza Mahakama kutenda haki hatimaye Mashehe wa Uamsho wakaachiwa, MDUDE CHADEMA akaachiwa na Mbowe na wenzie wakashinda rufaa ya kesi ya Akwilina

10. Kuwaondoa kwenye uongozi ma DC na ma RC waliokuwa wanakiuka utendaji kama e Sabaya na Chalamila

11. Kutoa ajira kwa waalimu na watumishi wa Afya japo kwa kiwango kidogo.

12. Kuruhusu uhuru wa maoni na ukosoaji usiovunja sheria

13. Kurudisha hadhi ya Tanzania kimataifa
 
Oktoba 19 imetimia miezi saba tangu Rais Samia Suluhu Hassan aingie madarakani kuliongoza Taifa hili. Kuna mengi ameyafanya vizuri sana, na mengine hakufanya kwa usahihi, lakini kutokana na kwamba siku ya sherehe hatafuti sababu ya kuhuzunika, basi leo nitandike jamvi nimsifu kwa machache.

Mimi kama mwananchi wa kawaida yaliyonikosha zaidi ni:

1. Kuleta chanjo ya UVIKO-19 ambayo pamoja na mengi imefungua sekta ya utalii kwa watalii kuona nasi ni salama kutembelewa.

2. Ujenzi wa madarasa 15,000

3. Ujenzi wa vituo vya afya na uimarishaji wa sekta za afya

4. Kufungua fursa za kibiashara kutokana na ziara kwenye nchi mbalimbali duiani

5. Kuimarisha Demokrasia, hii bila kusahau hotuba yake Umoja wa Mataifa.

6. Uhuru wa kuzungumza na vyombo vya habari.

7. Uteuzi wa wanawake kwenye nyadhifa mbalimbali..

MAMA AMEUPIGA MWINGI SANA.. MUNGU AMSAIDIE

Hivyo vitu ulivyotaja havina dira yeyote kwa taifa ni fabrication tu za kisiasa.
 
8. Kufuta kesi za kubambikiza 142 zilizzokuwa TAKUKURU

9. Kuzielekeza Mahakama kutenda haki hatimaye Mashehe wa Uamsho wakaachiwa, MDUDE CHADEMA akaachiwa na Mbowe na wenzie wakashinda rufaa ya kesi ya Akwilina

10. Kuwaondoa kwenye uongozi ma DC na ma RC waliokuwa wanakiuka utendaji kama e Sabaya na Chalamila

11. Kutoa ajira kwa waalimu na watumishi wa Afya japo kwa kiwango kidogo.

12. Kuruhusu uhuru wa maoni na ukosoaji usiovunja sheria

13. Kurudisha hadhi ya Tanzania kimataifa
Chief Mkuu Hangaya sio wa mchezo mchezo
 
Wewe leta hoja hapa ndio zitaamua kama wewe ni great thinker au la, usilazimishe vyeo. Pia, kama hujui mipango ya hii nchi ina maana hata bajeti ya nchi hauijua na huo u great thinker wako sijui umeupataje.
Hatuwezi kuendesha nchi kwa tozo na mikopo, haya ni mawazo ya kijinga kabisa,
Kujenga shule na vituo vya afya ni sawa, swali vinacontribute nini kwa uchumi wa taifa,
Fanyia projection ikiwa huyu bdo president for 10 yrs ata acha nchi na uchumi ipi???
Zama za kuomba omba zimepitwa na Wakati
 
Back
Top Bottom