MoureenAbel
Member
- Sep 24, 2021
- 29
- 43
- Thread starter
- #41
Yani anajiita great thinker na hakuna kitu anaongea.. Aje na hoja sio kuchagua matusiWewe ndo sifuri kabisa, sasa hapo umeeleza nini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani anajiita great thinker na hakuna kitu anaongea.. Aje na hoja sio kuchagua matusiWewe ndo sifuri kabisa, sasa hapo umeeleza nini
Sijaesema kwamba amemaliza, ndio maana kazi inaendelea. Na ni muhimu mtu kuonesha kutambua kitu kilichofanyika, na kwamba jitihada zaidi zinaendelea.5. Kuimarisha Demokrasia, hii bila kusahau hotuba yake Umoja wa Mataifa.
6. Uhuru wa kuzungumza na vyombo vya habari.
HAPA BADO
Wewe hapa unaona kuna kitu?Hakuna kitu hapo
Umesahau ajira rasmi zaidi ya 29,000 ,,huko ajira portal saizi Kazi zimemwaga..Oktoba 19 imetimia miezi saba tangu Rais Samia Suluhu Hassan aingie madarakani kuliongoza Taifa hili. Kuna mengi ameyafanya vizuri sana, na mengine hakufanya kwa usahihi, lakini kutokana na kwamba siku ya sherehe hatafuti sababu ya kuhuzunika, basi leo nitandike jamvi nimsifu kwa machache.
Mimi kama mwananchi wa kawaida yaliyonikosha zaidi ni:
1. Kuleta chanjo ya UVIKO-19 ambayo pamoja na mengi imefungua sekta ya utalii kwa watalii kuona nasi ni salama kutembelewa.
2. Ujenzi wa madarasa 15,000
3. Ujenzi wa vituo vya afya na uimarishaji wa sekta za afya
4. Kufungua fursa za kibiashara kutokana na ziara kwenye nchi mbalimbali duiani
5. Kuimarisha Demokrasia, hii bila kusahau hotuba yake Umoja wa Mataifa.
6. Uhuru wa kuzungumza na vyombo vya habari.
7. Uteuzi wa wanawake kwenye nyadhifa mbalimbali..
MAMA AMEUPIGA MWINGI SANA.. MUNGU AMSAIDIE
Aaaamin aaaamin aaaamin 🙏Oktoba 19 imetimia miezi saba tangu Rais Samia Suluhu Hassan aingie madarakani kuliongoza Taifa hili. Kuna mengi ameyafanya vizuri sana, na mengine hakufanya kwa usahihi, lakini kutokana na kwamba siku ya sherehe hatafuti sababu ya kuhuzunika, basi leo nitandike jamvi nimsifu kwa machache.
Mimi kama mwananchi wa kawaida yaliyonikosha zaidi ni:
1. Kuleta chanjo ya UVIKO-19 ambayo pamoja na mengi imefungua sekta ya utalii kwa watalii kuona nasi ni salama kutembelewa.
2. Ujenzi wa madarasa 15,000
3. Ujenzi wa vituo vya afya na uimarishaji wa sekta za afya
4. Kufungua fursa za kibiashara kutokana na ziara kwenye nchi mbalimbali duiani
5. Kuimarisha Demokrasia, hii bila kusahau hotuba yake Umoja wa Mataifa.
6. Uhuru wa kuzungumza na vyombo vya habari.
7. Uteuzi wa wanawake kwenye nyadhifa mbalimbali..
MAMA AMEUPIGA MWINGI SANA.. MUNGU AMSAIDIE
😍Umesahau ajira rasmi zaidi ya 29,000 ,,huko ajira portal saizi Kazi zimemwaga..
Usisahau vituo vya afya zaidi ya 200,,
Mapato kuongezeka
Kila hospital ya mkoa kuwa na CT scan,XY kwa kila hospital ya Wilaya na vituo vya afya ..
Yaani ni hivi kila sekta inakimbia kwa speed
Uongo hata UUPAKE poda, wanja na lipstick UTABAKI ni UONGO!
![]()
Gambo: Ulikuwa uporaji shughuli ya kufunga maduka ya kubadilisha fedha za kigeni
Mbunge wa Arusha Mjini (CCM), Mrisho Gambo amesema shughuli ya kufunga maduka ya kubadilishia fedha za kigeni iliyofanyika nchini takribani miwili iliyopita, ilikuwa ni uporaji wa kuumiza watu.www.mwananchi.co.tz
Masifa au ndio ukweli? Wivu utakuua 😃😃Haya masifa hayaa!,ngoja nicheke
Kupandisha tozo.
kupunguza mabando
kupokea chanjo
Kupokea hela za Corona.
Kuwatimua pole pole na bashiru
Na ataumia sana 😍Masifa au ndio ukweli? Wivu utakuua 😃😃
#Kazi Inaendelea Kwa Kasi & Weledi Zaidi💪Sijaesema kwamba amemaliza, ndio maana kazi inaendelea. Na ni muhimu mtu kuonesha kutambua kitu kilichofanyika, na kwamba jitihada zaidi zinaendelea.
😍😍Tangu ashike madaraka sasa ni miezi Saba lakini tumeona mafanikio makubwa kwa aliyo fanya, rais alianza na kurejesha mahusiano na majirani uhusiano ambao ulikuwa umedora kwa kiwango kikubwa mno, sasa hivi wafanya biashara Wana peleka biashara zao kwenye nchi tunazo pakana nazo bila ya vipingamizi vyovyote.
Makusanyo ya Kodi yameongezeka tena Kodi isiyo ya dhuluma na kazi zake tayari zimeanza kuirudia jamii kwenye nyanja za elimu, madarasa yana jengwa nchi nzima, zahanati zinajengwa na kuboreshwa nchi nzima, ajira zime endelea kutolewa, wafanyakazi wamepandishwa madaraja, Barabara Zina endelea kujengwa nchi nzima, miradi yote iliyo anzishwa na awamu ya tano yote inaendelea.
Uhusiano kimataifa umerejea, tulitengwa mpaka tuka Baki kujipendekeza kwa wachina na kuwasifia Sana.
Kwa kweli mama Samia kwa muda mfupi amefanya mengi na bado tutarajie mengi.
Hongera Ila Kuna ka kikundi kadogo kenye mfumo dume ambako bado aka amini juu ya kuongozwa na mwanamke Hako ndo kanaona Kila analofanya rais sio zuri kwao sambamba na hao pia Kuna wenye ukabila ambao walidhani kuwa huwenda kabila lao lingetawala milele.
HONGERA KWA RAIS WETU.
Anezuia fujo sio demokrasia,hujasikia Ripoti Tzn ni miongoni mwa nchi 5 zenye uhuru wa kujieleza?Amefanya vizuri kuzuia demokrasia?!
8. Kufuta kesi za kubambikiza 142 zilizzokuwa TAKUKURUOktoba 19 imetimia miezi saba tangu Rais Samia Suluhu Hassan aingie madarakani kuliongoza Taifa hili. Kuna mengi ameyafanya vizuri sana, na mengine hakufanya kwa usahihi, lakini kutokana na kwamba siku ya sherehe hatafuti sababu ya kuhuzunika, basi leo nitandike jamvi nimsifu kwa machache.
Mimi kama mwananchi wa kawaida yaliyonikosha zaidi ni:
1. Kuleta chanjo ya UVIKO-19 ambayo pamoja na mengi imefungua sekta ya utalii kwa watalii kuona nasi ni salama kutembelewa.
2. Ujenzi wa madarasa 15,000
3. Ujenzi wa vituo vya afya na uimarishaji wa sekta za afya
4. Kufungua fursa za kibiashara kutokana na ziara kwenye nchi mbalimbali duiani
5. Kuimarisha Demokrasia, hii bila kusahau hotuba yake Umoja wa Mataifa.
6. Uhuru wa kuzungumza na vyombo vya habari.
7. Uteuzi wa wanawake kwenye nyadhifa mbalimbali..
MAMA AMEUPIGA MWINGI SANA.. MUNGU AMSAIDIE
Oktoba 19 imetimia miezi saba tangu Rais Samia Suluhu Hassan aingie madarakani kuliongoza Taifa hili. Kuna mengi ameyafanya vizuri sana, na mengine hakufanya kwa usahihi, lakini kutokana na kwamba siku ya sherehe hatafuti sababu ya kuhuzunika, basi leo nitandike jamvi nimsifu kwa machache.
Mimi kama mwananchi wa kawaida yaliyonikosha zaidi ni:
1. Kuleta chanjo ya UVIKO-19 ambayo pamoja na mengi imefungua sekta ya utalii kwa watalii kuona nasi ni salama kutembelewa.
2. Ujenzi wa madarasa 15,000
3. Ujenzi wa vituo vya afya na uimarishaji wa sekta za afya
4. Kufungua fursa za kibiashara kutokana na ziara kwenye nchi mbalimbali duiani
5. Kuimarisha Demokrasia, hii bila kusahau hotuba yake Umoja wa Mataifa.
6. Uhuru wa kuzungumza na vyombo vya habari.
7. Uteuzi wa wanawake kwenye nyadhifa mbalimbali..
MAMA AMEUPIGA MWINGI SANA.. MUNGU AMSAIDIE
Chief Mkuu Hangaya sio wa mchezo mchezo8. Kufuta kesi za kubambikiza 142 zilizzokuwa TAKUKURU
9. Kuzielekeza Mahakama kutenda haki hatimaye Mashehe wa Uamsho wakaachiwa, MDUDE CHADEMA akaachiwa na Mbowe na wenzie wakashinda rufaa ya kesi ya Akwilina
10. Kuwaondoa kwenye uongozi ma DC na ma RC waliokuwa wanakiuka utendaji kama e Sabaya na Chalamila
11. Kutoa ajira kwa waalimu na watumishi wa Afya japo kwa kiwango kidogo.
12. Kuruhusu uhuru wa maoni na ukosoaji usiovunja sheria
13. Kurudisha hadhi ya Tanzania kimataifa
Hatuwezi kuendesha nchi kwa tozo na mikopo, haya ni mawazo ya kijinga kabisa,Wewe leta hoja hapa ndio zitaamua kama wewe ni great thinker au la, usilazimishe vyeo. Pia, kama hujui mipango ya hii nchi ina maana hata bajeti ya nchi hauijua na huo u great thinker wako sijui umeupataje.