Kudoba wepo baaah
Senior Member
- May 12, 2024
- 155
- 461
Amamaanisha national mvivu..huyu Jamaica atawekwa kando soon
Hata Gerson ni mmoja wa wanufaika na utawala wa Magu, hakuna namna atamsahau Magu.
Kinachosikitisha ni kuendekeza tabia ya kuabudu watu na siyo Mungu.
Mandera ndani ya miaka mitano aliyotawala Afrika ya kusini, aliitumia fursa hiyo kujenga taasisi imara na katiba nzuri. Leo hayupo tunashuhudia nchi inakwenda kwa kufuata sheria haiqngalii. Ukiboronga na urais wako wanakung'oa na unaweza hata kufungwa kitu ambacho huku ni ndoto.
Uharibifu wowote tunaoshuhudia Sasa humtoi Magu, maana Hawa wote waliopo ni chaguo lake,kuanziq bungeni mpaka serikalini.
Ukipanda bangi usitarajie kuvuna Mahindi. Kifupi yeye ni sehemu ya madhira tunayopitia, alipaswa kutengeneza mfumo imara utakaolinda raslimali zetu bila kujali atakuwepo ama hatakuwepo. Tatizo ni kujifanya mungu kumbe siku zako zinahesabika.
Jaba ndio nini?Mmeambiw msile jaba hamtaki.
Hata Gerson ni mmoja wa wanufaika na utawala wa Magu, hakuna namna atamsahau Magu.
Kinachosikitisha ni kuendekeza tabia ya kuabudu watu na siyo Mungu.
Mandera ndani ya miaka mitano aliyotawala Afrika ya kusini, aliitumia fursa hiyo kujenga taasisi imara na katiba nzuri. Leo hayupo tunashuhudia nchi inakwenda kwa kufuata sheria haiangalii wewe ni nani au mtoto wa nani. Ukiboronga na urais wako wanakung'oa na unaweza hata kufungwa kitu ambacho huku ni ndoto.
Uharibifu wowote tunaoshuhudia Sasa humtoi Magu, maana hawa wote waliopo ni chaguo lake,kuanziq bungeni mpaka serikalini.
Ukipanda bangi usitarajie kuvuna Mahindi. Kifupi yeye ni sehemu ya madhira tunayopitia, alipaswa kutengeneza mfumo imara utakaolinda raslimali zetu bila kujali atakuwepo ama hatakuwepo. Tatizo ni kujifanya mungu kumbe siku zako zinahesabika.
Maelezo hayo yanhusiana vipi na kufeli Kwa Samia? Sukuma gang na wachumba zenu machadomo mbona mnahangaika sana ?
Akili ya kijinga sana hii, watoto wako wakisema wanababa bora itakuwa wanakuabudu?Kinachosikitisha ni kuendekeza tabia ya kuabudu watu
Hajaferi vipi ilihali anaruhusu Sukari ipewe kampuni isiyo na mtaji chief?Maelezo hayo yanhusiana vipi na kufeli Kwa Samia? Sukuma gang na wachumba zenu machadomo mbona mnahangaika sana ?
Wee umepigaje hapo😂😂😂😂Mchiambirwa msirye jaba tamtaki
Toa ujinga wako hapa,aliyesababisha hata Sukari kuadimika Kwa kubadili sheria alikuwa Magufuli.Hajaferi vipi ilihali anaruhusu Sukari ipewe kampuni isiyo na mtaji chief?
Tulikuwa na bandari zetu wenyewe na sasa hatuna? Bado hajaferi?
Kwa akili yako ni wewe tu mwenye matusi, na matusi menyewe ya miaka nenda rudi!Toa ujinga wako hapa,aliyesababisha hata Sukari kuadimika Kwa kubadili sheria alikuwa Magufuli.
Hawa unaowataja Sasa ni matapeli wengine ambao wanatakiwa kushughulikiwa.
Mambo ya Sukari yalianza na kina Mzindakaya Wala sio jambo jipya.
So Wacha upumbavu
Bahati mbaya kiswahili kinapungukiwa maneno.Tutamkumbuka kwa mazuri na siyo kwa mabaya.
Acha upuuzi,uzushi na kuchonganiaha watuKwa akili yako ni wewe tu mwenye matusi, na matusi menyewe ya miaka nenda rudi!
Mb..wa wewe utasingizia sana Magufuli na hayupo sasa, alikwambieni muwape kampuni zisizo na mitaji?
Hapa nimekuchonganisha na nani kibwengo wewe?Acha upuuzi,uzushi na kuchonganiaha watu