Kudoba wepo baaah
Senior Member
- May 12, 2024
- 155
- 461
Mbona maelezo ni mafupi sana halafu inaonekana yalikuwa yanamhusu jpm tu?!!! Mnataka wastaaeabu wawaseme vibaya waliotangulia?!!!
Kwani amesema chochote kuhusu samia?!!! Muulizeni mtasikia maoni yake juu ya Samia. Walinda legacy mnachekesha sana.
Kwani amesema chochote kuhusu samia?!!! Muulizeni mtasikia maoni yake juu ya Samia. Walinda legacy mnachekesha sana.