Rais Samia amejaa hofu ya Mungu, ndiyo maana unaona akihubiri haki

Rais Samia amejaa hofu ya Mungu, ndiyo maana unaona akihubiri haki

Yes nimenote hii obsession ila ni obsession ya uzalendo. Kama hivi ni miezi miwili tuu, then kufikia 2025 jf itakuwa na fulu fulu nondo za kushiba za mama!.
NB. Isije ikawa jamaa ni msaka fursa hivyo hiki kinachoendelea ni kutafuta tuu recognition?!.
Lets wait and see!.
P
Hapana, mkuu wangu mwandishi nguli hii yangu Ni kuwasilishwa maoni yangu tu kwa namna navyo utazama uongozi wa mh Rais na namna alivyo pokelewa na wananchi huku mitaani kwangu na namna anavyowatendea haki ya kiutumishi katika nyanja mbalimbali pasipo upendeleo Wala Nini,

wananchi nami mwenyewe Kama mkulima tunasema anagusa maisha yetu wakulima kwa kutupunguzia kero zilizokuwa zinatukaba, kwetu kilimo Ni pumzi yetu, lakini pia tunaona namna huduma muhimu zilivyosogezwa karibu yetu kwa ubora mkubwa Sana,

changamoto katikati ya maendeleo huwa hazikosekani lakini juhudi ya kuzitatua tunaziona waziwazi kutoka serikali hii
 
Ndugu zangu nadhani sote tumeendelee kusikia kile kinachojiri huko mkoani Kilimanjaro ambako Mh. Rais wetu yupo huko. Ndugu zangu ukimfuatilia Mh. Rais wetu hata kabla ya kuwa Rais wetu ni kiongozi aliyekuwa akipenda kuona haki ikitendeka kwa watu wengine bila kujali hali zao.

Hali hiyo na tabia hiyo ya Mh. Rais wetu bado anayo, bado ulimi wake unahubiri haki. Bado anahitaji kuona kila kiongozi aliyepewa dhamana ya uongozi anatenda haki. Anataka kuona kila mwenye dhamana ya kuamua haki kwa mujibu wa sheria anatoa haki kwa haki. Anataka kuona watu wasikae magerezani wakibubujikwa machozi kila siku kwa sababu tu walionewa na kunyimwa haki.

Mh. Rais wetu anataka kuona na amedhamiria kuona haki inatamalaki kila eneo na kila mhimili wa dola, anataka kuona mikono ya viongozi inakuwa safi, anataka kuona watu wanakwenda jela kwa haki na hata wakiwa jela iwe ni sehemu ya kufundishwa na kurekebishwa tabia huku haki zao na utu wao ukilindwa vyema.

Mikono ya Mh. Rais wetu hakika Ni misafi, kinywa cha Rais wetu kimejaa hekima na busara kubwa sana, kifua cha Mh. Rais wetu kimetamalaki upendo kwa watu wote. Ni kiongozi wa kuigwa, kupigiwa mifano na ambaye huwezi ukawa na Shaka naye juu ya dhamira yake katika kuwatumikia wananchi.

Hii ndio sababu huwezi ukaona sasa hivi kiongozi akimdhalilisha mtumishi wa umma mwenye familia hadharani kwa makosa yasiyo yake. Ndio maana huwezi ukaona mambo ya kuvunjiana heshima na kushushiana heshima maana wateule wa Mh. Rais wameshatambua kuwa Mh. Rais wetu ni mtu wa haki kimaneno na kimatendo.

Hakika Mwenyezi Mungu anatupenda sana watanzania, hajawahi kutuacha wapweke wala wakiwa. Mama Samia ni Joshua wetu anayetupeleka Kanaan, hatuna budi kuendelea kumuunga mkono Mh. Rais wetu mpendwa. Tuendelee kumuombea afya njema na maisha marefu.

Tuendelee kumuombea ili Mwenyezi Mungu amjalie nguvu za kututumikia. Mimi kama kijana ninaiona Tanzania inayomekameka katika uongozi wa Mama yetu. Kesho yetu ni njema sana watanzania, Tanzania ni salama na ipo katika mikono salama sana. Mikono ya Rais wetu ni safi, kinywa cha Mh. Rais wetu ni safi, ulimi wa Mh. Rais wetu ni safi na Tanzania ni safi, kazi iendelee.
Kwa maoni yangu apunguze kuonyesha yeye ni mama na badala yake aongoze kama rais,
 
Upinzani upi unao uzungumzia ndugu yangu, maana kwa Sasa haupo kwa kuwa umeishiwa hoja, Sera na ajenda za kuwashawishi wananchi kuunga mkono, kwa sababu ajenda na Sera za kuwagusa wananchi zimebebwa na kufanyiwa kazi na mh Rais wetu,

upinzani ulikuwaga unapitia vimianya vilivyo kuwa vinaachwa wazi, lakini kwa Sasa mh Rais ameviziba kisawa sawa kwa kutoa utumishi ulio tukuka kwa wananchi wanyonge wasio na sauti
Naunga mkono hoja.
P
 
Hapana, mkuu wangu mwandishi nguli hii yangu Ni kuwasilishwa maoni yangu tu kwa namna navyo utazama uongozi wa mh Rais na namna alivyo pokelewa na wananchi huku mitaani kwangu na namna anavyowatendea haki ya kiutumishi katika nyanja mbalimbali pasipo upendeleo Wala Nini,

wananchi nami mwenyewe Kama mkulima tunasema anagusa maisha yetu wakulima kwa kutupunguzia kero zilizokuwa zinatukaba, kwetu kilimo Ni pumzi yetu, lakini pia tunaona namna huduma muhimu zilivyosogezwa karibu yetu kwa ubora mkubwa Sana,

changamoto katikati ya maendeleo huwa hazikosekani lakini juhudi ya kuzitatua tunaziona waziwazi kutoka serikali hii
Nakuunga mkono, ubarikiwe sana, na nasoma kila bandiko lako na unakula like yangu.
P
 
Ndugu zangu nadhani sote tumeendelee kusikia kile kinachojiri huko mkoani Kilimanjaro ambako Mh. Rais wetu yupo huko. Ndugu zangu ukimfuatilia Mh. Rais wetu hata kabla ya kuwa Rais wetu ni kiongozi aliyekuwa akipenda kuona haki ikitendeka kwa watu wengine bila kujali hali zao.

Hali hiyo na tabia hiyo ya Mh. Rais wetu bado anayo, bado ulimi wake unahubiri haki. Bado anahitaji kuona kila kiongozi aliyepewa dhamana ya uongozi anatenda haki. Anataka kuona kila mwenye dhamana ya kuamua haki kwa mujibu wa sheria anatoa haki kwa haki. Anataka kuona watu wasikae magerezani wakibubujikwa machozi kila siku kwa sababu tu walionewa na kunyimwa haki.

Mh. Rais wetu anataka kuona na amedhamiria kuona haki inatamalaki kila eneo na kila mhimili wa dola, anataka kuona mikono ya viongozi inakuwa safi, anataka kuona watu wanakwenda jela kwa haki na hata wakiwa jela iwe ni sehemu ya kufundishwa na kurekebishwa tabia huku haki zao na utu wao ukilindwa vyema.

Mikono ya Mh. Rais wetu hakika Ni misafi, kinywa cha Rais wetu kimejaa hekima na busara kubwa sana, kifua cha Mh. Rais wetu kimetamalaki upendo kwa watu wote. Ni kiongozi wa kuigwa, kupigiwa mifano na ambaye huwezi ukawa na Shaka naye juu ya dhamira yake katika kuwatumikia wananchi.

Hii ndio sababu huwezi ukaona sasa hivi kiongozi akimdhalilisha mtumishi wa umma mwenye familia hadharani kwa makosa yasiyo yake. Ndio maana huwezi ukaona mambo ya kuvunjiana heshima na kushushiana heshima maana wateule wa Mh. Rais wameshatambua kuwa Mh. Rais wetu ni mtu wa haki kimaneno na kimatendo.

Hakika Mwenyezi Mungu anatupenda sana watanzania, hajawahi kutuacha wapweke wala wakiwa. Mama Samia ni Joshua wetu anayetupeleka Kanaan, hatuna budi kuendelea kumuunga mkono Mh. Rais wetu mpendwa. Tuendelee kumuombea afya njema na maisha marefu.

Tuendelee kumuombea ili Mwenyezi Mungu amjalie nguvu za kututumikia. Mimi kama kijana ninaiona Tanzania inayomekameka katika uongozi wa Mama yetu. Kesho yetu ni njema sana watanzania, Tanzania ni salama na ipo katika mikono salama sana. Mikono ya Rais wetu ni safi, kinywa cha Mh. Rais wetu ni safi, ulimi wa Mh. Rais wetu ni safi na Tanzania ni safi, kazi iendelee.
Kuhibiri haki na kutenda haki ni vitu viwili tofauti, hubiri haki tenda haki, maneno uyayo hubiri uyafanye kwa vitendo na uyaishi.
Kashahubiri na uwajibikaji sasa ufuatie. Mahubiri ya haki ayajaanza leo tumeyasikia sana hebu sasa uwajibikaji kwa vitendo ya yale yanayohubiriwa yatendeke
 
Mhukumu kwa Sasa akiwa Rais wa nchi na Amiri Jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama, zungumzia habari za awamu yake
Naunga mkono hoja, Rais Samia ahukumiwe kwa mawazo yake, maneno yake na matendo yake ya sasa akiwa ni rais wa JMT na sio kuendelea kumlaumu na kumshutumu kwa kile ambacho kilitokea awamu iliyopita ambayo she was also a part and parcel, kwasababu mtindo wetu wa uongozi ni wa collective responsibility serikali ikifanya mazuri ni wote, na kukitokea maovu pia lawama ni kwa wote, ila kwa kauli zake za sasa, maneno na matendo, ni uthibitisho tosha kuwa japo she was part and parcel ya awamu iliyopita, she was just silent kutimiza takwa la a collective responsibility but she was not supporting maovu yale na kulithibitisha hili, now on the drivers seat, in full control amebadili mwelekeo kwa kuwaza, kusema na kutenda tofauti!.
P
 
Back
Top Bottom