Rais Samia amekuwa Rais wa kwanza mwanamke, Makamu wa Rais wa kwanza kurithi Urais

Huenda hujui maana na matumizi ya neno milele, wahenga walishasema kubwa kila chenye mwanzo kina mwisho. Mungu pekee hana mwanzo na hatakuwa na mwisho
 
Nani wa kushindana nae?

Mdudu au mwambulukuku?
 
Mama ni neno la heshima usikasirike wewe kwenu hamna wakubwa?
 
Utamshinda kwa tume ambayo kaiteua yeye mwenyewe?
 
Kama tume itakuwa huru CCM itaondoka mchana kweupe
 
Kwa JPM ilitokea kama golden chance tu lkn hatukuitumia vizuri. Na hii golden chance huwa haiji mara 2.
Si nasikia walitaka kuitumia former mkuu wa mabaka akatibua!!?

Watasahihisha makosa coz walisha plan tangu zamani kuingiza ambae hajawahi gombea!

Tuwasubiri tuone!

Yule jamaa si alisema operation ipo on!!?

We hujaona dalili kwani!!?

Malkia ESTA ni kama anachechemea hivi upande shoto au ninini hiyo!!?

"Mpango ndio mpango mzima"wawangaji nao wameshaanza kuwanga na nyuzi zao humu!!
 
Mama ni neno la heshima usikasirike wewe kwenu hamna wakubwa?
Wapo, ijapokuwa kwenye vyombo vya dola hakuna nafasi inayoitwa 'mama'.

Wacha akina Abdul na Mchengerwa wamwite kwa utambulisho huo nyumbani huko!

Katika muktadha huu, apewe heshima yake Mhe. Rais

Sina shida na wewe kumuita 'mama' ispokuwa muktadha huu sio sahihi mkuu!

Mnamwondolea hadhi yake.
 
Well said!
Well said!

Tanganyika tuna changamoto mbili kuu, changamoto ya kwanza ni CCM na changamoto ya pili ni huu Muungano.
 
Mods tena katika moja na mbili.
Kama vipi moderators ndiyo wawe wanaanzisha mada.
Mada ililetwa nzuri mnajikuta wajuaji wa kuedit.
 
Mods hamjanitendea haki, mmehariri na kupotosha kichwa cha uzi wangu bila kunipa sababu.
 
Mods tena katika moja na mbili.
Kama vipi moderators ndiyo wawe wanaanzisha mada.
Mada ililetwa nzuri mnajikuta wajuaji wa kuedit.
Hawatendi haki tena, hii siyo JF tuliyoizoea, kama imekuwa compromised vile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…