Hizo ni fikra zako na mtazamo wako South Africa wana katiba bora kabisa cha ajabu mtu aliyefanya ufisadi anatetewa na wafuasi wake katiba siyo muarubaini, Kenya pia kuja katiba mpya lakini ufisadi kama kawaida.
Hapo ndipo ubaya wa siasa ulipo. Lazima utafute mgogoro, watu wote wakimkubali Rais wewe utakula wapi 🤣Ni tabu na mateso sana kuishi kwa kutegemea ufanye siasa ili upate mlo wako wa siku...
Yaani South Africa wanamtetea mwizi kwa kufanya wizi mkubwa zaidi!.
Wale jamaa kama wasingekuwa wanaishi na watu weupe kutoka nje ya bara hili wangekuwa malofa tu kama kina Tanzania, Malawi, Zambia na wengine wa ukanda huu.
Trump aliibiwa uchaguzi live bila chenga,, fuatilia audit zinazoendelea ,,huu ni mfano duniHujaona jinsi Katiba bora ya South Afrika inavyomdhibiti huyo aliyefanya ufisadi na wafuasi wake? Wako wapi sasa hivi? Au hata kule US ilivyomdhibiti Trump na wafuasi wake walipotaka kuchezea demokrasia?
Jiulize bila katiba na utawala bora nini kingetokea Afrika ya Kusini kufikia leo?
Kila rais wa nchi huwa hawezi na hana sifa ya kuongoza nchi. Kila rais anatakiwa alalamikiwe tu, na hilo ndilo kosa tunalolifanya watanzania.Huyu mama wengine tunamjua since day one kwamba ni mweupe, hauna kitu tukawa tukisema tunaonekana ni team mwenda zake tusiomtakia mama mema, tukajinyamazia.
Sasa ona hata miezi 4 hajamaliza ni malalmiko kila kona.
Mama hakua amejipanga kwa uongozi mkubwa wa nchi na wala hakutarajia ndio maana hana sera wal hoja anayoisimamia.
Watu mlikimbilia kumsifu eti anaupiga mwingi, sasa hivi anafanyaje, anapiga penalti?😂 Na bado.
CDM wanataka Samia aongoze nchi vile wanataka wao, hilo haliwezekani! Samia ataongoza kwa matakwa ya chama kilichompa ridhaa ya kuwa rais. Nao siku wakifanikiwa kushinda uchaguzi wataongoza nchi watakavyo. Katiba mpya siyo ajenda ya CCM kwa sasa, so wasitegemee kumshinikiza Rais kutekeleza ajenda ambayo siyo ya chama chake na akaifuata. Samia akiweza kuhimili haya maneno ya wasaka dili akina Lema hapo ndipo ataonekana yeye ni kiongozi shujaa, kiongozi mzuri ni yule asiyejali kuchukiwa wala kutukanwa!!Write your reply...kwa iyo akiruhusu katiba mpya ndio nchi itapata maendeleo?
Unataka awasikilize akina Mbowe?Miluzi mingi humpoteza mbwa. Hajui amfurahishe nani matokeo yake anapotea kabisa. Hana vision yake mwenyewe, makada na mafisadi wamemzunguka na kumshauri kwa manufaa yao wenyewe kitu ambacho kimemuingiza chaka vibaya mno hata kabla ya dakika ya 10.
Alianza vizuri mno ila alipoanza kuwasikiliza ndio kaharibu na bahati mbaya anafuata tu sijui ndio hofu ya kuendesha gari kubwa
Bro hujielewi, kuwakamua wananchi ni kukuza uchumi?Kila rais wa nchi huwa hawezi na hana sifa ya kuongoza nchi. Kila rais anatakiwa alalamikiwe tu, na hilo ndilo kosa tunalolifanya watanzania.
Huyu rais kawekewa tayari kila kitu na watangulizi wake. Anapita mule mule. Suala la kodi kwa mfano hakuna ujanja ni lazima zikusanywe, hakuna mjomba au shangazi wa nje wa kudumu, misaada yao inaambatana na manyanyaso ya kila aina.
Hakuna njia za mkato kama kweli tunataka kufika huo uchumi wa kati ngazi ya juu au uchumi wa juu kabisa.
ur still a learnerNimekuja na hii mada kwa makusudi mawili, moja kuwapa angalizo watanzania wenzangu na pili kujiandaa kwa mengi na makubwa yatakayofuata hapa Tanzania.
Kwa sasa sio siri tena, matazamio ya mabadiliko makubwa yenye tija kwenye uchumi na siasa hapa Tanzania chini ya utawala wa mama Samia yameyuka ghafla na kwa haraka sana. Tayari mama Samia amepoteza uungwaji mkono kutoka kwenye makundi makubwa ya kijamii na kisiasa. Matumaini hayapo tena.
Wataalamu wa siasa wanasema siasa ni agenda, na mwanasiasa ukipoteza agenda inayokubeba maana yake umepoteza mwelekeo. Wakati mama Samia Suluhu anaingia madarakani, agenda nne muhimu (Haki za binadamu, Uhuru wa kujieleza, Maridhiano ya kisiasa na Uchumi binafsi) zilikuwa mkononi mwake na alionekana kuwa na fikra chanya za kuzitumia vyema katika safari yake ya kisiasa, bahati mbaya sana kwa sasa karibu agenda zote zimemponyoka ghafla kutoka mikononi mwake, hana tena pa kushika. Rangi halisi ya utawala wa mama Samia tumeweza kuijua sasa, ni utawala wa ovyo ovyo, hauna kipya wala chema cha maana sana cha tofauti na utawala uliopita wa Magufuli.
Kupanda kwa nishati (mafuta ya petrol na diesel) na miamala ya simu kulikofanywa kimakusudi na serikali ya mama Samia Suluhu kumeua matumaini yote ya vyuma kuachia. Maisha ya msoto yameongezeka zaidi kwa watanzania kuliko kipindi cha Magufuli na wakati huo huo ufanisi wa utendaji kwa watumishi wa umma umeporomoka. Mambo ni ovyo ovyo.
Kupigwa kumbo kwa mchakato wa katiba mpya (ambao upo kisheria) na kuzuiwa kwa shughuli za siasa kwa vyama vya upinzani (ambapo kupo kikatiba) ni kosa kubwa zaidi lililofanywa na utawala wa mama Samia Suluhu. Hakuna namna ataweza kupambana kinguvu kupingana na harakati za wanasiasa wa upinzani na wanaharakati, mama huenda akapelekwa mchaka mchaka mpaka ajute.
Mama Samia kwa sasa anajaribu kuiga mbinu mbovu na mbaya za kisiasa na kiuchumi za utawala wa Magufuli wakati yeye sio Magufuli na hawezi kuwa kama Magufuli. Njia aliyoichagua mama Samia ni njia mbovu, mbaya na yenye mwisho mbaya. Poor and dead ended path, kwa lugha rahisi hawezi kutoboa.
Waswahili wanasema mkataa pema pabaya panamwita!
Africa unaweza kumuibia Rais aliye madarakani kura ?!Trump aliibiwa uchaguzi live bila chenga,, fuatilia audit zinazoendelea ,,huu ni mfano duni
Ccm kama chama kikongwe iliyojijenga kwa wananchi , inaogopa nini kuwa na katiba mpya inayotoa haki kwa wote ?!. Unajisifu huku muoga !!CDM wanataka Samia aongoze nchi vile wanataka wao, hilo haliwezekani! Samia ataongoza kwa matakwa ya chama kilichompa ridhaa ya kuwa rais. Nao siku wakifanikiwa kushinda uchaguzi wataongoza nchi watakavyo. Katiba mpya siyo ajenda ya CCM kwa sasa, so wasitegemee kumshinikiza Rais kutekeleza ajenda ambayo siyo ya chama chake na akaifuata. Samia akiweza kuhimili haya maneno ya wasaka dili akina Lema hapo ndipo ataonekana yeye ni kiongozi shujaa, kiongozi mzuri ni yule asiyejali kuchukiwa wala kutukanwa!!
Tatizo letu ni lile lile la kudhani kuwa Tanzania inakwisha sisi tulio hai tunapokufa!. Ni tatizo la mtazamo wetu wa kiafrika.Bro hujielewi, kuwakamua wananchi ni kukuza uchumi?
Alitakiwa kuchagua miradi ya kuiendeleza na mingine isubiri.
Wananchi tukikamuliwa hata mzunguko wa pesa unapungua na hizo kodi kupungua.
Pesa hizi zaidi wanalipwa watoa huduma na sio wazawa.
Waturuki na wachina hizi pesa zinaenda kwao.
Ikiwa pesa zinaenda nje kupitia miradi isiyo na tija, plus hatuna export zozote za masna huoni tunaua uchumi?
Yeah,, na kwA historia ya ile nchi popular vote means nothing,,, kwasababu states kama New York na California ni chama kimoja na Wana watu kama milioni 50+ combined,,Ukitaka kujua hili angalia 2016 popular votes ukitoa new york au california nani anakua na kura nyingi,,, mimi naomba mkafuatilie uchaguzi wa 2020,kuna state 6 zenye matatizo ya uchaguzi kuna wizi ambao sijawahi kuuona hata Tanzania ,Fulton County(Atlanta) ya Georgia,Philadelphia ya Pennsylvania,Milwaukee ya Wisconsin ,Maricopa(Phoenix+maeneo mengine) ya Arizona na Detroit ya Michigan na hata New Mexico,wizi uliitokea pale ni level za Saddam Hussein..hadi waliokufa wamepiga kura..hizo states tano za Mwanzo ni swing states,hua uchaguzi wowote wa Marekani unalala hapo..Yule Trump haeleweki lakini kaibiwa uchaguziAfrica unaweza kumuibia Rais aliye madarakani kura ?!
Trump unaemsema hakumshinda Mama Hillary Clinton kwenye kura za wananchi . Bali alipata majimbo makubwa yenye electro college votes nyingi.
Umeona nimemtaja mmeo Mbowe hapo? Wewe kila pointi ni kutaja jina la mmeo Mbowe tu eti au Mbowe huwa anakupa nini?Unataka awasikilize akina Mbowe?
Bukililo plz usifunge ubongo wako kuona uko sahihi 100%Tatizo letu ni lile lile la kudhani kuwa Tanzania inakwisha sisi tulio hai tunapokufa!. Ni tatizo la mtazamo wetu wa kiafrika.
Kila kitu ni muhimu, kuendeleza elimu ni muhimu, kujenga SGR ni muhimu pia, kumbuka kuwa hiyo bahari ni mtaji mkubwa sana tukiwa na mataifa yanayotuzunguka yaliyo mbali na maji ya bahari.
Hakuna njia ya mkato ya kuinua uchumi wa nchi, tukiwa na mawazo ya kibinafsi tunaweza tusione umuhimu wa kodi lakini tukiitazama nchi na mustakabali wake tutakuwa wepesi kutambua kuwa hatuna ujanja zaidi ya kuweka msisitizo kwenye makusanyo ya kodi.
Maendeleo ya kweli yana gharama zisizokwepeka, hao wanaotusaidia kila mwaka kuna wakati unafika wanatuchoka.
Ninachokifurahia US na western countries kwa ujumla. Ni kuwa taasisi zao za kimaamuzi zina nguvu dhidi mtu (mtawala) . Lakini Africa especially Tanganyika taasisi zinanywea kwa watawala. Kama mahakama na tume za kutoa haki, zikishanywea kwa watawala ndiyo yanatokea kama haya 2020 .Yeah,, na kwA historia ya ile nchi popular vote means nothing,,, kwasababu states kama New York na California ni chama kimoja na Wana watu kama milioni 50+ combined,,Ukitaka kujua hili angalia 2016 popular votes ukitoa new york au california nani anakua na kura nyingi,,, mimi naomba mkafuatilie uchaguzi wa 2020,kuna state 6 zenye matatizo ya uchaguzi kuna wizi ambao sijawahi kuuona hata tanzania sijawahi kuuona,,,Fulton County ya Georgia,Philadelphia ya Pennsylvania,Milwaukee ya Wisconsin ,Maricopa ya Arizona na Detroit ya Michigan,wizi uliitokea pale ni level za Saddam Hussein..hadi waliokufa wamepiga kura..Yule Trump haeleweki lakini kaibiwa uchaguzi