Kenya kuna Katiba mpya vipi hamna ufisadi na watu wana maisha mazuri?Hujaona jinsi Katiba bora ya South Afrika inavyomdhibiti huyo aliyefanya ufisadi na wafuasi wake? Wako wapi sasa hivi? Au hata kule US ilivyomdhibiti Trump na wafuasi wake walipotaka kuchezea demokrasia?
Jiulize bila katiba na utawala bora nini kingetokea Afrika ya Kusini kufikia leo?
Hatuna watu strong hata tukiwa tuna taasisi imara ,hatujitambui,watu wengi hawajitambui nafasi walizo nazo ni kubwa kiasi gani,bado akili zetu zinaishi enzi za watemi ,,,mfano ni vigumu kumkuta Jaji wa Magharibi akikoromewa na mwanasiasa,au mkemia mkuu akipima mikojo ya wafungwa wa kisiasa,,hyo ni kwasababu wanajielewa mamlaka waliokua nayo,,,wengi ni wanafiki kama CAG wa sasa. Mimi naamini kuna kizazi mbeleni wataitendea haki hii nchi ,,ila kwA sasa wanasiasa wetu wa sasa ni marafiki waliokua maadui,wamejaa visasi na chuki,hawapendani na ni wanafiki, na ni mara chache Sana wanaweka uTaifa mbele,ni opportunists..wote Pande zote..Wote!Ninachokifurahia US na western countries kwa ujumla. Ni kuwa taasisi zao za kimaamuzi zina nguvu dhidi mtu (mtawala) . Lakini Africa especially Tanganyika taasisi zinanywea kwa watawala. Kama mahakama na tume za kutoa haki, zikishanywea kwa watawala ndiyo yanatokea kama haya 2020 .
Sijui ni lini tutakuwa tofauti . Pamoja na kuwa na tamaduni zetu za ki Africa
Tatizo lenu mnataka kujenga kitu kizuri huku hamtaki kugharamika. Utekelezaji wa projects unavozidi kucheleweshwa ndo nchi inazidi kupata hasara. Hapa ndo tutajua nani mzalendo na nani sio. Damu za wazalendo zilimwagika kwa ajili ya maslahi ya taifa seuze kutoa mali kwa ajili ya maendeleo ya taifa. Watanzania tujenge nchi yetu kwa hali na mali. Ukipinga hili jua wewe sio mzalendo.Bukililo plz usifunge ubongo wako kuona uko sahihi 100%
Jaribu kufungua akili yako usikilize hata ambayo akili yako haitakibkusikia.
Mfano;
Wewe una milioni 10
Unataka;
Ujenge nyumba nzuri
Ununue gari
Uwe na bishara kubwa at the same time unaweza?
Utakachofanya utaanza na biashara ndipo ununue kiwanja kutokana na faida then mengine yataendelea.
Kwa mifano ya Shigongo kuwa uchumi umeshuka na kuwa kwa 4.8% toka 6.8%
Akatoa sababu kuwa utalii umeshuka nk.
Serikali ilitakiwa ijiongeze namna ya kuinua uchumi...
sio kuwa watalii hakuna bali wamepungua, yaani tunagawana watalii wachache...wengine Kenya, Uaganda nk.
Hapa inahitaji kuongeza tozo?
Hapana, hapa ni kupunguza baadhi za tozo kwa watalii ili kuwavutia wengi kuichagua Tz.
Faida yake ni kuongeza pesa mtaani na serikali inaongeza mapato pia.
Je kulipa kodi ni vibaya? Hasha
Kulipa kodi ni sahihi 100%
Lakini utaongezaje kodi wakati wa mdororo?
Hali za wananchi ni taabani tena unawaongezea kodi?
Miradi ya maendeleo ni kosa?
Hapana, bali kulingana na mdororo wa uchumi chagua michache ifanyike awamu hii na ikamilike 100% ianze kuleta matokeo chanya na ndipo mingine iendelee kujengwa.
Sasa unataka kuinua elimu, bwawa la nyerere, sgr, maji huku pesa huna utaweza?
Priority ni muhimu katika kufanikisha jambo lolote.
Naunga mkono kodi lakini sio kwa kiwango hiki cha unyonyaji
Sasa unataka kuwahi una pesa?Tatizo lenu mnataka kujenga kitu kizuri huku hamtaki kugharamika. Utekelezaji wa projects unavozidi kucheleweshwa ndo nchi inazidi kupata hasara. Hapa ndo tutajua nani mzalendo na nani sio. Damu za wazalendo zilimwagika kwa ajili ya maslahi ya taifa seuze kutoa mali kwa ajili ya maendeleo ya taifa. Watanzania tujenge nchi yetu kwa hali na mali. Ukipinga hili jua wewe sio mzalendo.
Swala hapa sio kuwa na pesa au la. Je wananchi wako tayari kujifunga kibwebwe katika kufanikisha malengo ya serikali ambayo itawasaidia wao (wananchi). Serikali inatafuta fedha kukamilisha miradi itakayosaidia kukuza uchumi ila wananchi wanaanza kuangalia gharama bila kuangalia faida ya hiyo miradi. Hapa mbaya nani?Sasa unataka kuwahi una pesa?
Dunia kwasasa imesimama.
Nchi nyingi zimejifungia hakuna uzalishaji mkubwa, msijifanye hamuoni
We mwache tu apandishe mabega.Nimekuja na hii mada kwa makusudi mawili, moja kuwapa angalizo watanzania wenzangu na pili kujiandaa kwa mengi na makubwa yatakayofuata hapa Tanzania.
Kwa sasa sio siri tena, matazamio ya mabadiliko makubwa yenye tija kwenye uchumi na siasa hapa Tanzania chini ya utawala wa mama Samia yameyuka ghafla na kwa haraka sana. Tayari mama Samia amepoteza uungwaji mkono kutoka kwenye makundi makubwa ya kijamii na kisiasa. Matumaini hayapo tena.
Wataalamu wa siasa wanasema siasa ni agenda, na mwanasiasa ukipoteza agenda inayokubeba maana yake umepoteza mwelekeo. Wakati mama Samia Suluhu anaingia madarakani, agenda nne muhimu (Haki za binadamu, Uhuru wa kujieleza, Maridhiano ya kisiasa na Uchumi binafsi) zilikuwa mkononi mwake na alionekana kuwa na fikra chanya za kuzitumia vyema katika safari yake ya kisiasa, bahati mbaya sana kwa sasa karibu agenda zote zimemponyoka ghafla kutoka mikononi mwake, hana tena pa kushika. Rangi halisi ya utawala wa mama Samia tumeweza kuijua sasa, ni utawala wa ovyo ovyo, hauna kipya wala chema cha maana sana cha tofauti na utawala uliopita wa Magufuli.
Kupanda kwa nishati (mafuta ya petrol na diesel) na miamala ya simu kulikofanywa kimakusudi na serikali ya mama Samia Suluhu kumeua matumaini yote ya vyuma kuachia. Maisha ya msoto yameongezeka zaidi kwa watanzania kuliko kipindi cha Magufuli na wakati huo huo ufanisi wa utendaji kwa watumishi wa umma umeporomoka. Mambo ni ovyo ovyo.
Kupigwa kumbo kwa mchakato wa katiba mpya (ambao upo kisheria) na kuzuiwa kwa shughuli za siasa kwa vyama vya upinzani (ambapo kupo kikatiba) ni kosa kubwa zaidi lililofanywa na utawala wa mama Samia Suluhu. Hakuna namna ataweza kupambana kinguvu kupingana na harakati za wanasiasa wa upinzani na wanaharakati, mama huenda akapelekwa mchaka mchaka mpaka ajute.
Mama Samia kwa sasa anajaribu kuiga mbinu mbovu na mbaya za kisiasa na kiuchumi za utawala wa Magufuli wakati yeye sio Magufuli na hawezi kuwa kama Magufuli. Njia aliyoichagua mama Samia ni njia mbovu, mbaya na yenye mwisho mbaya. Poor and dead ended path, kwa lugha rahisi hawezi kutoboa.
Waswahili wanasema mkataa pema pabaya panamwita!
Kenya kuna Katiba mpya vipi hamna ufisadi na watu wana maisha mazuri?
Unauliza South Africa kuna nini?
Chadema wanataka katiba kwa maslahi yao wao siyo wananchi.
Yaani uhalifu wa wa wahuni unasingizia kuwa ni sababu ya katiba bora?Hizo ni fikra zako na mtazamo wako South Africa wana katiba bora kabisa cha ajabu mtu aliyefanya ufisadi anatetewa na wafuasi wake katiba siyo muarubaini, Kenya pia kuja katiba mpya lakini ufisadi kama kawaida.
Mkuu, ask her.YEYE NI NANI KWENYE TAIFA HII
Afrika Kusini isingekuwa katiba yao nzuri, akina Zuma ndio wangekuwa wanaburuza kila kitu; wewe hilo hulioni?Hizo ni fikra zako na mtazamo wako South Africa wana katiba bora kabisa cha ajabu mtu aliyefanya ufisadi anatetewa na wafuasi wake katiba siyo muarubaini, Kenya pia kuja katiba mpya lakini ufisadi kama kawaida.
Bahati mbaya sana mataga huwa hamjifunzi kuwa UBAYA HAUNA KWAO,ukimuona mtu anatenda mambo mabaya dhdi ya mtu yeyote yule usiunge mkono kwani akimalizana na yule si ajabu atarudi kwako. Ninavyojua mimi wakati wa mwendazake hakuna ambaye hakuumia tuliumia wote,kama hukuguswa katika hili uliguswa katika lile,kama hukupigwa wewe basi alipigwa ndugu yako,na kwa maana hiyo Marais Mungu watu, hatuwataki tena tunataka Marais wafuata katiba wanaotawaliwa na katiba sio Marais walio juu ya katiba aruta continua,wasauz wangekuwa na akili za ki bwg kama hizi mpaka leo wangekuwa wamekanyagwa shingo.Hakuna lolote! Mama yuko njia sahihi kwa agenda alizojiwekea.
Kawafanyia CHADEMA mengi kwa muda mchache mkaanza dharau na matusi.
Tukawaonya ya kuwa mtafanya mama akaze kamba na wahanga mtakuwa nyie!
Mama endelea kuupigia mwingi. HAKI, NIDHAMU, NA WAJIBU!
Kazi Iendelee!
Namuona mama akiwaita tiss na polisi waje wamsaidie, njia ambayo inaweza kuwa ya hatari kwakeNimekuja na hii mada kwa makusudi mawili, moja kuwapa angalizo watanzania wenzangu na pili kujiandaa kwa mengi na makubwa yatakayofuata hapa Tanzania.
Kwa sasa sio siri tena, matazamio ya mabadiliko makubwa yenye tija kwenye uchumi na siasa hapa Tanzania chini ya utawala wa mama Samia yameyuka ghafla na kwa haraka sana. Tayari mama Samia amepoteza uungwaji mkono kutoka kwenye makundi makubwa ya kijamii na kisiasa. Matumaini hayapo tena.
Wataalamu wa siasa wanasema siasa ni agenda, na mwanasiasa ukipoteza agenda inayokubeba maana yake umepoteza mwelekeo. Wakati mama Samia Suluhu anaingia madarakani, agenda nne muhimu (Haki za binadamu, Uhuru wa kujieleza, Maridhiano ya kisiasa na Uchumi binafsi) zilikuwa mkononi mwake na alionekana kuwa na fikra chanya za kuzitumia vyema katika safari yake ya kisiasa, bahati mbaya sana kwa sasa karibu agenda zote zimemponyoka ghafla kutoka mikononi mwake, hana tena pa kushika. Rangi halisi ya utawala wa mama Samia tumeweza kuijua sasa, ni utawala wa ovyo ovyo, hauna kipya wala chema cha maana sana cha tofauti na utawala uliopita wa Magufuli.
Kupanda kwa nishati (mafuta ya petrol na diesel) na miamala ya simu kulikofanywa kimakusudi na serikali ya mama Samia Suluhu kumeua matumaini yote ya vyuma kuachia. Maisha ya msoto yameongezeka zaidi kwa watanzania kuliko kipindi cha Magufuli na wakati huo huo ufanisi wa utendaji kwa watumishi wa umma umeporomoka. Mambo ni ovyo ovyo.
Kupigwa kumbo kwa mchakato wa katiba mpya (ambao upo kisheria) na kuzuiwa kwa shughuli za siasa kwa vyama vya upinzani (ambapo kupo kikatiba) ni kosa kubwa zaidi lililofanywa na utawala wa mama Samia Suluhu. Hakuna namna ataweza kupambana kinguvu kupingana na harakati za wanasiasa wa upinzani na wanaharakati, mama huenda akapelekwa mchaka mchaka mpaka ajute.
Mama Samia kwa sasa anajaribu kuiga mbinu mbovu na mbaya za kisiasa na kiuchumi za utawala wa Magufuli wakati yeye sio Magufuli na hawezi kuwa kama Magufuli. Njia aliyoichagua mama Samia ni njia mbovu, mbaya na yenye mwisho mbaya. Poor and dead ended path, kwa lugha rahisi hawezi kutoboa.
Waswahili wanasema mkataa pema pabaya panamwita!
Si mpaka kuwe na uchaguziUchaguzi wa 2025, ndiyo utapima uwezo wake wa uongozi
Kumbe some times una akili?Yaani South Africa wanamtetea mwizi kwa kufanya wizi mkubwa zaidi!.
Wale jamaa kama wasingekuwa wanaishi na watu weupe kutoka nje ya bara hili wangekuwa malofa tu kama kina Tanzania, Malawi, Zambia na wengine wa ukanda huu.
Ndio nani huyo?Maria Sarungi anasema "TutaelewanaTu"