Rais Samia amepoteza mwelekeo mapema sana, hawezi kutoboa!

Upo sahihi mkuu
 
Tuna OMBWE kubwa sana la uongozi nchini.
Mkuu hilo OBWE hata CCM wenyewe wanalijua ndio maana sasa wanawateua na kuwapa vyeo wapinzani kwa mgongo wa kuunga JUHUDI. Hawakuwatayarisha vijana wao vyema, ndio maana unaona wanaotumbukiwa ni wa ccm na sio WAUNGA JUHUDI
 
Mkuu katali hakuna mkulima hata mmoja mwenye akili mbovu kama unavyodhani kwamba akipanda mbegu leo atavuna kesho, wakulima hawana akili hizo labda wanasiasa uchwara wanao hamahama vyama. Mkulima ndio anayekufanya uendelee kuishi.
 
CHADEMA ni li Chama la Wapuuzi wengi sana! Wanadhani kiongozi bora lazima afuate matakwa yao ! Rais Samia yuko sawa sana , aachane na hawa wapuuzi na mediocres wasio na ajenda za muda mrefu! Mama piga kazi na tuko nyuma yako 100%.
 
True
 
Mambo Mema aliyo yafanya kwa muda mfupi si ajabu sasa yakafunikwa na makosa kidogo ya kiufundi ambayo ukiyatizama utaona kabisa wasaidi wake ndio wanasitahili wakinywe hiki kikombe badala yake, tozo na milipko ya bei wasaidizi wake wanao Shinda bungen ndio walipaswa kuliona hili LA miamala ya pesa kama Lina athari au la, vinginevyo inabidi alitizame upya koti alilofaa
 
Hizo ni fikra zako na mtazamo wako South Africa wana katiba bora kabisa cha ajabu mtu aliyefanya ufisadi anatetewa na wafuasi wake katiba siyo muarubaini, Kenya pia kuja katiba mpya lakini ufisadi kama kawaida.
Ona kama huyu eti nae ni mpinzani!

Ni ujinga mtupu mkuu
 
Akina mkwere wanamwendedha kama gari bovu, Yaani kushoto, kulia, kushota, kulia yaani ameanza kupoteza mwelekeo!
 
Kwa hiyo maadhara wanayapata CHADEMA peke yao?,..Petroli/Dizeli ina bei ya CHADEMA na ambao sio CCM?,makato ya miamala yapo ya wana CHADEMA na kwa wana CCM?
 
WELL SAID MKUU๐Ÿ‘Š
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ