Sioni tatizo hapo,Yuko sahihi rais wetu,yeye ndo Yuko jikoni anajua Nini Kiko kwenye chungu,hebu chukulia yeye Kama mpishi anawaambia walaji kuwa leo jioni kila mtu atakula vipande vitatu vitatu vya nyama,na baadae anagundua kuwa mahesabu yake hayakuwa sahihi hivyo anaamua kubadilisha mauzi na kuamuru kila mtu atakula kipande kimoja kimoja Cha nyama,so utampinga kisa tu alikuahidi kuwa utakula vipande vitatu?
Yeye ndo anajua kwenye chungu Kuna nini,hivyo lazima aamue kipi kifanyike,piga kazi mama!!!