Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,200
Mungu atamlipiaHuyu mama ni hatufai kamweee,sijui ni kwanini watanzania hatuelewi ,kama leo wamekata umeme tangia saa 12 asubui mpaka sasa saa 10 na nusu bila bila utafikiri familia zetu zinaenda kula milo mitatu ikulu.