Rais Samia amesahau hili la umeme ni yeye amelileta, tumkumbushe

Huyuhuyu wa dollar billion elfu sita, wa teuzi fake na mipasho? Bado hujanishawishi.
 
Hapo wanamtuhumu Kalemani wakati ilikiwa kwenye ilani ya uchaguzi ya CCM na wao wakainadi..Sasa wakati CCM wanashusha hawakujua kuwa hawanahera?

Fedha umma zinaliwa na wizara ya fedha, nadhani zinazobakia hazitoshi.
 
unaijua maana ya REA
 
Suala la umeme ni gumu sana, sijawahi ona hawamu yoyote iliyoweza kuleta suluhu kwa wananchi, leo wanakwambia mara elfu ngapi mara laki ngapi lakini kuna watu hata tuambiwe milioni tatu tuko tayari kulipia ili tupate huduma ya umeme lakini kila ukienda TANESCO wanakuzungusha tu yaani binafsi naona hili shirika libinafsishwe
 
Kwasasa watanzania tutaona viroja sana na inawezekana ndio tukawa sasa watu wa ajabu zaidi duniani & huyo hangaya ni tatizo tena kubwa kwa taifa maana hana maamuzi anamtegemea mtu nyuma yake
 
Hatuhitaji kampuni binafsi bali tunahitaji uwajibikaki kama aliokuwa anaweza kuufanya magufulo
 
Mkuu umenivunja mbavu leo, nanukuu Wananchi wakapiga ndelemo na makofi! hapa kidogo umesahau pia wakaongezea kwa kusema kwa ndelemo tano tena kwa mama. Hivi hizi bei za Tanesco ndio hizo hizo na kule Zanzibar? kwa maana jamaa huwa wanagoma kulipia umeme ati. Tano tena kwa mama hah hahaaaaa. Hizi ni sarakasi za mpigaji February Marope na wahuni wenzake, uhuni huu umekuja mara tu baada ya yeye kuwa mkuu wa umeme. Nilijua tu huyu aliyekuu muuza ving'amuzi mr mabeans Tanesco ni maji marefu sasa ugali wote umekuwa uji,maji yamezidi unga.
 
Hapo wanamtuhumu Kalemani wakati ilikiwa kwenye ilani ya uchaguzi ya CCM na wao wakainadi..Sasa wakati CCM wanashusha hawakujua kuwa hawanahera?
Uhuni wote huu umetokea baada ya Kalemani kuondoka, wahuni wanarudi tena kwa kasi ya 5G kwenye sekta ya umeme, huu ukweli ndio hata Ndugai anaujua,sasa wahuni wametengeneza mazingira ya kuanza kufanya biashara ya faida kwa asilimia 100.
 
Mimi naomba kama ameona hivyo aondoe ile tozo ya REA tunayotozwa kwenye luku na mafuta
Ni kweli maana lengo lake ni kupunguza makali ya gharama za kuunganisha umeme.
 
Kinachofuata ni kupandisha bei ya unit za umeme
 
Anayefaham gharama za kuvuta umeme Zanzibar aziweke hapa tulinganishe.
 
Umeme ni huduma sio biashara kwa TAnesco na serikali, ilitakiwa waunganishe bure kwa wananchi wote kisha kukata pesa kidogo kidogo kwenye bill za Luku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…