Rais Samia ameshazidiwa na wapigaji suala la bei ya petroli?

"...Wakati Mwiguli anasoma bajeti pale bungeni nyie mlikuwa busy kusaini petition ili Diamond atolewe kwenye tuzo za BET,!"
By Crimea
[emoji23][emoji23][emoji23]Nawashangaa sana kujifanya wanashtuka saa hii!
 
Kweli Hawa jamaa jeuri Sana,waliwahi kuipa serikali ya Kikwete siku tatu lol. Kwa vile wameona style ya mama ni ileile ya Kikwete wameanza Tena.
 
Mkuu ni kweli kabisa tunaoishi tunduma tunaenda kujazia mafuta nakonde(Zambia) then tunaludi
 
Kuwa na Katiba Mpya isiyotekelezwa is useless.
 
Wamepunguza kodi kwenye betting wanaweka kwenye mafuta halafu watu ni member wa economic forum!!
Huhuhu mpaka naogopa.
Ukizungukwa na wapiga deal....eti wafurahisha watu..utavuna mabua.
 
Nchi imerudi awamu ya nne(John-walker).
 
Kata magufuli walimtandikia khanga na walilia Sana Leo wanamnanga hatari najiuliza Ni Hawa Hawa watanzania ?
 
Unatetea upumbavu
 
Kata magufuli walimtandikia khanga na walilia Sana Leo wanamnanga hatari najiuliza Ni Hawa Hawa watanzania ?
Nadhani hawa unaowasema wanamnanga na wale waliotandika kanga ni watanzania wa aina tofauti; watandika kanga wengi ama wote hawapo na hawana mpango wa kujibizana kwenye mitandao, pita mitaani usikie stori zao, harakati zao ndo utajua.

Hawa unaosema wanamnanga ndo wale kipindi fulani hupitia kuwashawishi watandika kanga kuchagua vyama fulani kwa malipo ya kanga, tshirt na kofia. We elewa tu, si wamoja!
 
Wanaongelea mafuta bwana @ chige
 

Ewura na Bulk Procurement ni entities za serikali. Ina maana wao hawaoni shida iko wapi? Au sisi tunatunga matatizo sababu hatufahamu yanayoendelea ndani ya sector hiyo ya mafuta?
Hizo kodi zinazoomgezwa zina impact kubwa kiasi gani kwenye mafuta?
Nafikiri tunawasingizia makampuni ya mafuta. Sio kweli wanajipangia bei wenyewe
 
Rwanda, Burundi na Zambia wanaochukua mafuta hapa na bei zao zipo chini wao mafuta yao yanatoka soko tofauti na la dunia hii?
Nirudie mara ngapi?! Nimekuambia Zambia wameondoa matozo na kodi kwa kipindi cha miezi 6, kuanzia February hadi August!

Btw, hizo bei za chini kwa Rwanda na Burundi, ni chini kulinganisha na nchi ipi, na hiyo bei ni ipi?! Huoni busara ingekuwa ni kutaja?!

Anyway, angalau tutumie figures za mtandao wa globalpetrolprice.com, ambao wanaanza kwa kusema:-
Na ndicho tumesema kinachotofautisha kati ya Zambia na majirani zake!!

Na kwa mujibu wa mtandao huo huo wa globalpetrolprice.com, wanasema as of June 28 (current available data), bei ya mafuta Rwanda inaonesha ni $1. 106 na Burundi ni $1. 208.

Nimekosa official data za Burundi, lakini Rwanda Utilities Regulatory Authorities (EWURA ya Rwanda) inaonesha ceiling price ni Rwf 1,088 kwa lita. Na kwa msaada wa Google's Currency Conveter, hiyo Rwf 1,088 ni takribani $1.10 ambayo ni karibu TSh 2,560; and therefore, I can conclude that, takwimu za globalpetrolprice.com zinaaminika, na kwahiyo inawezekana hata bei ya Burundi ikawa ndo hiyo ya $1.20!

Na nikukumbushe tu kwamba, hizo ni bei zilitangazwa mwishoni mwa mwezi May 21, na kwa maana nyingine, kuna uwezekano mkubwa ni bei kwa mafuta yaliyoingia nchini humo somewhere in May, huku yakiwa yametoka sokoni somewhere in April au March, kipindi ambacho bei yake soko la dunia ilikuwa cheaper kulinganisha na miezi iliyofuata!!
 
Wanaongelea mafuta bwana @ chige
Najua wanaongelea mafuta, tatizo wanataka kutuaminisha Mheshimiwa Magu alikuwa anadhibiti bei ya mafuta wakati ukweli ni kwamba, wakati over the past 5 years, bei zetu zimekuwa zikitegemea bei ya soko la dunia!!

Tatizo watu wana kumbukumbu mzuri ya bei ndogo mwaka 2020, lakini wanasahau corona ilifanya bei ya mafuta soko la dunia iporomoke sana, na hivyo kutufaidisha hadi sisi huku!!!
 
Endelea kumtetea mama mkuu!
 
Mkuu huyo mama si alisema wameongeza kodi kwenye mafuta?

Ccm Wakiongeza kodi wafanyabiashara na ewura wafanye nini?
 
Lakini pia msisahau kwa Tanzania kodi kwenye mafuta zipo zaidi ya 10. Anayesababisha bei kuwa juu ni hii Serikali yetu ambayo wanaoiendesha uelewa wa uchumi ni zero.
 
Wote Wanajenga UCHUMI wacha Wapige Pesa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…